Kukamatwa Juzi kwa Kato Rasta Muuaji wa Afande Muna Kawe ni jibu tosha kuwa huwezi Kuikimbia popote pale Jamhuri kama ikikutaka

Vipi angebadilisha simu na laini mpya?
 
Polisi nao utumia nguvu za giza.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Picha yake tafadhali
 
Ila wa lissu na walichemka au lina makengeza
 
Mkuu katika andiko lako la awali kuhusu stori hii, ulisema kuwa, baadaya mauaji mhusika alidakwa na kisha Polisi kumchukua wakati huo wanajeshi walitaka kwenda naye kambini kwao!

Sasa nauliza ilikuwaje tena atoke mikononi mwa Polisi na kwenda kukamatiwa mafichoni huko alikokuwa?
 
Ila waliojaribu kumwua Lissu mpaka leo hawajapatikana!
 
Watu wana mbinu sana
Kuna mwamba mmoja alikuwaga na kosa la mauaji alimpiga beto demu wake baada ya kumletea mapichapicha huku mwamba anahudumia.
Sasa alipopata huo msala akapotea kama miezi mitatu hivi kisha akarudi yaani akawa hatumii kabisa simu aina yoyote halafu hajulikani analala wapi mnaweza kukutana bar mkapiga story fresh tu mnakula tungi ila ghafla utashangaa polisi hawa hapa halafu ukigeuka kumcheck mwamba hayupo kayeyuka kimiujiza!
Kuna siku alinionyeshaga hirizi akasema hiyo ndo inasaidia asikamatwe yaani huwa inampa ishara kama kuna wanoko wanakuja kumkamata hivyo anapotea sekunde hiyo hiyo!
Mpaka leo mwamba hajawahi kukamatwa sema aliyumba sana kiuchumi sababu ya kukosa makazi ya kudumu na mishe za kueleweka
Mara ya mwisho nimekutana naye mkoa flani anapiga dili machimbo ya dhahabu
 
Baadhi ya wachangiaji ni professional killers hivyo acha tupate mbinu mujarabu!!!
 
Vipi angebadilisha simu na laini mpya?
....labda na watu wapya sio wale wale.....wanaweza kumchukua mkeo na mzazi mmoja unaempigia sana...wanaweka safe house ukipiga au text wako nao wewe wajua wako home....wanawaambia sema hivi fanya hivi kule wenzao wanasogea....mara utashangaa unaguswa shati....pia ukiishiwa ndio utahaha zaidi....
 
Hizo hela aliletewa huko huko angani?
 
Aaaaaa sawa kiongozi
 
Wakati wa usajili wa line huwa wanachukua hadi imei ya simu. So ata kama utabadili line imei ya simu itasoma, so watakutafuta, ndiyo maana watu huwa wanakamatwa na simu za wizi. So mwizi watamwambia wamtaje aliyemuuzia simu. Huenda jamaa alibadili line but hakubadili simu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…