Kukamatwa kwa Malisa na Boniface Jacob kutatoa fursa ya kuujua ukweli maana Magufuli alisingiziwa mengi na wapinzani wake

Kukamatwa kwa Malisa na Boniface Jacob kutatoa fursa ya kuujua ukweli maana Magufuli alisingiziwa mengi na wapinzani wake

Uharibifu uliofanywa kwenye awamu hiyo madhara yake usitegemee yaishe haraka hivyo.
Hizi tabia za kusifusifu viongozi mpaka kufikia kusema Rais katoa hela za kujenga daraja au barabara yameanzia awamu ya tano zaidi, Sasa umeona yalivyonoga Sasa?
Kauli za kutishia kupoteza watu zilipandwa awamu hiyo rejea kauli za kina Musiba, na juzi umemsikia vizuri kiongozi wa uvccm Kagera, alichokisema,umesikia ameitwa kuhojiwa popote?
Kwa hiyo kusema kwa kuwa JPM hayupo asilaumiwe kwa matukio yanayotokea Sasa ambayo yanayafanana na ya kipindi chake, siyo kweli, laana ya uuaji huwa haiondoki kirahisi hivyo.
Wewe hujiulizi umewahi kusikikia vyombo vyetu vya Dola vikisema lolote kuhusu waliomshambulia Lisu angalau kuonyesha wako tofauti na utawala ule?
Ama wamewahi kusema lolote kuhusu walipo akina Azory Ngwanda au Ben Sanane?, Sasa kama watendaji wa serikali waliokuwa awamu hiyo wapo na kwenye awamu hii unategemea mambo yabadilike haraka hivyo!!
Unafikiri kina Mandera walikuwa wajinga kuunda Tume za maridhiano za kuondoa visasi kama kipaumbele cha kwanza,walionao ilikuwa ni lazima kuondoa uchungu kwenye mioyo ya watu walioumizwa kwanza ndio mambo mengine yafuate.
Wewe mpuuzi tu ina maana unataka kusema waliomuua Mushi ni watu wa awamu ya tano? Vipi waliomuua mwanahabari Mwangosi, Dr Mvungi wa katiba mpya na Chacha Wangwe wa CHADEMA kipindi cha awamu ya nne ya Kikwete nao ni watu wa awamu ya tano?

Pia nikukumbushe vipi kuhusu kutekwa kwa Dr Ulimboka kiongozi wa chama cha Madaktari nao walio mteka kipindi cha Kikwete walitumwa na hao wa awamu ya tano?

Acheni ujinga na upumbavu wenu wa kumwongelea mabaya JPM kila kukicha lakini hutasikia mnaongea haya yanayofanyika saizi kwenye utawala wa Samia kama Rais Samia anahusika lakini kipindi cha JPM kila tukio mlisema kawatuma yeye kuua na kuteka watu!

,
 
Ukiona jitu linamponda Magufuli ujue :Ni jambazi, lilikuwa na vyeti fake, fisadi.
Bado haiondoi ukweli kuwa lile jitu lenu lilikuwa na tabia za kishenzi sn kuliko ht shetani mwenyewe.
Ndo mana lilikosa ht nuru usoni mwake mpk kufa kifaaaala namna ile
 
Ukisoma maelezo ya bony yai na muliro kuna kitu unang'amua kiwepesi saana.
Subiri uone aibu itakayowakuta kina fulani.
 
Wewe mpuuzi tu ina maana unataka kusema waliomuua Mushi ni watu wa awamu ya tano? Vipi waliomuua mwanahabari Mwangosi, Dr Mvungi wa katiba mpya na Chacha Wangwe wa CHADEMA kipindi cha awamu ya nne ya Kikwete nao ni watu wa awamu ya tano?

Pia nikukumbushe vipi kuhusu kutekwa kwa Dr Ulimboka kiongozi wa chama cha Madaktari nao walio mteka kipindi cha Kikwete walitumwa na hao wa awamu ya tano?

