Kukamatwa kwa kiwanda bubu cha mafuta ya mawese mkoani Pwani, nawapongeza Zitto na Bashe kwa hatua walizochukua

Kukamatwa kwa kiwanda bubu cha mafuta ya mawese mkoani Pwani, nawapongeza Zitto na Bashe kwa hatua walizochukua

Kumiliki kiwanda bila ya kibali/leseni ni kosa kisheria. Lakini pia kuzalisha bidhaa kiwandani na kuuza pasipo kukagaguliwa na TANZANIA FOOD AND DRUGS AUTHORITY nayo ni kosa kisheria na bidhaa hizo zaweza kuwa ni hatari kwa matumizi ya mwana wa Adamu.

Kwa mantiki hiyo huna sababu ya msingi ya kulilaumu jeshi la polisi. Kwani limetekeleza wajib wake. Bali kumpongeza mwana matukio Zitto na waziri wa kilimo ni jambo jema.

Ningekuona una maana endapo tu ungelisifu jeshi la polisi kwa kumwibua mhusika huo na akapata kusaidiwa na waziri wa kilimo.
Umeandika pumba gani hizi.
Mkisha kaa kwenye viyoyozi
Mnawaona wengine popoma
 
Polisi hawajafanya kosa kumkamata kwa kuendesha shughuli zake kibubu bubu..........kuna sheria mbalimbali zinazosimamia uendeshawaji wa shughuli kama hizo zikiwemo afya na mazingira, sheria za viwango, sheria za kazi nk ndo maana unatakiwa kuwa na vibali. Watu wakianza kuhara hapa kwa kutumia mafuta yasiyo na viwango ni hao hao mtakaokuja kuwasema polisi........
 
Ndio mimi siuzi, na najua nitakapotaka kuuza lazima niruhusu mamlaka husika kunisimamia nisije ua watu.

Chochote kinachofanyika nje ya taratibu ni kosa na hakuna haja ya kutetea makosa

Kama serikali inavyokamata Gongo inayoitwa konyagi, iendelee kukamata hata mafuta, nyama, samaki vinavyouziwa walaji bila kuthibitika ubora wake

Hatuwezi kusema kama kuna kosa linafanyika pale basi na hapa tufanye makosa. Huo utakua upumbavu wa kiwango cha juu sana kwetu
Na utakuwa upumbavu mkubwa zaidi kama serikali itafanya ulevi huo wa madaraka! Mafuta ya kupikia si sawa na gongo. Hivi sasa mamilioni ya Watanzania wanatumia mafuta yanayokamuliwa na wakulima/wafanyabiashara binafsi.
 
3B7BB51A-F6E6-4250-8A85-E7A8672D3E84.jpeg



940182A4-1827-4F3E-8266-32ECAD9C900D.jpeg


Mzalishaji mdogo wa mafuta sio peke yake wapo maelfu waliojisajili SIDO na kupewa mafunzo.

Watu kama hao ni vichwa ngumu tu; hakuna cha ubunifu wala nini zaidi ya kuvunja sheria.

Waziri ku support watu wa aina hiyo ni kutuma message mbaya kwenye jamii vunja sheria ukikamatwa utapelekwa SIDO kwenye mafunzo.

Soon watu wataanza kuzalisha umeme na kujisambazia nyumba za jirani bila ya kushirikisha TANESCO.
 
Polisi kwa upumbavu wao walidhani hiyo ni kama mtambo wa gongo. Ama kweli Mungu akunyime mali akupe akili.
 
Kumiliki kiwanda bila ya kibali/leseni ni kosa kisheria. Lakini pia kuzalisha bidhaa kiwandani na kuuza pasipo kukagaguliwa na TANZANIA FOOD AND DRUGS AUTHORITY nayo ni kosa kisheria na bidhaa hizo zaweza kuwa ni hatari kwa matumizi ya mwana wa Adamu.

Kwa mantiki hiyo huna sababu ya msingi ya kulilaumu jeshi la polisi. Kwani limetekeleza wajib wake. Bali kumpongeza mwana matukio Zitto na waziri wa kilimo ni jambo jema.

