Wagumu Tunadumu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2022
- 5,276
- 17,354
Yaan hawa polis wetu wanavyotumikishwa na ccm utazan kichwan hawana kituNi mwendawazimu tu anayeweza kuwaamini polisi hawa wanaotumikishwa kazi chafu na CCM.
Sheria batili zilizotungwa kwa nia ovu na watu washenzi ni laana kwa Mungu!Gentleman,
upende usipende, sheria itafuatwa tu, na asiefuata sheria atawajibishwa ipasavyo mara moja bila mbambamba yoyote π
A good Police Officer is ONLY a dead Police Officer!View attachment 3158957View attachment 3158959
TAARIFA YA JESHI LA POLISI:
Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe linawashikilia wanachama wa CHADEMA ambao ni Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Aikael Mbowe, Joseph Osmud Mbilinyi Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Pascal Yohana Haonga, Mbunge mstaafu CHADEMA Mbozi Mlowo, Mdude Mpaluka Nyagali, Apolinary Boniface Margwe, Afisa habari CHADEMA na Adam Hassan Kasekwa, mlinzi wa Mwenyekiti wa CHADEMA.
Pia, Soma: Freeman Mbowe akamatwa na Jeshi la Polisi akielekea Mbozi mkoani Songwe
Wengine waliokamatwa ni Paul Joseph Paul, Afisa wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mbeya, Kelvin Keneth Ndabila, Afisa habari Kanda ya Nyasa, mkazi wa Mbeya, Michael Laison Msongole, Mwenyekiti CHADEMA Wilaya ya Mbozi, Mlowo, Mohamed Abdilah Ling'wanya, Mlinzi wa Mbowe Mkazi wa Dar es salaam, Alfan Hassan Mbire, mlinzi wa Mbowe na Ezekia Elia Zambi, Mwenyekiti ACT Wazalendo Mkoa wa Songwe.
Tukio hilo limetokea eneo la stendi ya zamani ya Mlowo Wilaya ya Mbozi Mkoa wa Songwe Novemba 22,2024 majira ya 10:30 asubuhi baada ya Chama cha CHADEMA kwenda kufanya mkutano wa kampeni eneo ambalo hawakupangiwa na ndipo askari waliwapa amri ya kutawanyika lakini walikaidi ndipo askari waliamua kuwatawanya kwa nguvu na ndipo walipoanza kurusha mawe na kuwajeruhi askari wawili maeneo ya kichwani, usoni na puani na kwa sasa wanaendelea na matibabu hospitali ya Wilaya ya Mbozi.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe linatoa wito na kusisitiza kwa Viongozi wa Vyama vyote kutii na kufuata ratiba za kampeni zilizotolewa na Wasimamizi wa Uchaguzi ili kuepusha vurugu ambazo zinaepukika kwa kufuata utaratibu, ili Jeshi la Polisi tuweze kutoa ulinzi stahiki kwa mujibu wa ratiba.
Nitoe tahadhari kwa wananchi pamoja na vyama vya siasa kufuata sheria, kanuni na taratibu za uchaguzi na mtu yeyote ambaye atakiuka Jeshi la Polisi halitasita kuchukua hatua kwani vitendo kama hivyo ni kuvunja sheria ili kuvuruga amani, utulivu na usalama katika kampeni zinazoendelea katika Mkoa wetu wa Songwe.
wanaokiuka sheria za nchi watadhibitiwa na kushurutishwa kuzitii wapende wasipende...Sheria batili zilizotungwa kwa nia ovu na watu washenzi ni laana kwa Mungu!
Mara zote watu washenzi kama wewe hawakosekani katika jamii!wanaokiuka sheria za nchi watadhibitiwa na kushurutishwa kuzitii wapende wasipende...
wakavunje sheria ndani ya vyama vyao, lakini wasithubutu kunajisi au kukaidi sheria za nchi.
watu kama hao hawatavumiliwa hata sekunde moja na vyombo vya ulinzi, alaaa?π
Relax bas gentleman,Mara zote watu washenzi kama wewe hawakosekani katika jamii!
Una amani gani wewe una kunywa maji ya tope? Wewe huna amani kama mtanzania. Una utulivu tu unaosababishwa na watu kunyweshwa UNGA WA NDERE.Wavuruga amani washughulikiwe!!
