Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
- Thread starter
-
- #41
Huyu usibishane nae ndio alivyoTukio linaeleweka sana. Hebu tafakari je mtuhumiwa amepelekwa MAHAKAMANI? Je watakapofika mahakami wataongozwa na sheria IPI? Je polisi wanaoweledi wa kurtoa USHAHIDI kwenye tukio kama hilo? Usishabikie pasi kuelewa WIGO na UKOMO wa majukumu ya polisi. Vinginevyo yako POTOFU na uelekeo wa polisi kwenye kesi kama hizi, nasikitika kukwambia tunashida sana ya UELEWA kwenye sheria. Hivi huoni hiki ni KITUKO? N laiti polisi wangalikuwa wanafunguliwa kesi za madai kwa makosa ya KUBAMBIKA na MICHONGO hii nchi ingetangazwa MUFLISI.
Mzee, kama hawana mipaka wakamkamate Rais pale IkuluIle ni Kazi ya police pia police hawana mipaka.
Wakati mwingine mambo yanakuzwa bila sababu ya msingi! Ukamuaji wa mafuta ya mawese unaweza kufanyika bila kuwa na kiwanda. Kinachotakiwa ni mapipa ya chuma na jiko la mkaa au kuni na kuanza kuchemsha. Sasa ili polisi wafanikishe nia yao ovu ya kukubambikia kesi watasema hilo jiko ni kiwanda!
Ile Kazi ya Bwana na bibi afya lakini awafanyi thus wanawauzia watz Vyakula kwenye magazeti na vyombo vya plastic vyote hivi usababisha kansa.Nani anayekagua maandazi yanaouzwa stendi na wamachinga au zile sambusa na mishkaki ya barabarani
Duh kumbe nabishana na kitufe cha MpapureHuyu usibishane nae ndio alivyo
Unaweza mkamata boss wakoMzee, kama hawana mipaka wakamkamate Rais pale Ikulu
Hivi ulisema hawana mipaka au unakubaliana nami kwamba wana mipaka?Unaweza mkamata boss wako
Jaribu kufuatilia posts zake zote yeye siku zote ni kubisha tuDuh kumbe nabishana na kitufe cha Mpapure
Haahhahaa umemuweza mwingine huyuMzee, kama hawana mipaka wakamkamate Rais pale Ikulu
Umesoma majibu ya Waziri mwenye dhamana?Polisi wamefanya kazi yao kwa sababu utaratibu wa kufanya shughuli kama hiyo upo na unapaswa ufuatwe.
Unazalisha chakula tena kwa kiwango kikubwa hakuna mamlaka yoyote inajua unachoweka Au kufanya kwenye hiyo product yako. Hatuwezi kuishi bila utaratibu hata kama ni masikini.
Tukio linaeleweka sana. Hebu tafakari je mtuhumiwa amepelekwa MAHAKAMANI? Je watakapofika mahakami wataongozwa na sheria IPI? Je polisi wanaoweledi wa kurtoa USHAHIDI kwenye tukio kama hilo? Usishabikie pasi kuelewa WIGO na UKOMO wa majukumu ya polisi. Vinginevyo yako POTOFU na uelekeo wa polisi kwenye kesi kama hizi, nasikitika kukwambia tunashida sana ya UELEWA kwenye sheria. Hivi huoni hiki ni KITUKO? N laiti polisi wangalikuwa wanafunguliwa kesi za madai kwa makosa ya KUBAMBIKA na MICHONGO hii nchi ingetangazwa MUFLISI.
Huyu usibishane nae ndio alivyo
Ndugu yangu, hizo dumu hata 20 hazifiki.Shida sio ukamuaji wa mawese. Sababu hata mimi nyumbani kwangu nakamua alizeti na kupata mafuta
Shida ni kuzalisha bidhaa kwa kiwango kikubwa na kuulisha umma bila kuzingatia taratibu za uzalishaji na usambazaji unaomlinda mlaji, mzalishaji na taifa
Mwambie asome majibu ya Waziri mwenye dhamana, sasa kama mtu anapingana na Waziri wake sisi tufanyejeNdugu yangu, hizo dumu hata 20 hazifiki.
Kuna peanut butter na crisps zinauzwa nyingi tu supermarket wala hazina TBS; hatukatai makpsa ya kuzalisha mafuta bila kuzingiatia vibali; huyu wala hazalishi kibiashara; hiyo anazalisha ni subsistence.
