Kukamatwa Juzi kwa Kato Rasta Muuaji wa Afande Muna Kawe ni jibu tosha kuwa huwezi Kuikimbia popote pale Jamhuri kama ikikutaka

Acha fix.
 
Chimbo salama ni Mozambique.
 
Dah; kwa "ujanja" ulioeleza hapo utadakwa mapema sana. Uhusishe wote hao hadi akina Mangi uwe salama? Hamna kitu kama hiko.
It's a one off..... sio kila siku, unapiga tu mara moja simu ikienda kwa mkeo mnakubaliana kuwa asajili line kwa majina tofauti na utakua unampigia huko tu na wewe unampigia kwa simu za vibandani au washkaji randomly!!

Yaani kote huko ni one off ili kuepuka patterns kusomeka.
 
Ulielewa mfano wangu lakini mkuu?
Mfano wako niliuelewa vizuri sana Chief. Point ni kwamba, hata utumie simu na/au line nyingine still utawasiliana na wazazi au ndugu wa karibu.

Kwa kuwa kwa upande wa unaowasiliana nao hawatabadili lines zao; vyombo vya usalama vita-track ni akina nani wanasiliana nao na aina ya mazungumzo yataonesha huyu ni "Kato" (anayetafutwa) na anawasiliana kutokea wapi kwa kutumia hiyo line nyingine. Very simple.
 
Kwa kuwa kwa upande wa unaowasiliana nao hawatabadili lines zao; vyombo vya usalama vita-track ni akina nani
Mfano wangu ulikuwa ni ndugu mmoja unaewasiliana nae akawa na line tofauti ambaye si yake na simu tofauti.

Na muhalifu akawa anatumia line si yake. Acha kuingiza wazazi hapo, huyu ndugu anafikisha taarifa kwa mdomo tu .

Vipi wanaweza kukukamata?
 
Labda...uwezo wako na wake ni tofauti sana...kuna kiwewe kupagawa nà uoga ....pia ukiishiwa hela hizo zig zag kaka hutaweza....ukipata shida mara nyingi unakuwa hata akiba hamna.....sikiatu ninachokiongea nakijua.....ukitumia simu tu umèliwa....mtu unaempigia wanamchukua wanaweka safe house zao hata mwezi wanasubiri upige tu hapo hapo wana piga simu sehemu uliopo na picha yako.....sikia tuuu majambazi huwa wanakamatwa njia nyingi sana.....kumbuka ndio kazi yao daily.....uzoefuu
 
Duh! Ha ha ha! Hiyo ya mkeo au ndugu kusajili line nyingine kipindi hicho muhimu ni bonge la tip kwa vyombo vya usalama - never do that!

Watakuacha uwasiliane naye mara mbili tatu then utaitwa kusaidia uchunguzi. Nakuhakikishia utaeleza kila kitu. Never try that!
 
Mfano wangu ulikuwa ni ndugu mmoja unaewasiliana nae akawa na line tofauti ambaye si yake na simu tofauti.

Na muhalifu akawa anatumia line si yake. Acha kuingiza wazazi hapo, huyu ndugu anafikisha taarifa kwa mdomo tu .

Vipi wanaweza kukukamata?
Kuna scenarios kadhaa - namba mpya mbili zimesajiliwa recently then zikaanza kuwasiliana regularly kati ya hizo tu.

Namba yenye usajili wa zamani then ikaanza kuwasiliana na namba mpya iliyosajiliwa hivi karibuni ambayo inahamahama!

Namba mbili zenye usajili wa zamani ambazo hazikuwahi kuwasiliana then ghafla zikaanza kuwasiliana na mojawapo kati ya hizo inahamahama!

Mbona ni bonge la tip kwa Polisi Mkuu! Huyo mwenye namba ambayo haihamihami ni kiungo muhimu sana kukamatwa wako. Never try that.
 
Kuku na Njiwa Wote ni Ndege tu.
 
Wapi nimesema Kato ni Mnyiramba? Nimesema Afande Muna ni Mnyiramba.

Pumbavu.
 
Ni njia nzuri ,labda hujamwelewa
Hiyo line mkeo anaisajili kwa jina tofauti na iwe ni specific Kwa mawasiliano yenu tu asiitumie kwa kuwasiliana na mtu mwingine yeyote na simu anabadilisha wewe pia uwe unabadilisha patterns namba ya simu inayotumia utakapokuwa huko isiwe yako , hawawezi kukudaka kwa Tanzania hii ,labda uzingue kivingine


Au ili kuwa salama zaidi unaweza tumia messengers Yaani mtu wa kufikisha mawasiliano kwa njia ya mdomo kwa huyo itakayokuwa unataka kuwasiliana naye , Maana kuna uwezekano wakampa kibano ndugu yako au mkeo ambaye mko karibu au wakamfanyia surveillance na kumpeleleza kujua mawasiliano yenu .
 
Polisi wanaweza kutrack namba mpya zilizosajiliwa nchi nzima?
 
hiyoo ndo mistake wahalifu huwa wanafanya. sema mkuu unajua tatizo ni hela unakuta kaishiwa na hana chochote na ni mkoa wa watu. kingine damu ya mtu ni changamoto huwa inalia pia familia ya mfiwa walikuwa wanaomba Mungu apatikane.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…