Kukamatwa kwa Malisa na Boniface Jacob kutatoa fursa ya kuujua ukweli maana Magufuli alisingiziwa mengi na wapinzani wake

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kuna mambo Mawili muhimu sana,

Mosi: Amri ya kukamatwa Meya wa zamani wa Ubungo Boniface Jacob na Mwanaharakati mwingine wa CHADEMA Malisa iliyotolewa na Kamanda wa Kanda maalum ya Dar juu uzushi wao kwamba Polisi walihusika kifo cha mtu aitwaye Mushi.

Pili: Mwanasheria Nguli Wakili Msomi Mwabukusi kuwa Wakili wa Bonny na Malisa.

Kesi hii tutajifunza mambo mengi sana ya kimfumo kuanzia tuanze Siasa za Vyama Vingi.

Ikumbukwe wakati wa Mwangosi Shujaa Magufuli hakuwepo na hata sasa ni Mushi Shujaa hayupo.

Mungu wa Mbinguni awabariki ufuatiliaji kwa Haki.

Ahsanteni. 🐼
 
Haitoondoa ukweli kwamba Magufuli alikuwa na vitendo vya kishetani sn....
 

Hiimbona haina itata? GJ kasema kauliwa na Polisi, ni kiasi cha luthibitisha tu. Dawa ya wavhovjezi kama hawa ni kufungwa japo kwa nusumwaka ili wasirudie! Na wenzao liwe fundisho wasijaribu.
 
Katika yote ni hili la "kupelekwa maiti Amana na mwishowe Kilwa road kwenye mortuary ya Polisi"Kwa maiti ya kuokotwa,mmh.Haya ngoja tuone.
 
Uharibifu uliofanywa kwenye awamu hiyo madhara yake usitegemee yaishe haraka hivyo.
Hizi tabia za kusifusifu viongozi mpaka kufikia kusema Rais katoa hela za kujenga daraja au barabara yameanzia awamu ya tano zaidi, Sasa umeona yalivyonoga Sasa?

Kauli za kutishia kupoteza watu zilipandwa awamu hiyo rejea kauli za kina Musiba, na juzi umemsikia vizuri kiongozi wa uvccm Kagera, alichokisema,umesikia ameitwa kuhojiwa popote?

Kwa hiyo kusema kwa kuwa JPM hayupo asilaumiwe kwa matukio yanayotokea Sasa ambayo yanayafanana na ya kipindi chake, siyo kweli, laana ya uuaji huwa haiondoki kirahisi hivyo.

Wewe hujiulizi umewahi kusikikia vyombo vyetu vya Dola vikisema lolote kuhusu waliomshambulia Lisu angalau kuonyesha wako tofauti na utawala ule?

Ama wamewahi kusema lolote kuhusu walipo akina Azory Ngwanda au Ben Sanane?, Sasa kama watendaji wa serikali waliokuwa awamu hiyo wapo na kwenye awamu hii unategemea mambo yabadilike haraka hivyo!!
Unafikiri kina Mandera walikuwa wajinga kuunda Tume za maridhiano za kuondoa visasi kama kipaumbele cha kwanza,walionao ilikuwa ni lazima kuondoa uchungu kwenye mioyo ya watu walioumizwa kwanza ndio mambo mengine yafuate.
 
Uharibifu uliofanywa kwenye awamu hiyo madhara yake usitegemee yaishe haraka hivyo.
Hizi tabia za kusifusifu viongozi mpaka kufikia kusema Rais katoa hela za kujenga daraja au barabara yameanzia awamu ya
Umesoma Kitabu Cha Hayati Ben Mkapa?
 
Huyu mzee Muliro ni mtu wa hovyo, sijui halioni hata aibu huku linakaribia kustaafu?
 
Uzuri hata mahakama ikipewa maelekezo tutaelewa mengi sana kupitia mawakili wasomi wanaojielewa walio upande wa wananchi! Iende mahakamani na siye tuchangie Mwabukusi, Matata, Kibatala, Mallya na ikibidi babalao TAL ataingia uwanjani tuone jaji atakayeleta fyoko!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…