Emanueli misalaba
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 1,769
- 2,523
Vipi angebadilisha simu na laini mpya?
Tatizo la Rasta katumia simu na ukitumia simu kwenda kwa mnara ulio karibu ya eneo aliopo.
Sasa hapa polisi ndio wanajua Rasta yupo eneo gani nao wanatuma picha yake kwa polisi wa eneo husika.
Kama Rasta ange wacha wapigia simu watu wake wa karibu mbona asinge patikana milele.