passion_amo1
JF-Expert Member
- Dec 3, 2023
- 1,828
- 3,922
Mbona yupo mlinzi wa hivyo.Kwa akili zako,mlinzi atategeshea tochi inawaka! Imekuwa taa? Mlinzi wa tochi,uwezo huo hana. Na akifanya hivyo ujue punguani.
Unajidanganya bure kabisa.Simple tricks from my own knowledge
Ckuzote cmu huonyesha mahali ulipo, especially tz you can escape easily mtego wa kukamatwa na PT/ TISS
First switch VPN
You can buy new phone
Or
Change cmu card while your phone on vpn through WiFi
Then communicate through internet call (chat & call through telegram )
Pesa zote ziamishie binance uwe na crypto currency tuu USDT , huduma zote lipa kwa mfumo huo
Usijarbu ku withdrawal pesa bank au kwa agent kwakutumia details zako
Ulielewa mfano wangu lakini mkuu?Hata utumie line nyinge mazungumzo na mzazi au dada yako hayawi ya mtu mwingine elewa hilo! At some point kwenye mazungumzo hayo "utaeleza tu ukweli".
Hapo mmoja anacheka na mwingine anakasirika ni tabia za Introvert na Extrovert people.Tunatakiwa tufahamu kuwa duniani kote mhalifu anayetafutwa (hata mimi na wewe ikitokea ,Mungu aepushe ) hukumbwa na vitu viwili vikuu ambavyo ni :
1) Hofu (Fear): ni hali ya wasiwasi inayompata mtu au mnyama mbele ya mwingine au kingine kisichompendeza au kuhatarisha usalama wake.
2) Woga (Paranoia/ Anxiety) (Naomba nirekebishwe): ni tabia ya kupatwa na hofu kupita kiasi inayokuwa ndani ya binadamu juu ya kitu au vitu fulanifulani.
Hivyo vitu viwili hupelekea kufanya makosa ya kimkakati ambayo vyombo vya dola huvitumia kama faida kwao! Ukiwa na hivyo vitu ni lazima narudia tena ni lazima utafanya makosa.
Moja ya mafunzo ya kijasusi na machache kwa vyombo vya dola ni kukuondolea hivyo vitu vikuu viwili na kukupa vitu vipya! Baada ya kuondolewa hivi vitu huwa wanaweza kuhimili hali zote! Mimi na wewe hatuwezi!
Mfano 1: mwangalie Kikwete na marehemu Magufuli reaction zao kuhusu jambo lolote, utagundua mmoja amekasirika mwingine anatabasamu.
Unaweza kuona huyu aliyekasirika ni jasiri kumbe ni kinyume chake! Mwingine ana hisia mwingine anaigiza hisia!
Mfano 2: Mwangalie Putin na Kim wa Korea Kaskazini, namaanisha kampe taarifa Kim kuwa wanajeshi wako 1000 wamekufa halafu nenda kwa Putin kampe hiyo taarifa!
Nb: 1) Hisia hupelekea kufanya makosa!
Nb 2) Mhalifu siku zote huwa mwoga!
Nb 3) Dola halina hisia ila watu wake wana hisia!
Ni mtazamo wangu!
"The escape man is still human, he is still afraid, Fear becomes paranoia, paranoia ultimately psychosis. I bring this up because in one hundred and forty years, the fundamental mind of the escape man has not changed "- FBI Special Agent Alexander Mahone (Prison Break)
hofuKumbe kuna tofauti kabisa kati ya hofu na woga?
Nakataa, PT hawajafikia level hiyo ya kutumia facial recognition technology kubaini wahalifu Kwa kutumia CCTV cameras ahilia mbali tu kutumia fingerprint kubaini wahalifu.Angedakwa tu. Simple scenario ingekuwa hivi; lazima angekuja kukatiza mahali penye public CCTV kama stendi au benki; in a matter of seconds, picha yake ingekuwa compared against picha zake zilizo kwenye kanzidata tofauti including NIDA, mitandao ya simu, etc. Ingejulikana day fulani alikuwa mahali fulani na nguvu ingeelekezwa huko.
Kwa dunia ya leo ya teknolojia, vijana waache usela mavi! Wawe raia wema wala hutaona ukifautiwa na yeyote. Ukileta ujinga; siku zako wala sio nyingi - utaishi kwa tabu, mateso, na hofu sana duniani humu.
FBI hawana proof ya Hilo ,ni wazushi .Huo mwili wake waliuona ?Huyu mwamba alifia angani alivyoruka mkuu according to FBI.
Usipime taasisi za serikali kwenye mambo ya siasa mdogo wangu. Kwenye siasa, akili, weledi na imani vinakaa pembeni.PT hawa hawa walioshindwa kuwakamata washambuliaji wa Lissu?
Hawa hawa ninaowajua mimi?
