Kukamatwa Juzi kwa Kato Rasta Muuaji wa Afande Muna Kawe ni jibu tosha kuwa huwezi Kuikimbia popote pale Jamhuri kama ikikutaka

Kama ana move na simu basi mifumo iliyopo TCRA/ kampuni za simu inasoma exactly simu yake inapokea mawimbi kutoka mnara gani wa simu. Hivyo taarifa hio inatumiwa na polisi (Cyber Crime Unit) kuwasiliana kwa radio na polisi wa eneo hilo kwa ajili ya kumfuatilia muhusika. Hata yule kijana aliywua Rombo akakamatwa Jema Ngorongoro kule ni makosa haya haya muhalifu anayofanya. Kutumia vifaa vya teknolojia.

Kwa nchi zilizoendelea, detection ya movement ya muhalifu inafanyika hata kwa kuangalia manunuzi yake anayofanya (mf credit card, ATM anayotumia/aliyotumia mara ya mwisho), ticket za bus (zipo electronically), camera za barabarani (street camera), CCTV za maeneo maarufu kama alipita hapo n.k. Itoshe kusema tu huyo Rasta alikosa uelewa mdogo sana wa mambo otherwise asingeweza kushikwa maana TZ bado coordination ya hizi aspect ni mbaya.
 
PT hawa hawa walioshindwa kuwakamata washambuliaji wa Lissu?
Hawa hawa ninaowajua mimi?
Intel mbovu za PT, Tiss, na Jw mpaka majasus ya Rwanda yanaingia nchini yanateka na kuondoka na watu 5 wa familia moja?
Huyo jamaa simu ndio iliomponza ukiwa na msala km ule usitumie simu kabisa utakamatwa asubuhi na mapema

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Angefanikiwa kuvuka border chance ya kumkamata ingekua ndogo kama ni muhuni kweli.
Usijifaraji kumbuka kisa Cha walio muuwa mzungu Walter mpinga ujangiri mmoja alivuka mpaka kakamatwa Burundi.
Kumbuka tukio la majuzi vijana wadogo wa kiha waliuwa wenzao kwa sumu wakakimbilia Burundi waka karibia kukamatwa huko huko kwa ushirikiano wa majeshi ya polisi ndipo wakarudi nchini wakakamatwa.
Labda uende misitu ya Congo.
 
Naona unawasanifu hao Tiss
 
Serikali haishindwi kumtafuta yeyote aliyefanya mauaji ikiamua kamwe, kama utaendelea kubisha basi bisha at your own risk, nimemaliza.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Na misitu ya Congo tigers hawatakuacha salama.
 
Askari wa bongo vikosi vyote wana skillz za kutosha ila huzitumia tu pale kunapokua na masrahi yao ya kimaokoto au kihisia au masrahi ya serkali ovu ya ccm.
Hawafanyi kazi kutumikia raia hawa chawa wa kijani na manjano.
Kweli tupu maneno yako.

Kinachoumiza zaidi hawa 'mabaka" ambao walikuwa wanapendwa na kuaminiwa na wananchi, nao wamejitumbukiza kwenye shimo la UCHAWA.....wamekuwa wa hovyo haswa.
 
Dah noma, Cha msingi ni kutofanya uhalifu basi.
 
Kufanya hivyo hakuondoi possibility ya kukamatwa kuna delay tu.

Magaidi hawatumii simu lakini bado wanakamatwa.
 
Kumbe kuna tofauti kabisa kati ya hofu na woga?

Basi huwa naamini haya maneno yana maana sawa "hofu, woga, wasiwasi na mashaka".

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Serikali haishindwi kumtafuta yeyote aliyefanya mauaji ikiamua kamwe, kama utaendelea kubisha basi bisha at your own risk, nimemaliza.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Je, wale wanaotafuna vinyeo na wao wanawindwa na jeshi? πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ™Œ

Wizo nahisi nawindwa cocastic πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ujinga ni kujifanya unajificha halafu unazima simu na kuwasha au kutupa Line ya simu na kununua mpya afu kuendelea kutumia simu Ile Ile.
Tupa simu tupa line uone kama utadakwa kirahisi. Ingekuwa mm ningekuwa Mogadishu muda huu
Utavukia wapi sasa
 
Kuna yule muuwaji kutoka South Africa na mchumba wake Dr nani sijui walidakwa hotelini Arusha wakila maraha juzi kati hapa mwaka ulioisha jana. Ogopa teknolojia; baanda ya Mungu Mwenyezi; technology is next!
 
Season 2 Episode 1
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…