Ningekuona una maana endapo tu ungelisifu jeshi la polisi kwa kumwibua mhusika huo na akapata kusaidiwa na waziri wa kilimo.
Hiv sifa ya kuitwa hiki ni kiwanda ni zipi?
Nan anaekagua na kupitisha vibari vya wauza maandazi na vitumbua huku mtaani? Vip wale wanaotengeneza mafuta ya kukaangia samaki(watu wa maeneo ya kanda ya ziwa wanaelewa) nan anawakagua?
 
Soon watu wataanza kuzalisha umeme na kujisambazia nyumba za jirani bila ya kushirikisha TANESCO.
Huo ndio ubunifu. Ukiona imefikia hatua hiyo jua uyo mtu kaona serikali imeshindwa kufikisha hio huduma sehemu husika na yeye kaamua kutatua hio changamoto. Kama uliwai ishi maeneo ya bwanga, buziku, katoro miaka kama tisa nyuma kulikuwa hakuna huduma za umeme wa tanesco lakin kulikuwa na watu wanazalisha umeme na kusambaza lile eneo zima.

Huduma yeyote inaitaji ubunifu na sio kila mbunifu anauwelewa juu ya kanuni na taratibu za kuendesha hicho kitu ni wajibu wa serikali na taasisi zake kuwatafta na kuwaelimisha ili kuongeza thaman ya huduma wanazo zizalisha
 
View attachment 2086870


View attachment 2086871

Mzalishaji mdogo wa mafuta sio peke yake wapo maelfu waliojisajili SIDO na kupewa mafunzo.

Watu kama hao ni vichwa ngumu tu; hakuna cha ubunifu wala nini zaidi ya kuvunja sheria.

Waziri ku support watu wa aina hiyo ni kutuma message mbaya kwenye jamii sheria ukikamatwa utapelekwa SIDO.

Soon watu wataanza kuzalisha umeme na kujisambazia nyumba za jirani bila ya kushirikisha TANESCO.
Kwahiyo ww hutaki watu wawe wabunifu, hii nchi ina viongozi wa ajabu sana
 
Huo ndio ubunifu. Ukiona imefikia hatua hiyo jua uyo mtu kaona serikali imeshindwa kufikisha hio huduma sehemu husika na yeye kaamua kutatua hio changamoto. Kama uliwai ishi maeneo ya bwanga, buziku, katoro miaka kama tisa nyuma kulikuwa hakuna huduma za umeme wa tanesco lakin kulikuwa na watu wanazalisha umeme na kusambaza lile eneo zima.

Huduma yeyote inaitaji ubunifu na sio kila mbunifu anauwelewa juu ya kanuni na taratibu za kuendesha hicho kitu ni wajibu wa serikali na taasisi zake kuwatafta na kuwaelimisha ili kuongeza thaman ya huduma wanazo zizalisha
Wanaofundishwa ni wale wanao report shughuli zao kwa mwenyekiti wa kijiji, au popote mpaka mamlaka za juu; wenye kuwaelekeza wapi pa kwenda kurasimisha uzalishaji wao.

Watu wapo vijijini kabisa wanajizalishia umeme wao wenyewe lakini wanaelewa kupeleka nyumba ya jirani bila ya kuja kukaguliwa na TANESCO ni kuvunja sheria.

Swala la wazalishaji wadogo wa mafuta yakupikia huyo sio kwanza na wala atakuwa wa mwisho; soma hiyo article niliyoweka kutoka habari leo kwanini mafunzo ni muhimu.

Binafsi namjua mtu ambae kapoteza mdogo wake kupitia bia fake kutoka viwanda bubu.

Kwenye mafuta kuna wazalishaji wadogo zaidi yake wanasijali iweje yeye asijue.

Ni muhuni tu hakuna cha ubunifu wala nini kuna maelfu ya watu wanazalisha mafuta yeye sio wa kwanza. Amevunja sheria kwa makusudi tu, watu kama hao sio wakuchekewa.
 
