Kukanda unga ngano wa mikate kwa miguu

Kukanda unga ngano wa mikate kwa miguu

MPUNGA

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2010
Posts
838
Reaction score
561
Zama hizo ilikuwa ikisikika kuwa watu wazima wa haja walikuwa wakikanda unga wa ngano wa kutengenezea mikate kwa kutumia miguu ! Nimekuwa nikijiuliza hivi haya mambo yalikuwa ya kweli au ni stori za vijiweni. Naambiwa wanaume walikuwa wanalowa jasho chapa chapa, ila sasa wangefanyaje na vitendea kazi havikuwepo. Hivi hali ikoje siku hizi?
 
Zama hizo ilikuwa ikisikika kuwa watu wazima wa haja walikuwa wakikanda unga wa ngano wa kutengenezea mikate kwa kutumia miguu ! Nimekuwa nikijiuliza hivi haya mambo yalikuwa ya kweli au ni stori za vijiweni. Naambiwa wanaume walikuwa wanalowa jasho chapa chapa, ila sasa wangefanyaje na vitendea kazi havikuwepo. Hivi hali ikoje siku hizi?

Kweli wala sio uongo, mashine za kukandia unga hazikuwepo! Tumekula sana majasho Yao.
 
Acha majasho tu, wengine miguu yao jinsi ilivyo michafu ni balaa akivua viatu hiyo harufu yake unaweza kutamani kuikimbia nyumba.

Kweli wala sio uongo, mashine za kukandia unga hazikuwepo! Tumekula sana majasho Yao.
 
Acha majasho tu, wengine miguu yao jinsi ilivyo michafu ni balaa akivua viatu hiyo harufu yake unaweza kutamani kuikimbia nyumba.

Dah! Wametulisha uchafu sana mkuu, mpaka kinyaa.
 
Acha majasho tu, wengine miguu yao jinsi ilivyo michafu ni balaa akivua viatu hiyo harufu yake unaweza kutamani kuikimbia nyumba.

wala si hivyo tu, anakanda unga wakati anamafua unadhani ataenda mbali kuyatoa?? achilia mbali chafya anazodondosha
 
wala si hivyo tu, anakanda unga wakati anamafua unadhani ataenda mbali kuyatoa?? achilia mbali chafya anazodondosha

Mtumeee usitake kuntapisha saa hizi......vyakula vya kununua vina mashaka yaani tu ujilie ila usiombe uende mazingira yanayopikwa unaweza usile tena cha kununua.....
 
😛uke:😛uke:😛uke:

wala si hivyo tu, anakanda unga wakati anamafua unadhani ataenda mbali kuyatoa?? achilia mbali chafya anazodondosha
 
duh mleta mada hujakosea zamani kulikuws na bakery mtaani kwetu ya waarabu fulani basi wafanya kazi walikuwa wanakanda mikate kwa style hiyo.....kwa miguu.kuna bakery ingine ilikuwa kinondoni karibu na hospital ya dokta mvungi bakery ilikua ya wasomali wao walikuwa wanakanda kwa miguu pia...kweli tumekula sana majasho na uchafu wao
 
duh mleta mada hujakosea zamani kulikuws na bakery mtaani kwetu ya waarabu fulani basi wafanya kazi walikuwa wanakanda mikate kwa style hiyo.....kwa miguu.kuna bakery ingine ilikuwa kinondoni karibu na hospital ya dokta mvungi bakery ilikua ya wasomali wao walikuwa wanakanda kwa miguu pia...kweli tumekula sana majasho na uchafu wao

Aiseeee! Hatareeeeee.
 
Mtumeee usitake kuntapisha saa hizi......vyakula vya kununua vina mashaka yaani tu ujilie ila usiombe uende mazingira yanayopikwa unaweza usile tena cha kununua.....

ndio maana hutakiwi kuuliza uliza ama kuchunguza. we kula nenda kaharishie mbele na usirudi tena pale
siku moja nilizidiwa na njaa na nilipotafuta pa kuipunguzia kwa vyakula vya kawaida nikakosa kabisa maamuzi yakawa nikatulie walau na chips
nilipofika nikajisogeza karibu na anapooshea na kupikia nilichokiona nilisinyaa utumbo na nikashiba ghafla. hayo maji ya kuoshea sahani afadhali yale unayopishana nayo tandale kwa tumbo
 
Dah! Wametulisha uchafu sana mkuu, mpaka kinyaa.
Msiishie kwenye mikate tu,hata kwa scale ndogo ya mapishi mambo ya kukuna nazi mama ntilie ana kitoto kichafuchafu na anakisafisha huku akiendelea na upishi mara kwapa au kunani kumemuwasha anajikuna, lazima upate tu ile ladha tamu ya ziada na umsifie kwa kujua kukarangiza ! .kingine wale watayarishi wa mvinyo kiasili kule ulaya huzitia zabibu katika mabeseni makubwa na huita rafiki zao basi hupiga stori wakinywa mvinyo huku wakiwa kwenye beseni zile wakiziponda zabibu kwa miguu yao!
 
Achana na kukanda mikate, kwa miaka mingi utengenezaji wa mvinyo(wine) ulitegemea wanaume kukanda mizabibu kwa

miguu.
 
Achana na kukanda mikate, kwa miaka mingi utengenezaji wa mvinyo(wine) ulitegemea wanaume kukanda mizabibu kwa

miguu.

Dhaaa wine tena na ninavyoipenda.umenifanya niwaze mpk najionea huruma ila siwezi wacha kuinywaa.ntavumilia tu hvyo hvyo
 
duh mleta mada hujakosea zamani kulikuws na bakery mtaani kwetu ya waarabu fulani basi wafanya kazi walikuwa wanakanda mikate kwa style hiyo.....kwa miguu.kuna bakery ingine ilikuwa kinondoni karibu na hospital ya dokta mvungi bakery ilikua ya wasomali wao walikuwa wanakanda kwa miguu pia...kweli tumekula sana majasho na uchafu wao
umenikumbusha long time!niliacha kula mikate kwa ajili ya hii bakery!nilikuwa mdogo by then kaka yangu ndo alikuwa ananipa story jinsi wanavyokanda huo unga hapo kwa wasomali
 
umenikumbusha long time!niliacha kula mikate kwa ajili ya hii bakery!nilikuwa mdogo by then kaka yangu ndo alikuwa ananipa story jinsi wanavyokanda huo unga hapo kwa wasomali

Hiyo ni old fashioned ambayo mpaka sasa kuna baadhi ya watu Europe wanakanyaga zabibu kwa ajili ya kutengeneza wine kama ni mnywaji utaachaa?
 
Back
Top Bottom