Acheni ujinga na upumbavu wenu wa kumwongelea mabaya JPM kila kukicha lakini hutasikia mnaongea haya yanayofanyika saizi kwenye utawala wa Samia kama Rais Samia anahusika lakini kipindi cha JPM kila tukio mlisema kawatuma yeye kuua na kuteka watu!

,
Hilo liko wazi kuwa Jiwe alikuwa muuaji na muovu kupita maelezo
 
Kuna mambo Mawili muhimu Sana

Mosi: Amri ya kukamatwa Meya wa zamani wa Ubungo mh Boniface Jacob na Mwanaharakati mwingine wa Chadema mh Malisa iliyotolewa na Kamanda wa Kanda maalum ya DSM juu uzushi wao kwamba Polisi walihusika Kifo Cha Mtu aitwaye Mushi

Pili: Mwanasheria Nguli Wakili Msomi Mwabukusi kuwa Wakili wa Bonny na Malisa

Kesi hii tutajifunza mambo mengi Sana ya kimfumo kuanzia tuanze siasa za Vyama Vingi

Ikumbukwe wakati wa Mwangosi Shujaa Magufuli hakuwepo na Hata sasa Ni Mushi Shujaa hayupo

Mungu wa Mbinguni awabariki Ufuatiliaji kwa Haki

Ahsanteni 🐼
Mkuu usilinganishe masuala ambayo hayalinganishiki na kesi za vibaka.
Sijui unamuingizaje Magufuli na complexity ya kesi zake na hawa watu waliopotea.
 
Maana yake: Pigana na System ya CCM usipigane na mtu mmoja. Ondoa CCM nchi itakuwa salama.
Aliyemuua Sokoine ni CCM (system)
Aliyemuua Balali (system)
Aliyemuua Kombe (system)
Aliyempiga risasi Tundu Lisu (system)
Watekaji wote: Ni System

System iliyowekwa na CCM, huwa inaendelezwa tu. Ukiua CCM system kwisha

Don't fight Kikwete, Magufuli, samia - Fight the System ==>> CCM
Hii ndo akili kubwa kwenye mjadala! Kuna wajinga kila leo kusema JPM aliua watu ila cha kushangaza mauaji yapo hata kwa Kikwete na Samia!
Hongera kwa mchango mzuri na kikubwa ni kuipinga system chini ya uongozi wa CCM!
 
Kwa hiyo Kikwete nae alituma watu? Vipi Samia nae anatuma?
At least hao hata kama walifanya/wamefanya mabaya lakini ni mambo ya kiutawala. Ila Jiwe alikuwa anafanya maovu ili kumkomoa mtu flani,ndiyo maana kifo chake kuna watu mpaka walichinja ng'ombe
 
Bado haiondoi ukweli kuwa lile jitu lenu lilikuwa na tabia za kishenzi sn kuliko ht shetani mwenyewe.
Ndo mana lilikosa ht nuru usoni mwake mpk kufa kifaaaala namna ile
Tabia za kishenzi mlikuwa nazo nyie majambaz. Kikwete aliwaruhusu majambaz kuuwa watu wengi sana pale mlimani city na kuwaibia pesa. Biashara, ya uwakala wa, pesa ilikuwa, ngumu. Vivaa,JPM.
 
Una bichwa kubwa na zito ambalo ni mzigo kwenye shingo yako kibaya zaidi bichwq hilo halina akili hata ya kuzugia unaanzaje kumuamini murilo
 
Tabia za kishenzi mlikuwa nazo nyie majambaz. Kikwete aliwaruhusu majambaz kuuwa watu wengi sana pale mlimani city na kuwaibia pesa. Biashara, ya uwakala wa, pesa ilikuwa, ngumu. Vivaa,JPM.
Jiwe yeye alikuja na sera ya uporaji mchana kweupu!
Na vijana wa kisukuma wengi walijiita uasalama wa Taifa na wakaanza uporaji!
 
Back
Top Bottom