LGE2024 Kukamatwa viongozi wa CHADEMA, Polisi wadai "CHADEMA walikaidi amri ya Askari, walirusha mawe na kujeruhi Askari"

LGE2024 Kukamatwa viongozi wa CHADEMA, Polisi wadai "CHADEMA walikaidi amri ya Askari, walirusha mawe na kujeruhi Askari"

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Ni mwendawazimu tu anayeweza kuwaamini polisi hawa wanaotumikishwa kazi chafu na CCM.
Yaan hawa polis wetu wanavyotumikishwa na ccm utazan kichwan hawana kitu

Upolis ni kazi aisee,yaan kila siku ni kuamrishwa tu fanya hv
 
Gentleman,
upende usipende, sheria itafuatwa tu, na asiefuata sheria atawajibishwa ipasavyo mara moja bila mbambamba yoyote 🐒
Sheria batili zilizotungwa kwa nia ovu na watu washenzi ni laana kwa Mungu!
 
View attachment 3158957View attachment 3158959
TAARIFA YA JESHI LA POLISI:

Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe linawashikilia wanachama wa CHADEMA ambao ni Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Aikael Mbowe, Joseph Osmud Mbilinyi Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Pascal Yohana Haonga, Mbunge mstaafu CHADEMA Mbozi Mlowo, Mdude Mpaluka Nyagali, Apolinary Boniface Margwe, Afisa habari CHADEMA na Adam Hassan Kasekwa, mlinzi wa Mwenyekiti wa CHADEMA.

Pia, Soma: Freeman Mbowe akamatwa na Jeshi la Polisi akielekea Mbozi mkoani Songwe

Wengine waliokamatwa ni Paul Joseph Paul, Afisa wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mbeya, Kelvin Keneth Ndabila, Afisa habari Kanda ya Nyasa, mkazi wa Mbeya, Michael Laison Msongole, Mwenyekiti CHADEMA Wilaya ya Mbozi, Mlowo, Mohamed Abdilah Ling'wanya, Mlinzi wa Mbowe Mkazi wa Dar es salaam, Alfan Hassan Mbire, mlinzi wa Mbowe na Ezekia Elia Zambi, Mwenyekiti ACT Wazalendo Mkoa wa Songwe.

Tukio hilo limetokea eneo la stendi ya zamani ya Mlowo Wilaya ya Mbozi Mkoa wa Songwe Novemba 22,2024 majira ya 10:30 asubuhi baada ya Chama cha CHADEMA kwenda kufanya mkutano wa kampeni eneo ambalo hawakupangiwa na ndipo askari waliwapa amri ya kutawanyika lakini walikaidi ndipo askari waliamua kuwatawanya kwa nguvu na ndipo walipoanza kurusha mawe na kuwajeruhi askari wawili maeneo ya kichwani, usoni na puani na kwa sasa wanaendelea na matibabu hospitali ya Wilaya ya Mbozi.

Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe linatoa wito na kusisitiza kwa Viongozi wa Vyama vyote kutii na kufuata ratiba za kampeni zilizotolewa na Wasimamizi wa Uchaguzi ili kuepusha vurugu ambazo zinaepukika kwa kufuata utaratibu, ili Jeshi la Polisi tuweze kutoa ulinzi stahiki kwa mujibu wa ratiba.

Nitoe tahadhari kwa wananchi pamoja na vyama vya siasa kufuata sheria, kanuni na taratibu za uchaguzi na mtu yeyote ambaye atakiuka Jeshi la Polisi halitasita kuchukua hatua kwani vitendo kama hivyo ni kuvunja sheria ili kuvuruga amani, utulivu na usalama katika kampeni zinazoendelea katika Mkoa wetu wa Songwe.
A good Police Officer is ONLY a dead Police Officer!
 
Sheria batili zilizotungwa kwa nia ovu na watu washenzi ni laana kwa Mungu!
wanaokiuka sheria za nchi watadhibitiwa na kushurutishwa kuzitii wapende wasipende...

wakavunje sheria ndani ya vyama vyao, lakini wasithubutu kunajisi au kukaidi sheria za nchi.

watu kama hao hawatavumiliwa hata sekunde moja na vyombo vya ulinzi, alaaa?🐒
 
wanaokiuka sheria za nchi watadhibitiwa na kushurutishwa kuzitii wapende wasipende...

wakavunje sheria ndani ya vyama vyao, lakini wasithubutu kunajisi au kukaidi sheria za nchi.

watu kama hao hawatavumiliwa hata sekunde moja na vyombo vya ulinzi, alaaa?🐒
Mara zote watu washenzi kama wewe hawakosekani katika jamii!
 