YarabiView attachment 3158957View attachment 3158959
TAARIFA YA JESHI LA POLISI:
Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe linawashikilia wanachama wa CHADEMA ambao ni Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Aikael Mbowe, Joseph Osmud Mbilinyi Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Pascal Yohana Haonga, Mbunge mstaafu CHADEMA Mbozi Mlowo, Mdude Mpaluka Nyagali, Apolinary Boniface Margwe, Afisa habari CHADEMA na Adam Hassan Kasekwa, mlinzi wa Mwenyekiti wa CHADEMA.
Pia, Soma: Freeman Mbowe akamatwa na Jeshi la Polisi akielekea Mbozi mkoani Songwe
Wengine waliokamatwa ni Paul Joseph Paul, Afisa wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mbeya, Kelvin Keneth Ndabila, Afisa habari Kanda ya Nyasa, mkazi wa Mbeya, Michael Laison Msongole, Mwenyekiti CHADEMA Wilaya ya Mbozi, Mlowo, Mohamed Abdilah Ling'wanya, Mlinzi wa Mbowe Mkazi wa Dar es salaam, Alfan Hassan Mbire, mlinzi wa Mbowe na Ezekia Elia Zambi, Mwenyekiti ACT Wazalendo Mkoa wa Songwe.
Tukio hilo limetokea eneo la stendi ya zamani ya Mlowo Wilaya ya Mbozi Mkoa wa Songwe Novemba 22,2024 majira ya 10:30 asubuhi baada ya Chama cha CHADEMA kwenda kufanya mkutano wa kampeni eneo ambalo hawakupangiwa na ndipo askari waliwapa amri ya kutawanyika lakini walikaidi ndipo askari waliamua kuwatawanya kwa nguvu na ndipo walipoanza kurusha mawe na kuwajeruhi askari wawili maeneo ya kichwani, usoni na puani na kwa sasa wanaendelea na matibabu hospitali ya Wilaya ya Mbozi.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe linatoa wito na kusisitiza kwa Viongozi wa Vyama vyote kutii na kufuata ratiba za kampeni zilizotolewa na Wasimamizi wa Uchaguzi ili kuepusha vurugu ambazo zinaepukika kwa kufuata utaratibu, ili Jeshi la Polisi tuweze kutoa ulinzi stahiki kwa mujibu wa ratiba.
Nitoe tahadhari kwa wananchi pamoja na vyama vya siasa kufuata sheria, kanuni na taratibu za uchaguzi na mtu yeyote ambaye atakiuka Jeshi la Polisi halitasita kuchukua hatua kwani vitendo kama hivyo ni kuvunja sheria ili kuvuruga amani, utulivu na usalama katika kampeni zinazoendelea katika Mkoa wetu wa Songwe.
pole mkuu, weka namba tukuchangieUna amani gani wewe una kunywa maji ya tope? Wewe huna amani kama mtanzania. Una utulivu tu unaosababishwa na watu kunyweshwa UNGA WA NDERE.
Kawachangie kwanza kule kijijini kwenu wapate maji safi na salama ya kunywa, hospital zao ziwe na dawa na watoto wao wapate elimu kama ile wanayopata viongozi wa ccm hapo lumumbapole mkuu, weka namba tukuchangie
Waliokimbia ofisi ili wapinzani wasirudishe form wamechukuliwa hatua gani? We jamaa bahati humu ni anonymous ila kinsingii.Gentleman,
upende usipende, sheria itafuatwa tu, na asiefuata sheria atawajibishwa ipasavyo mara moja bila mbambamba yoyote π
au wakaishi ulaya kama watoto wa tundu lissuKawachangie kwanza kule kijijini kwenu wapate maji safi na salama ya kunywa, hospital zao ziwe na dawa na watoto wao wapate elimu kama ile wanayopata viongozi wa ccm hapo lumumba
Kuishi ulaya siyo kosa na siyo watoto wa lisu tu. Hata wa malecela, 6, msekwa na mafisadi wote hapo lumumba watoto wao hawaishi Tz . Kama huamini ninavyokuambia pita shule zote za umma tz uniambie mtoto wa kigogo yoyote wa lumumba anayesoma hukoau wakaishi ulaya kama watoto wa tundu lissu
kuna uhalifu gani nimefunga ofisini yangu, na ni muda wa njea ya kazi za umma?Waliokimbia ofisi ili wapinzani wasirudishe form wamechukuliwa hatua gani? We jamaa bahati humu ni anonymous ila kinsingii.
