Kukanda unga ngano wa mikate kwa miguu

umenikumbusha long time!niliacha kula mikate kwa ajili ya hii bakery!nilikuwa mdogo by then kaka yangu ndo alikuwa ananipa story jinsi wanavyokanda huo unga hapo kwa wasomali
hahahaha
 

Kweli ehh! Sasa nimegundua kwa nini mikate ya zamani ilikuwa mitamu kuliko ya sasa hivi. Ni sawa na mboga iliyopikwa kwenye chungu, huwa ni tamu sana kulinganisha na mboga iliyopikwa kwenye masufuria yenu ya kisasa.
 

Na ndio maana katika mahoteli makubwa wanawake sio wapishi,kazi zao ni usafi na kukaribisha wageni!
 
picchu mbona hao watu wako uchi mama weeeee hiyo wine inafukiza mikojo tu lol
 
Last edited by a moderator:
Aghhhhh jamani....alafu kiboflo mbona ndo hatuwezi kukikosa? Ah wadudu wote wanakufa kwenye matanuri banaa. ..
 
Mtumeee usitake kuntapisha saa hizi......vyakula vya kununua vina mashaka yaani tu ujilie ila usiombe uende mazingira yanayopikwa unaweza usile tena cha kununua.....

Cha kununua ndio kizuri,ukimaliza kula huoshi vyombo.
Nalog off
 
Bora watu tufanye mazoezi ya kufunga kwa muda mrefu ili iwezekanapo tule nyumbani tu! Labda mtu ukisafiri!
 
Dhaaa wine tena na ninavyoipenda.umenifanya niwaze mpk najionea huruma ila siwezi wacha kuinywaa.ntavumilia tu hvyo hvyo

Ilikuwa enzi hizo lakini siku hizi kuna mashine zinazokamua.
 
Mie pia niliwahi kubahatika kusogea karibu na sehemu wanayooshea vyombo kwenye eneo la biashara ya mama ntilie. Duh, haisemekani, ila waswahili tunasema mbaya kuona, maana chakula kizuri ni kile ulichopika nyumbani kwako, huko nje tule tu, tusiwaze upande wa pili.
 

Kwa hiyo tulikuwa tunakula jasho yelewiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…