Mara zote watu washenzi kama wewe hawakosekani katika jamii!
Relax bas gentleman,

shusha hiyo nonsense mori na munkari kidogo basi...

Lazima sheria za nchi zizingatiwe na kila raia bila mbambamba yoyote 🐒
 
View attachment 3158957View attachment 3158959
TAARIFA YA JESHI LA POLISI:

Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe linawashikilia wanachama wa CHADEMA ambao ni Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Aikael Mbowe, Joseph Osmud Mbilinyi Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Pascal Yohana Haonga, Mbunge mstaafu CHADEMA Mbozi Mlowo, Mdude Mpaluka Nyagali, Apolinary Boniface Margwe, Afisa habari CHADEMA na Adam Hassan Kasekwa, mlinzi wa Mwenyekiti wa CHADEMA.

Pia, Soma: Freeman Mbowe akamatwa na Jeshi la Polisi akielekea Mbozi mkoani Songwe

Wengine waliokamatwa ni Paul Joseph Paul, Afisa wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mbeya, Kelvin Keneth Ndabila, Afisa habari Kanda ya Nyasa, mkazi wa Mbeya, Michael Laison Msongole, Mwenyekiti CHADEMA Wilaya ya Mbozi, Mlowo, Mohamed Abdilah Ling'wanya, Mlinzi wa Mbowe Mkazi wa Dar es salaam, Alfan Hassan Mbire, mlinzi wa Mbowe na Ezekia Elia Zambi, Mwenyekiti ACT Wazalendo Mkoa wa Songwe.

Tukio hilo limetokea eneo la stendi ya zamani ya Mlowo Wilaya ya Mbozi Mkoa wa Songwe Novemba 22,2024 majira ya 10:30 asubuhi baada ya Chama cha CHADEMA kwenda kufanya mkutano wa kampeni eneo ambalo hawakupangiwa na ndipo askari waliwapa amri ya kutawanyika lakini walikaidi ndipo askari waliamua kuwatawanya kwa nguvu na ndipo walipoanza kurusha mawe na kuwajeruhi askari wawili maeneo ya kichwani, usoni na puani na kwa sasa wanaendelea na matibabu hospitali ya Wilaya ya Mbozi.

Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe linatoa wito na kusisitiza kwa Viongozi wa Vyama vyote kutii na kufuata ratiba za kampeni zilizotolewa na Wasimamizi wa Uchaguzi ili kuepusha vurugu ambazo zinaepukika kwa kufuata utaratibu, ili Jeshi la Polisi tuweze kutoa ulinzi stahiki kwa mujibu wa ratiba.

Nitoe tahadhari kwa wananchi pamoja na vyama vya siasa kufuata sheria, kanuni na taratibu za uchaguzi na mtu yeyote ambaye atakiuka Jeshi la Polisi halitasita kuchukua hatua kwani vitendo kama hivyo ni kuvunja sheria ili kuvuruga amani, utulivu na usalama katika kampeni zinazoendelea katika Mkoa wetu wa Songwe.
Yarabi
 
pole mkuu, weka namba tukuchangie
Kawachangie kwanza kule kijijini kwenu wapate maji safi na salama ya kunywa, hospital zao ziwe na dawa na watoto wao wapate elimu kama ile wanayopata viongozi wa ccm hapo lumumba
 
Gentleman,
upende usipende, sheria itafuatwa tu, na asiefuata sheria atawajibishwa ipasavyo mara moja bila mbambamba yoyote 🐒
Waliokimbia ofisi ili wapinzani wasirudishe form wamechukuliwa hatua gani? We jamaa bahati humu ni anonymous ila kinsingii.
 