Hakyanani!! Hii nchi hii!?View attachment 3158957View attachment 3158959
TAARIFA YA JESHI LA POLISI:
Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe linawashikilia wanachama wa CHADEMA ambao ni Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Aikael Mbowe, Joseph Osmud Mbilinyi Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Pascal Yohana Haonga, Mbunge mstaafu CHADEMA Mbozi Mlowo, Mdude Mpaluka Nyagali, Apolinary Boniface Margwe, Afisa habari CHADEMA na Adam Hassan Kasekwa, mlinzi wa Mwenyekiti wa CHADEMA.
Pia, Soma: Freeman Mbowe akamatwa na Jeshi la Polisi akielekea Mbozi mkoani Songwe
Wengine waliokamatwa ni Paul Joseph Paul, Afisa wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mbeya, Kelvin Keneth Ndabila, Afisa habari Kanda ya Nyasa, mkazi wa Mbeya, Michael Laison Msongole, Mwenyekiti CHADEMA Wilaya ya Mbozi, Mlowo, Mohamed Abdilah Ling'wanya, Mlinzi wa Mbowe Mkazi wa Dar es salaam, Alfan Hassan Mbire, mlinzi wa Mbowe na Ezekia Elia Zambi, Mwenyekiti ACT Wazalendo Mkoa wa Songwe.
Tukio hilo limetokea eneo la stendi ya zamani ya Mlowo Wilaya ya Mbozi Mkoa wa Songwe Novemba 22,2024 majira ya 10:30 asubuhi baada ya Chama cha CHADEMA kwenda kufanya mkutano wa kampeni eneo ambalo hawakupangiwa na ndipo askari waliwapa amri ya kutawanyika lakini walikaidi ndipo askari waliamua kuwatawanya kwa nguvu na ndipo walipoanza kurusha mawe na kuwajeruhi askari wawili maeneo ya kichwani, usoni na puani na kwa sasa wanaendelea na matibabu hospitali ya Wilaya ya Mbozi.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe linatoa wito na kusisitiza kwa Viongozi wa Vyama vyote kutii na kufuata ratiba za kampeni zilizotolewa na Wasimamizi wa Uchaguzi ili kuepusha vurugu ambazo zinaepukika kwa kufuata utaratibu, ili Jeshi la Polisi tuweze kutoa ulinzi stahiki kwa mujibu wa ratiba.
Nitoe tahadhari kwa wananchi pamoja na vyama vya siasa kufuata sheria, kanuni na taratibu za uchaguzi na mtu yeyote ambaye atakiuka Jeshi la Polisi halitasita kuchukua hatua kwani vitendo kama hivyo ni kuvunja sheria ili kuvuruga amani, utulivu na usalama katika kampeni zinazoendelea katika Mkoa wetu wa Songwe.
Ile gari iliyokamatwa na wa Ethiopia kule arusha huku ikipeperusha bendera ya ccm imeshapata mwenyewe?kuna uhalifu gani nimefunga ofisini yangu, na ni muda wa njea ya kazi za umma?
wewe uende kushinda kwenye mapombe huko uje ofisini nje ya muda wa kazi, ukute ofisi imefungwa na ukimbilie kutafuta huruma mitandaoni?
that can not help and of course can not work π
ni muhimu kuzingatia sheria, kuepuka ulevi saa za kazi na kutegemea huruma za mitandaoni ukadhani utasaidika.Ile gari iliyokamatwa na wa Ethiopia kule arusha huku ikipeperusha bendera ya ccm imeshapata mwenyewe?
Wale mchwa/mafisadi waliotajwa kwenye report ya CAG walishachukuliwa hatua za kisheria?
Mjinga mkubwa wewe!Relax bas gentleman,
shusha hiyo nonsense mori na munkari kidogo basi...
Lazima sheria za nchi zizingatiwe na kila raia bila mbambamba yoyote π
mjanja unasumbuliwa na mihemko tu bila point dah?Mjinga mkubwa wewe!