Wanaofundishwa ni wale wanao report shughuli zao kwa mwenyekiti wa kijiji, au popote mpaka mamlaka za juu; wenye kuwaelekeza wapi pa kwenda kurasimisha uzalishaji wao.

Watu wapo vijijini kabisa wanajizalishia umeme wao wenyewe lakini wanaelewa kupeleka nyumba ya jirani bila ya kuja kukaguliwa na TANESCO ni kuvunja sheria.

Swala la wazalishaji wadogo wa mafuta yakupikia huyo sio kwanza na wala atakuwa wa mwisho; soma hiyo article niliyoweka kutoka habari leo kwanini mafunzo ni muhimu.

Binafsi namjua mtu ambae kapoteza mdogo wake kupitia bia fake kutoka viwanda bubu.

Kwenye mafuta kuna wazalishaji wadogo zaidi yake wanasijali iweje yeye asijue.

Ni muhuni tu hakuna cha ubunifu wala nini kuna maelfu ya watu wanazalisha mafuta yeye sio wa kwanza. Amevunja sheria kwa makusudi tu, watu kama hao sio wakuchekewa.
Hao wengi unao wasema wazalisha kila mtu kivyake ama kama kikundi? Uzalishaji wao upo katika eneo gani ? Eneo ambalo utegemea hio shughuri kama shughuri kuu ya kiuchumi ama ?
Ni rahis ayo unayosema ni rahis kufanyika kwenye maeneo ambayo hicho kitu ufanyika kwa wingi na kinategemewa kama kitega uchumi kwenye eneo husika.


Watu wapo vijijini kabisa wanajizalishia umeme wao wenyewe lakini wanaelewa kupeleka nyumba ya jirani bila ya kuja kukaguliwa na TANESCO ni kuvunja sheria.
Hapa sizan kama kuna ukweli maana watu wengi wa vijijini hawana uelewa juu ya hizo sheria
 
Kazi iendelee.
Mawaziri wakiwa huru ndio tutaona uwezo wao wa kufikiri upo vipi. Hongera kwa hatua chanya

Waziri wa madini nae angekuwa na moyo wa uzalendo angesimamisha zoezi wanalofanya huko Singida [ Sambaru] la kuwanyanga'anya leseni wachimbaji wadogo wadogo na kumpatia Shanta mining; kwavile amewahonga maafisa madini!!! Waziri shuhurikia kero hii!!
 
Hao wengi unao wasema wazalisha kila mtu kivyake ama kama kikundi? Uzalishaji wao upo katika eneo gani ? Eneo ambalo utegemea hio shughuri kama shughuri kuu ya kiuchumi ama ?
Ni rahis ayo unayosema ni rahis kufanyika kwenye maeneo ambayo hicho kitu ufanyika kwa wingi na kinategemewa kama kitega uchumi kwenye eneo husika.



Hapa sizan kama kuna ukweli maana watu wa vijijini hawana uelewa juu ya hizo sheria



Hiyo video ya maelezo kutoka TBS mikoa waliyopita; nimekuwekea nakala ya habari leo ambayo ina zaidi ya mwaka hadi kipindi iko watu 1700 walikuwa washapewa mafunzo na yanaendelea mpaka leo ni takwa la serikali.

Bashe sio waziri wa viwanda na biashara ni wa kilimo huko ni kuingilia mipango ya wizara nyingine huyo bwana ni mvunja sheria hakuna kingine.

Kama ni wazalishaji wadogo naweza kukuletea video luluki kuanzia wanaojizalishia kwa matumizi yao mpaka wanaosambaza. Hana cha ubunifu huyo mtu ni mvunja sheria tu.



Halikadhalika kwenye umeme ni ivyo ivyo naweza kwenda kukuletea zaidi video za yule jamaa wa Morogoro na Mbeya; ni kosa kisheria kusambaza umeme bila ya TANESCO kukutembelea.
 
Back
Top Bottom