Kawachangie kwanza kule kijijini kwenu wapate maji safi na salama ya kunywa, hospital zao ziwe na dawa na watoto wao wapate elimu kama ile wanayopata viongozi wa ccm hapo lumumba
au wakaishi ulaya kama watoto wa tundu lissu
 
au wakaishi ulaya kama watoto wa tundu lissu
Kuishi ulaya siyo kosa na siyo watoto wa lisu tu. Hata wa malecela, 6, msekwa na mafisadi wote hapo lumumba watoto wao hawaishi Tz . Kama huamini ninavyokuambia pita shule zote za umma tz uniambie mtoto wa kigogo yoyote wa lumumba anayesoma huko
 
Waliokimbia ofisi ili wapinzani wasirudishe form wamechukuliwa hatua gani? We jamaa bahati humu ni anonymous ila kinsingii.
kuna uhalifu gani nimefunga ofisini yangu, na ni muda wa njea ya kazi za umma?

wewe uende kushinda kwenye mapombe huko uje ofisini nje ya muda wa kazi, ukute ofisi imefungwa na ukimbilie kutafuta huruma mitandaoni?

that can not help and of course can not work 🐒
 
View attachment 3158957View attachment 3158959
TAARIFA YA JESHI LA POLISI:

Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe linawashikilia wanachama wa CHADEMA ambao ni Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Aikael Mbowe, Joseph Osmud Mbilinyi Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Pascal Yohana Haonga, Mbunge mstaafu CHADEMA Mbozi Mlowo, Mdude Mpaluka Nyagali, Apolinary Boniface Margwe, Afisa habari CHADEMA na Adam Hassan Kasekwa, mlinzi wa Mwenyekiti wa CHADEMA.

Pia, Soma: Freeman Mbowe akamatwa na Jeshi la Polisi akielekea Mbozi mkoani Songwe

Wengine waliokamatwa ni Paul Joseph Paul, Afisa wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mbeya, Kelvin Keneth Ndabila, Afisa habari Kanda ya Nyasa, mkazi wa Mbeya, Michael Laison Msongole, Mwenyekiti CHADEMA Wilaya ya Mbozi, Mlowo, Mohamed Abdilah Ling'wanya, Mlinzi wa Mbowe Mkazi wa Dar es salaam, Alfan Hassan Mbire, mlinzi wa Mbowe na Ezekia Elia Zambi, Mwenyekiti ACT Wazalendo Mkoa wa Songwe.

Tukio hilo limetokea eneo la stendi ya zamani ya Mlowo Wilaya ya Mbozi Mkoa wa Songwe Novemba 22,2024 majira ya 10:30 asubuhi baada ya Chama cha CHADEMA kwenda kufanya mkutano wa kampeni eneo ambalo hawakupangiwa na ndipo askari waliwapa amri ya kutawanyika lakini walikaidi ndipo askari waliamua kuwatawanya kwa nguvu na ndipo walipoanza kurusha mawe na kuwajeruhi askari wawili maeneo ya kichwani, usoni na puani na kwa sasa wanaendelea na matibabu hospitali ya Wilaya ya Mbozi.

Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe linatoa wito na kusisitiza kwa Viongozi wa Vyama vyote kutii na kufuata ratiba za kampeni zilizotolewa na Wasimamizi wa Uchaguzi ili kuepusha vurugu ambazo zinaepukika kwa kufuata utaratibu, ili Jeshi la Polisi tuweze kutoa ulinzi stahiki kwa mujibu wa ratiba.

Nitoe tahadhari kwa wananchi pamoja na vyama vya siasa kufuata sheria, kanuni na taratibu za uchaguzi na mtu yeyote ambaye atakiuka Jeshi la Polisi halitasita kuchukua hatua kwani vitendo kama hivyo ni kuvunja sheria ili kuvuruga amani, utulivu na usalama katika kampeni zinazoendelea katika Mkoa wetu wa Songwe.
Hakyanani!! Hii nchi hii!?
 
kuna uhalifu gani nimefunga ofisini yangu, na ni muda wa njea ya kazi za umma?

wewe uende kushinda kwenye mapombe huko uje ofisini nje ya muda wa kazi, ukute ofisi imefungwa na ukimbilie kutafuta huruma mitandaoni?

that can not help and of course can not work 🐒
Ile gari iliyokamatwa na wa Ethiopia kule arusha huku ikipeperusha bendera ya ccm imeshapata mwenyewe?
Wale mchwa/mafisadi waliotajwa kwenye report ya CAG walishachukuliwa hatua za kisheria?
 
Ile gari iliyokamatwa na wa Ethiopia kule arusha huku ikipeperusha bendera ya ccm imeshapata mwenyewe?
Wale mchwa/mafisadi waliotajwa kwenye report ya CAG walishachukuliwa hatua za kisheria?
ni muhimu kuzingatia sheria, kuepuka ulevi saa za kazi na kutegemea huruma za mitandaoni ukadhani utasaidika.
hapana, hiyo ni nonsense gentleman 🐒
 
Back
Top Bottom