Pua ya zege
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 1,941
- 2,081
Jeshi la polisi bado sana kuwa na watu wenye weredi unakaa na maiti ambayo haijatambulika zaidi ya siku kumi tena kwenye hospitari yao kuna vyombo vya habari kama TBC wanakipindi maalumu cha watu waliopotea kwanini usitangaze na wakati huohuo ndugu wamepita vituo vya polisi hawajampata ina maana hawana database zao kwa ufupi huyu kamanda atakufinyanga uongo hajui natamani kesi iende mahakamani muriro akahojiwe atasema ukweliHuyu mzee Muliro ni mtu wa hovyo, sijui halioni hata aibu huku linakaribia kustaafu?