Investigation ifanyike kwa kuona intent ya huyu mtu na asaidiwe.
Bashe kafanya jambo la maana sana
Kwani wewe huuzi hayo mafuta? Kutoka Shinyanga, Singida, Dodoma hadi Morogoro mafuta ya alizeti yanauzwa barabarani yakiwa ndani ya chupa za maji, vigaloni na vidumu, je ukamuaji wake unasimamiwa na mamlaka ipi ya serikali?Shida sio ukamuaji wa mawese. Sababu hata mimi nyumbani kwangu nakamua alizeti na kupata mafuta
Shida ni kuzalisha bidhaa kwa kiwango kikubwa na kuulisha umma bila kuzingatia taratibu za uzalishaji na usambazaji unaomlinda mlaji, mzalishaji na taifa
Je yale mafuta ya alizeti yanayouzwa huko mastand yamekaguliwa na tbs pamoja na TFDA au mnaongea tuu,hayo mavyakula yanayouzwa huko stand huwa yamekaguliwa na hizo taasisi mnazozisemea ?Wanaoshabikia wala hawatumii hayo mawese, wao wanafurahia kuona sheria zilizowekwa hazifuatwi na mtu mwingine lakini wao wanazifuata[emoji28][emoji28][emoji28]
Kuna baahi ya mambo Nchi hii yanatoa hasira badala wasifu ubunufu wake na weledi alionao eti wanawnda.kumukamata cha msingi hawa vijana wasaidiweJana iliibuka story mitandaoni ya Jeshi la Polisi kumkamata Mtanzania Halali akikamua Mafuta bila kuwa na "usajili" yaani vibali, Mafuta ya mawese. Kama kawaida Jeshi letu (ambalo kwa mujibu wa Waziri wake, wengi wao ni failures) hawakumuumiza kichwa Wala kutumia busara, wakaitisha Press na kumsulubu mwekezaji mzawa aliyekua anatafuta ada za watoto wake kwa njia Halali.
Mungu akitaka kukupa kitu sometimes anakupitisha Kwenye majaribio magumu sana, Police bila kujua kuwa kwa kuitisha Press walikua wanamsaidia kumpiga chura Teke. Leo ndugu Zitto alipost Twitter akimuonba Waziri wa Kilimo Husein Bashe kumsaidia mwekezaji mzawa huyu kujua hatua stahiki za kuboresha kazi yake na hatimae Bashe ameripoti kuwa ameshachukua hatua.
Jambo hili linastahili pongezi sana maana ni Watanzania wengi sana wanaumizwa na Hawa Watawala wadogo wanaojiita miungu Watu wakiongozwa na Jeshi la Polisi, Watendaji, na maafisa wengine wa SERIKALI.
---
Ujumbe wa Zitto Kabwe
Wananchi wanatafuta njia zao za kujipatia kipato. Bwana Halifa Issa anapaswa kusaidiwa kuonyeshwa njia za vibali na sio kukamatwa. Waziri wa Kilimo ndugu @HusseinBashe na Waziri wa Mambo ya Ndani Bwana Masauni kemeeni mambo haya. Huyu anafanya value addition. Support him
Majibu ya Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe
Nashukuru kwa Taarifa hii nimewasiliana na Mh DC wa kibaha nimemuomba amtafute huyu mwananchi na kumsaidia kupitia SIDO na wizara ya kilimo tuna promote “Value addition” through backyard processing hana tofauti na wale wa alizeti wanaouza Barabarani ni Jukumu letu kuwasaidia
View attachment 2086623
View attachment 2086625
Kwani wewe huuzi hayo mafuta? Kutoka Shinyanga, Singida, Dodoma hadi Morogoro mafuta ya alizeti yanauzwa barabarani yakiwa ndani ya chupa za maji, vigaloni na vidumu, je ukamuaji wake unasimamiwa na mamlaka ipi ya serikali?
Je yale mafuta ya alizeti yanayouzwa huko mastand yamekaguliwa na tbs pamoja na TFDA au mnaongea tuu,hayo mavyakula yanayouzwa huko stand huwa yamekaguliwa na hizo taasisi mnazozisemea ?
Duh kumbe nabishana na kitufe cha Mpapure