Zama hizo ilikuwa ikisikika kuwa watu wazima wa haja walikuwa wakikanda unga wa ngano wa kutengenezea mikate kwa kutumia miguu ! Nimekuwa nikijiuliza hivi haya mambo yalikuwa ya kweli au ni stori za vijiweni. Naambiwa wanaume walikuwa wanalowa jasho chapa chapa, ila sasa wangefanyaje na vitendea kazi havikuwepo. Hivi hali ikoje siku hizi?