Kukamatwa Juzi kwa Kato Rasta Muuaji wa Afande Muna Kawe ni jibu tosha kuwa huwezi Kuikimbia popote pale Jamhuri kama ikikutaka

Kukamatwa Juzi kwa Kato Rasta Muuaji wa Afande Muna Kawe ni jibu tosha kuwa huwezi Kuikimbia popote pale Jamhuri kama ikikutaka

Na ili kuonyesha kuwa Intelijensia ya Jeshi la Polisi nchini ni Kali ni kwamba ndani ya Miezi hii Miwili Muuaji Rakesh Kato Mayele ( alias ) Rasta Kato au Rasta Mayele ( Dereva Bajaji Kawe ) alikuwa akiwakimbia / akiwakwepa Polisi kwa Kuhamahama Mikoa ambapo aliishi Mikoa karibia Mitano kabila ya Mbio zake kuishia rasmi Mkoani Ruvuma ( Songea ) ambako ndiko Alikodakiwa / Alikokamatwa.
We jamaa si ulitwambia alikamatwa siku iliyofuata?
 
Hapo nunua line ya mchongo isiyo na usajili wa majina yako. .tafuta chaka mikoa ambayo ina shuguli za madini na uvuvi (wageni huwa wengi) hvyo hakuna atakayehisi ugeni wako ..jitupie huko kisha kata mawasiliano na mtu yoyote kwa muda wa mwaka mmoja.
Utakamatwa tu…
 
Kiufupi polisi duniani kote wana mitambo ya kusikiliza na kukutrack popote ulipo duniani kote.

Njia rahisi wakupate wana chukuwa namba za watu wako wa karibu kupitia mtandao wa simu.

Hapa hata kama utabadilisha namba wanajua huyu ni wewe kwa kupitia njia mbili sauti yako au wanamfata alie pigiwa atowe ushahidi kama kweli alikuwa mtuhumiwa alie ongea nae.

Mtuhumiwa kosa lake mara nyingi inayo sababisha akamatwe ni kufanya mawasiliano na mzee, mke, mchumba, ndugu au marafiki. Pia kutumia kitambulisho kama Passport au Nida kwa kusafiria au kusajili namba ya simu kwa kutumia vitambulisho husika.

Pia njia ya kutumia kutoa hela kwenye bank yake kwa 🏧 au tawi la bank hii hujua huyu mtu yupo eneo gani.
Sahihi
 
Kuna Mwamba nae kanipa Elimu kama hii yako Mkuu. Unataka kuniambia asingetumia Simu kamwe asingedakwa?

Ina maana Polisi wana Mtambo wa Kusoma Mnara ulioko na kisha wakaja Kukudaka kama Kuku Uvunguni mwa Kitanda?

Naomba kujua hasa Polisi hufanya nini ili Kumkamata Mhalifu aliyekimbia kwani hata Mimi sikutegemea huyu Dogo Kato Rasta kuwa angekamatwa wakati nilisikia kuwa alikuwa akitaka Kutorokea nchini Msumbiji.
Ukipiga simu mnara unasoma, mpaka movement zako, zinaonekana
 
Ngoja nikuulize swali.

Kati ya Kikwete (jasusi) na marehemu Magufuli unahisi nani anaweza kumuiga mwenzake halafu usoni usione mabadiliko?

Yaani wote wacheke, wakasirike, walie n.k. Namaanisha hivi hapa kuna mmoja amefundishwa kuishi kulingana na mazingira na hali fulani, huyu mwingine huendeshwa kihisia zaidi!

Kumbuka jasusi hana hisia kwani huambiwa kuwa hisia huiondoa akili katika kufanya maamuzi sahihi! Hisia anatakiwa kuwa nazo raia na siyo dola!
Mbona hakuna sehemu nilipokupinga isipokuwa nimejazia tu nyama kuwa hizo pia ni miongoni mwa tabia za hao Watu wawili "Introvert na Extrovert"?

Afu inshu ya kutumia akili badala ya hisia Kiongozi yeyote haswa wale "Charismatic Leadership people" huwa wana huo upeo automatically maana hekima ni kipaji.

Yani kuna mahali hufanya maamuzi ya papo kwa hapo, kuna mahali hukaa kimya, kuna mahali hufanya maamuzi baada ya muda kupita isipokuwa hucheza na nyakati na mazingira husika kulingana na chanzo cha tatizo na uzito wake.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo la Rasta katumia simu na ukitumia simu kwenda kwa mnara ulio karibu ya eneo aliopo.

Sasa hapa polisi ndio wanajua Rasta yupo eneo gani nao wanatuma picha yake kwa polisi wa eneo husika.

Kama Rasta ange wacha wapigia simu watu wake wa karibu mbona asinge patikana milele.
Ndio upumbavu wa wahalifu wa kiswahili. anatenda jinai na anaendelea kutumia simu (handset) ile ile. Hata akibadili line IMEI inaendelea kusoma chip mpya. Pia, waki track call list yako it means wataangalia namba mpya ambayo inapiga mara kwa mara hizi call lists zako, hapo lazima udakwe tu
 
Kitu ambacho watu hawajui ni kwamba kama hauna resources za kutosha basi kuimbia Serikali ni ngumu sana
Hata uende chaka gani watakudaka tu coz hauna pesa wala enough information on how to become a ghost
Solutions ni tatu tu..
Kaa mbali na matatizo, Jipeleke mwenyewe kituoni au Jiue
 
Kitu ambacho watu hawajui ni kwamba kama hauna resources za kutosha basi kuimbia Serikali ni ngumu sana
Hata uende chaka gani watakudaka tu coz hauna pesa wala enough information on how to become a ghost
Solutions ni tatu tu..
Kaa mbali na matatizo, Jipeleke mwenyewe kituoni au Jiue
Lakini mafisadi, wala rishwa , majambazi, watumia rasilimali za umaa na wasiojulikana wao wanashindikana.

