emperor
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 253
- 186
Kama ana move na simu basi mifumo iliyopo TCRA/ kampuni za simu inasoma exactly simu yake inapokea mawimbi kutoka mnara gani wa simu. Hivyo taarifa hio inatumiwa na polisi (Cyber Crime Unit) kuwasiliana kwa radio na polisi wa eneo hilo kwa ajili ya kumfuatilia muhusika. Hata yule kijana aliywua Rombo akakamatwa Jema Ngorongoro kule ni makosa haya haya muhalifu anayofanya. Kutumia vifaa vya teknolojia.Kuna Mwamba nae kanipa Elimu kama hii yako Mkuu. Unataka kuniambia asingetumia Simu kamwe asingedakwa?
Ina maana Polisi wana Mtambo wa Kusoma Mnara ulioko na kisha wakaja Kukudaka kama Kuku Uvunguni mwa Kitanda?
Naomba kujua hasa Polisi hufanya nini ili Kumkamata Mhalifu aliyekimbia kwani hata Mimi sikutegemea huyu Dogo Kato Rasta kuwa angekamatwa wakati nilisikia kuwa alikuwa akitaka Kutorokea nchini Msumbiji.
Kwa nchi zilizoendelea, detection ya movement ya muhalifu inafanyika hata kwa kuangalia manunuzi yake anayofanya (mf credit card, ATM anayotumia/aliyotumia mara ya mwisho), ticket za bus (zipo electronically), camera za barabarani (street camera), CCTV za maeneo maarufu kama alipita hapo n.k. Itoshe kusema tu huyo Rasta alikosa uelewa mdogo sana wa mambo otherwise asingeweza kushikwa maana TZ bado coordination ya hizi aspect ni mbaya.