Tz hatuna jesh la wananchi tuna jeshi la ccm, viongozi huwa wanawaita askari wao.Kweli tupu maneno yako.
Kinachoumiza zaidi hawa 'mabaka" ambao walikuwa wanapendwa na kuaminiwa na wananchi, nao wamejitumbukiza kwenye shimo la UCHAWA.....wamekuwa wa hovyo haswa.
Muongo hana kumbukumbu tena alisema wanajeshi walimtaka polisi wakawakatalia.Acha ujuaji WA kijinga , kuna Kato mnyiramba ?
Unajua maana ya kina Kato kwa kihaya na luganda ?
Halafu huyo kijana si alikuwa ameshakamatwa kitambo ?
Si wewe uliwahi kusema humu kuwa ameshakamatwa alipokuwa anaenda kufuatilia pikipiki yake iliyoibiwa huko Mwenge ?
Ushamponza!2013 kwetu tulipata kibarua wa shamba, yule bwana kumbe huko kwao aliua jamaa mwenzie wakiwa kibanda umiza huko Tabora,
Yule bwana alikua mtiifu wa kazi za shamba na kuchunga mifugo yetu,
Alikaa pale kijijini had 2016 akaoa na kuanzisha familia yake, 2019 kuna jamaa mnunua mazao kumbe ni wa huko kijijini kwao na anamfahamu, alivyofika kumuona alihamaki, kakuta mwenzake ana mke na mtoto na nyumba yake, kiufupi ana maisha yake,
Yule jamaa ndo akatusimulia pale home, nakumbuka mzee akamuambia yule mgeni asiseme kwa watu, huwezi amini baada ya muda ndugu wa yule kibarua walikuja kule kijijini, navyoongea maisha yake yako pale kijijini ana fuga ng'ombe na mbuzi, kurudi kwao hataki tena, ila ndugu zake ndo wanamtembelea.
Tunasubiri ufanye wewe makosa ujisalimisheukishatumia simu tu hata kama line si yako ukawasiliana na jamaa zako au marafiki tayari watajua ulipo. Hapo si vizuri kuelezea sana maana kuna watuhumiwa wanapita humu pia. Kifupi ukifanya kosa jisalimishe tu kwa wahusika tafuta mwanasheria mzuri halafu ndugu na jamaa watafute hela ya kuhonga
Wapi Tanzania kuna Public CCTV ambayo bodabkda kama huyo anaweza access au pita? Wacha kujisifu sana! Hakuna Street Camera za maana TZ ukiachilia maeneo wanayokaa au ofisi za viongozi wakubwa wa kitaifa! Road Traffic CCTV zingesaidia sana kwenye issues kama hizi ila hakuna. Nilikua Kenya and i was very impressed na rate ya CCTV kwenye barabara zao (esp eneo la CBD) na kwenye highways.Angedakwa tu. Simple scenario ingekuwa hivi; lazima angekuja kukatiza mahali penye public CCTV kama stendi au benki; in a matter of seconds, picha yake ingekuwa compared against picha zake zilizo kwenye kanzidata tofauti including NIDA, mitandao ya simu, etc. Ingejulikana day fulani alikuwa mahali fulani na nguvu ingeelekezwa huko.
Kwa dunia ya leo ya teknolojia, vijana waache usela mavi! Wawe raia wema wala hutaona ukifautiwa na yeyote. Ukileta ujinga; siku zako wala sio nyingi - utaishi kwa tabu, mateso, na hofu sana duniani humu.
Siyo kwamba walishindwa! Wao wanajua in and out ya like tukio!PT hawa hawa walioshindwa kuwakamata washambuliaji wa Lissu?
Hawa hawa ninaowajua mimi?
Intel mbovu za PT, Tiss, na Jw mpaka majasus ya Rwanda yanaingia nchini yanateka na kuondoka na watu 5 wa familia moja?
Hakuna kitu kinaitwa Security Investigation. Hio ni Criminal InvestigationNa ndivyo ilivyo duniani kote! Security investigation always ni "michezo ya makosa". Ni lazima ujichanganye somewhere ili wafanikishe kazi yao; otherwise, hakuna mhalifu angekamatwa duniani.
Africa hamna tiger...wapo bara asia na south americaNa misitu ya Congo tigers hawatakuacha salama.
Alivyofia angani hakushuka chini? Au alibaki anaelea huko? Maana nachofahamu eneo lote alipodhaniwa ameangukia (baada ya estimation za mlango wa nyuma wa ndege kufunguka) lilifanyiwa search bila kupatikana mwili wake.Huyu mwamba alifia angani alivyoruka mkuu according to FBI.
Hahahaha vichekesho hivi. Wahalifu kibao wanaishiOk; the point is matokeo ya uhalifu ni mawili ama udakwe au ujiue/uuliwe. Ni wachache mno wanakwepa hayo mawili na Kato kwa vigezo vyovyote vile hana huo uwezo wa kuvikwepa.
nonsense...Mission accomplished, kumkamata Kato hakurudisha Muna back to life
Nakubaliana na weweLA kwanza Tupa line.
Lapili Tupa simu ili mjinga aiokote... Msala uwe kwake. Ili polisi wahangaike nae wakati mda huo wewe unazidi kupotea..... Maana ndani ya siku 2 au 3 watakuwa hawaamini maelezo yake kama kaokota kweli simu so atakuwa anapata Mateso ambayo hayumuhu. Na Mungu akiwa mkubwa kwako jamaa ILi Mateso yasiendelee anaweza kuamua kutaja tu sehemu iliyoenda ingawa hajui ili aisendelee kuteswa akakane mahakamani.
Ukimaliza hapo kamwe usiitumie simu ya Aina yoyote kuwasiliana na yoyote potelea huko porini katenegneze mikaa miaka 2 tu Hakuna hata atakayekukumbuka.
Kuna jamaa mtaani alimpiga bisibisi mwenze karudi home kulala maana ilikuwa ugomvi WA ulevi. Baada ya lisaa watu wanashtua oyaa jamaa kakata kamba huko.... Mbona usiku huo huo ndugu walichanga mpunga akapotelea Zambia. 5 years alikuwa huko... Huku kila. Mtu kasahau
...... Shida yule jamaa sijui damu ya yule Mtu ilimvuta au Mungu tu. Si karudi mwenyewe after 5 years. Akazurura mtaani kama. 2 weeks hv.... Waliofiwa wakaona dharau hizi ndo wakawatonya polisi... Basi jamaa now yuko kunyavu....
It means ndugu wale wasingesema kitu jamaa ANGEKUWA anakula bata til now.
5 years polisi WA. Hayo maeneo alisimia kubwa wanakuwa wameshahama na file hawana time nalo tena.
Huyu rasta ni vile tu kabeba Roho ya Kamanda LA ingekuwa ya msela mwenzake..... Wala wasingehangaika nae.
Kumbe kuna tofauti kabisa kati ya hofu na woga?
Basi huwa naamini haya maneno yana maana sawa "hofu, woga, wasiwasi na mashaka".
Anadhani hatuna kumbukumbu au sio ?[emoji38][emoji38][emoji38] nakumbuka alisema hivyo
Africa tuna hao wanyama au unaandika kufurahisha jamvi!?Na misitu ya Congo tigers hawatakuacha salama.