This never stick in my minf.
 
Hiyo ya mkeo au ndugu kusajili line nyingine kipindi hicho muhimu ni bonge la tip kwa vyombo vya usalama -
Yaani kusajili line mpya ya majina ya muuza genge wa vingunguti ili mkeo/ndugu atumie kupokea simu za kutoka katavi ambazo ndio mtuhumiwa kajifichia huko atadakwaje? Hakuna line ya usajili wao, simu inapokelewa randomly sokoni na kuachwa sokoni (kiswaswadu) wanapata clue gani? Unless wawe wanafuatilia moves za ndugu na jamaa zako wote 30+!! Which is impossible
 
Usijifaraji kumbuka kisa Cha walio muuwa mzungu Walter mpinga ujangiri mmoja alivuka mpaka kakamatwa Burundi.
Kumbuka tukio la majuzi vijana wadogo wa kiha waliuwa wenzao kwa sumu wakakimbilia Burundi waka karibia kukamatwa huko huko kwa ushirikiano wa majeshi ya polisi ndipo wakarudi nchini wakakamatwa.
Labda uende misitu ya Congo.
Watu wakiamua kufanya kazi lazima utadakwa...ndomana kuna interpol
Ila nashangaa mtu kama a.masawe alitoka nduki hakuna unfamiliarity wowote uliyofanyika kwake

Ova
 
Kuna Mwamba nae kanipa Elimu kama hii yako Mkuu. Unataka kuniambia asingetumia Simu kamwe asingedakwa?

Ina maana Polisi wana Mtambo wa Kusoma Mnara ulioko na kisha wakaja Kukudaka kama Kuku Uvunguni mwa Kitanda?

Naomba kujua hasa Polisi hufanya nini ili Kumkamata Mhalifu aliyekimbia kwani hata Mimi sikutegemea huyu Dogo Kato Rasta kuwa angekamatwa wakati nilisikia kuwa alikuwa akitaka Kutorokea nchini Msumbiji.
Hiyo ni digital footprint, Osama alisurvive muda mrefu kwa kuwa hakutaka kutumia digital pathways

Kitendo cha kuwasiliana na ndugu ambao nao wako monitored lilikua kosa ,huo mtindo wa kufuatilia minara waliutumia sana kuwanasa suspects na wapangaji wa mauaji ya kibiti
 
Aliua Kawe Dar es Salaam tarehe 25 Oktoba, 2023 na Kakamatwa rasmi Juzi tarehe 29 Desemba, 2023 huko Mkoani Ruvuma.

Na ili kuonyesha kuwa Intelijensia ya Jeshi la Polisi nchini ni Kali ni kwamba ndani ya Miezi hii Miwili Muuaji Rakesh Kato Mayele ( alias ) Rasta Kato au Rasta Mayele ( Dereva Bajaji Kawe ) alikuwa akiwakimbia / akiwakwepa Polisi kwa Kuhamahama Mikoa ambapo aliishi Mikoa karibia Mitano kabila ya Mbio zake kuishia rasmi Mkoani Ruvuma ( Songea ) ambako ndiko Alikodakiwa / Alikokamatwa.

Namaliza tu kwa kusema kuwa kwa Teknolojia Kubwa iliyoko Tanzania kwa sasa na Intelijensia Mahiri ya Jeshi la Polisi, JWTZ na TISS ukiona umefanya Tukio lolote lile baya cha kufanya haraka sana ambacho nakushauri ni Wewe Kujiua tu ila usijidanganye kuwa hutopatikana kamwe kwa Kigezo cha Kutegemea Waganga wa Kienyeji kama ambavyo alikuwa akifanya huyu Kijana Muuaji Kato aliyemuua Afisa wa JWTZ Kanali Deogratius Muna ( Mtani wangu wa Kinyiramba ) kutokea Mkoa wa Singida.

Hongera sana PT kwa Kumkamata.

Kufahamu mkasa huo, soma: Updates za kifo cha Afande Luteni Kanali Muna aliyeuawa Kawe kwa kuchomwa kisu na dereva bajaji Kato
Wale "wasiojulikana" vipi??
Wale "waliompoteza" Ben Saanane vipi??
Wale "waliopoteza" mwandishi wa mwananchi vipi??
 
Huyo kijana alitakiwa abadilishe muonekano. Abadili life style. TZ kuna machaka ukienda kukamatwa ni hadithi
Nimewahi fika eneo moja huko chunya kwa wachimba madini. Lile eneo hakuna serikali, kuzulumiwa shimo dk moja tu unaweza kula na kisu juu
Lile eneo kuna watu waliofanya misala huko mijini na kwenda kule kujificha. Inasadikika wale jamaa hawana ROHO. Ukijitusu kule umeisha.
Dogo atakuwa kazoea maisha ya mjini.
Sema kubadili life style huwa ni ngumu hasa kama unatafutwa na dola.
 
Back
Top Bottom