johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Sijasema bado, ngoja tuone 🐼Unatqkq kusema nini
Haitoondoa ukweli kwamba Magufuli alikuwa na vitendo vya kishetani sn....Kuna mambo Mawili muhimu Sana
Mosi: Amri ya kukamatwa Meya wa zamani wa Ubungo mh Boniface Jacob na Mwanaharakati mwingine wa Chadema mh Malisa iliyotolewa na Kamanda wa Kanda maalum ya DSM juu uzushi wao kwamba Polisi walihusika Kifo Cha Mtu aitwaye Mushi
Pili: Mwanasheria Nguli Wakili Msomi Mwabukusi kuwa Wakili wa Bonny na Malisa
Kesi hii tutajifunza mambo mengi Sana ya kimfumo kuanzia tuanze siasa za Vyama Vingi
Ikumbukwe wakati wa Mwangosi Shujaa Magufuli hakuwepo na Hata sasa Ni Mushi Shujaa hayupo
Mungu wa Mbinguni awabariki Ufuatiliaji kwa Haki
Ahsanteni 🐼
Mada kwa Wenye Vyeti tu 😂🔥Haitoondoa ukweli kwamba ******** alikuwa na vitendo vya kishetani sn....
Akili yako inawaza vyeti tu na wala sio Maarifa.Mada kwa Wenye Vyeti tu 😂🔥
Hizi akili za vyeti na alizokuwa nazo lile shetani lenu la Chato mpk likaamuq kufoji cheti liwe na PhD fake.Mada kwa Wenye Vyeti tu 😂🔥
Kuna mambo Mawili muhimu Sana
Mosi: Amri ya kukamatwa Meya wa zamani wa Ubungo mh Boniface Jacob na Mwanaharakati mwingine wa Chadema mh Malisa iliyotolewa na Kamanda wa Kanda maalum ya DSM juu uzushi wao kwamba Polisi walihusika Kifo Cha Mtu aitwaye Mushi
Pili: Mwanasheria Nguli Wakili Msomi Mwabukusi kuwa Wakili wa Bonny na Malisa
Kesi hii tutajifunza mambo mengi Sana ya kimfumo kuanzia tuanze siasa za Vyama Vingi
Ikumbukwe wakati wa Mwangosi Shujaa Magufuli hakuwepo na Hata sasa Ni Mushi Shujaa hayupo
Mungu wa Mbinguni awabariki Ufuatiliaji kwa Haki
Ahsanteni 🐼
Hiimbona haina itata? GJ kasema kauliwa na Polisi, ni kiasi cha luthibitisha tu. Dawa ya wavhovjezi kama hawa ni kufungwa japo kwa nusumwaka ili wasirudie! Na wenzao liwe fundisho wasijaribu.Kuna mambo Mawili muhimu Sana
Mosi: Amri ya kukamatwa Meya wa zamani wa Ubungo mh Boniface Jacob na Mwanaharakati mwingine wa Chadema mh Malisa iliyotolewa na Kamanda wa Kanda maalum ya DSM juu uzushi wao kwamba Polisi walihusika Kifo Cha Mtu aitwaye Mushi
Pili: Mwanasheria Nguli Wakili Msomi Mwabukusi kuwa Wakili wa Bonny na Malisa
Kesi hii tutajifunza mambo mengi Sana ya kimfumo kuanzia tuanze siasa za Vyama Vingi
Ikumbukwe wakati wa Mwangosi Shujaa Magufuli hakuwepo na Hata sasa Ni Mushi Shujaa hayupo
Mungu wa Mbinguni awabariki Ufuatiliaji kwa Haki
Ahsanteni 🐼
Katika yote ni hili la "kupelekwa maiti Amana na mwishowe Kilwa road kwenye mortuary ya Polisi"Kwa maiti ya kuokotwa,mmh.Haya ngoja tuone.Kuna mambo Mawili muhimu Sana
Mosi: Amri ya kukamatwa Meya wa zamani wa Ubungo mh Boniface Jacob na Mwanaharakati mwingine wa Chadema mh Malisa iliyotolewa na Kamanda wa Kanda maalum ya DSM juu uzushi wao kwamba Polisi walihusika Kifo Cha Mtu aitwaye Mushi
Pili: Mwanasheria Nguli Wakili Msomi Mwabukusi kuwa Wakili wa Bonny na Malisa
Kesi hii tutajifunza mambo mengi Sana ya kimfumo kuanzia tuanze siasa za Vyama Vingi
Ikumbukwe wakati wa Mwangosi Shujaa Magufuli hakuwepo na Hata sasa Ni Mushi Shujaa hayupo
Mungu wa Mbinguni awabariki Ufuatiliaji kwa Haki
Ahsanteni 🐼
Umesoma Kitabu Cha Hayati Ben Mkapa?Uharibifu uliofanywa kwenye awamu hiyo madhara yake usitegemee yaishe haraka hivyo.
Hizi tabia za kusifusifu viongozi mpaka kufikia kusema Rais katoa hela za kujenga daraja au barabara yameanzia awamu ya
Huyu mzee Muliro ni mtu wa hovyo, sijui halioni hata aibu huku linakaribia kustaafu?Uharibifu uliofanywa kwenye awamu hiyo madhara yake usitegemee yaishe haraka hivyo.
Hizi tabia za kusifusifu viongozi mpaka kufikia kusema Rais katoa hela za kujenga daraja au barabara yameanzia awamu ya tano zaidi, Sasa umeona yalivyonoga Sasa?
Kauli za kutishia kupoteza watu zilipandwa awamu hiyo rejea kauli za kina Musiba, na juzi umemsikia vizuri kiongozi wa uvccm Kagera, alichokisema,umesikia ameitwa kuhojiwa popote?
Kwa hiyo kusema kwa kuwa JPM hayupo asilaumiwe kwa matukio yanayotokea Sasa ambayo yanayafanana na ya kipindi chake, siyo kweli, laana ya uuaji huwa haiondoki kirahisi hivyo.
Wewe hujiulizi umewahi kusikikia vyombo vyetu vya Dola vikisema lolote kuhusu waliomshambulia Lisu angalau kuonyesha wako tofauti na utawala ule?
Ama wamewahi kusema lolote kuhusu walipo akina Azory Ngwanda au Ben Sanane?, Sasa kama watendaji wa serikali waliokuwa awamu hiyo wapo na kwenye awamu hii unategemea mambo yabadilike haraka hivyo!!
Unafikiri kina Mandera walikuwa wajinga kuunda Tume za maridhiano za kuondoa visasi kama kipaumbele cha kwanza,walionao ilikuwa ni lazima kuondoa uchungu kwenye mioyo ya watu walioumizwa kwanza ndio mambo mengine yafuate.
Haitoondoa ukweli kwamba Magufuli alikuwa na vitendo vya kishetani sn....
Sana.suala la vyeti fake ndo lilituumiza wengi na kumchukia.Haitoondoa ukweli kwamba Magufuli alikuwa na vitendo vya kishetani sn....
Uhovyo wake ni pale tu anapotaka jambo liwe wazi kuhusiana na tuhuma zinazopelekwa kwenye jeshi lake?Huyu mzee Muliro ni mtu wa hovyo, sijui halioni hata aibu huku linakaribia kustaafu?