Intel mbovu za PT, Tiss, na Jw mpaka majasus ya Rwanda yanaingia nchini yanateka na kuondoka na watu 5 wa familia moja?
Na ukifanya uhalifu kama huo ,hutakiwi kuvuka border Kwa njia rasmi ,lazima utumie njia za panyaNa ndio maana hakufanikiwa kuvuka. Kuvuka border ni category nyingine ya wahalifu.
Kaka Hivi KKK ulihitimu vizuriAcha ujuaji WA kijinga , kuna Kato mnyiramba ?
Unajua maana ya kina Kato kwa kihaya na luganda ?
Halafu huyo kijana si alikuwa ameshakamatwa kitambo ?
Si wewe uliwahi kusema humu kuwa ameshakamatwa alipokuwa anaenda kufuatilia pikipiki yake iliyoibiwa huko Mwenge ?
Unabadili location kama Osama.... yaani mfano upo singida mjini basi unaenda hadi shelui kupiga simu tena ya maelekezo tu kuwa wakutumie pesa. Unaenda itolea Kiomboi alafu unarudi hadi Ikungi!! Ukienda zig zag hivyo na ukatumia mtu wa pili kuongea na mtu wa pili wa ndugu yako basi hawakudaki.Kuna kuishiwa pesa unapiga simu nyumbani usaidiwe nauli.....hela kula ...unaweza kujikuta uko mganga miezi 6 umeishiwa oohhh
Mbona haijapata wauwaji wa lissu au waliomteka Dewji? Sema hivi wakiwa na maslahi yao ndio watakudaka ila wasipokua na maslahi na hiyo kesi wala hawahangaiki.Hakuna namna ambayo serikali ya Tanzania ikutake halafu isikupate ukiwa ndani ya nchi
Are you sure?Simu za kitochi zote hazina GPS ni ngumu kum track mtu
Sometimes vyombo vya dola hupata changamoto sababu michoro yote na namna ya upenyo hunajisiwa na wasio waaminifu miongoni mwao.FBI na utabe wao kwenye issue za criminal investigation ,walishindwa kumnasa The legendary Dan Cooper mpaka leo
Ngoja nikuulize swali.Apo mmoja anacheka na mwingine anakasirika ni tabia za Introvert na Extrovert people.
Hili ndio jibu walimpataje ukifanya any network connections with your buddy shughuli ingekwisha angesepa zake hata msumbiji or malawi and change all his identity wasingeweza tena possible masela wake ndio waemchoma kwa mwelaTatizo la Rasta katumia simu na ukitumia simu kwenda kwa mnara ulio karibu ya eneo aliopo.
Sasa hapa polisi ndio wanajua Rasta yupo eneo gani nao wanatuma picha yake kwa polisi wa eneo husika.
Kama Rasta ange wacha wapigia simu watu wake wa karibu mbona asinge patikana milele.
Nakubali mwamba.Ukitaka upotee unapotea na hakuna wa kukukamata. Hata ulaya leo hii watu wanafanya matukio na wanapotea na hawajulikani walipo na wako hai sembuse Tanzania.
Vijana wanafanya makosa, wanatumia simu kuwasiliana na ndugu na jamaa zao na kuwapa location wako wapi wanafanya nini inakua ni rahisi kukufuatilia.
Ukitaka upotee kwanza achana na vifaa vya kielektroniki. Acha kuwasiliana na ndugu na jamaa wasijue uko wapi na unafanya nini. Ndugu zako wasiliana nao kwa facebook tu na sio normal call.
Kaa miezi kadhaa watafte kwa simu ya mtu mwingine wajulishe uko hai na siku hiyo hiyo hama hilo eneo ama mkoa.
Njia ya pili ni kupotelea nchi jirani. Kwa mfano kwa Tanzania kimbilia Kenya ndio rahisi. Potelea huko kabisa.
Dah; kwa "ujanja" ulioeleza hapo utadakwa mapema sana. Uhusishe wote hao hadi akina Mangi uwe salama? Hamna kitu kama hiko.Unabadili location kama Osama.... yaani mfano upo singida mjini basi unaenda hadi shelui kupiga simu tena ya maelekezo tu kuwa wakutumie pesa. Unaenda itolea Kiomboi alafu unarudi hadi Ikungi!! Ukienda zig zag hivyo na ukatumia mtu wa pili kuongea na mtu wa pili wa ndugu yako basi hawakudaki.
Pia mnatumia calls sio SMS, ni rahisi ku intercept messages kuliko calls unless wawe guaranteed utapiga. Sasa unaweza tumia namba geni ukapiga namba ya dukani kwa mangi jirani na kwenu apeleke simu uongee na ndugu yako. Hapo hawakudaki hata iweje maana sidhani polisi wana database ya number zote hadi street level, data analysts wenyewe hawazidi 10 ndio sembuse kutrack number za mtaa mzima?