Unabadili location kama Osama.... yaani mfano upo singida mjini basi unaenda hadi shelui kupiga simu tena ya maelekezo tu kuwa wakutumie pesa. Unaenda itolea Kiomboi alafu unarudi hadi Ikungi!! Ukienda zig zag hivyo na ukatumia mtu wa pili kuongea na mtu wa pili wa ndugu yako basi hawakudaki.
Pia mnatumia calls sio SMS, ni rahisi ku intercept messages kuliko calls unless wawe guaranteed utapiga. Sasa unaweza tumia namba geni ukapiga namba ya dukani kwa mangi jirani na kwenu apeleke simu uongee na ndugu yako. Hapo hawakudaki hata iweje maana sidhani polisi wana database ya number zote hadi street level, data analysts wenyewe hawazidi 10 ndio sembuse kutrack number za mtaa mzima?