Kukanyaga mafuta wakati gari ipo kwenye Parking Mode kunaweza kupelekea Battery la gari kuishiwa nguvu?

Kukanyaga mafuta wakati gari ipo kwenye Parking Mode kunaweza kupelekea Battery la gari kuishiwa nguvu?

Arnold Kalikawe

Senior Member
Joined
Sep 28, 2016
Posts
152
Reaction score
374
Jana nilikuwa napasha gari, nikaiwasha engine ikawaka na ilikuwa kwenye Parking Mode, nikawa nakanyaga accelerator kwa muda fulani, badae nikazima ila nashangaa sasa nikiwasha gari inawaka kuonesha Battery halina nguvu na Engine haizunguki.

Je, kukanyaga Accelerator ikiwa kwenye Parking Mode inaweza kuwa ndio sababu ya battery kuisha nguvu?

Tupia maoni...
 
Jana nilikuwa napasha gari, nikaiwasha engine ikawaka na ilikuwa kwenye Parking Mode, nikawa nakanyaga accelerator kwa muda fulani, badae nikazima ila nashangaa sasa nikiwasha gari inawaka kuonesha Battery halina nguvu na Engine haizunguki... Je kukanyaga Accelerator ikiwa kwenye Parking Mode inaweza kuwa ndio sababu ya battery kuisha nguvu?

Tupia maoni...
Utakuta gari haichaji ulivyowasha ukamaliza chaji iliyokuwa kwenye betri.
 
Jana nilikuwa napasha gari, nikaiwasha engine ikawaka na ilikuwa kwenye Parking Mode, nikawa nakanyaga accelerator kwa muda fulani, badae nikazima ila nashangaa sasa nikiwasha gari inawaka kuonesha Battery halina nguvu na Engine haizunguki.

Je, kukanyaga Accelerator ikiwa kwenye Parking Mode inaweza kuwa ndio sababu ya battery kuisha nguvu?

Tupia maoni...
Mimi si mtaalam sana wa magari lakini machojua gari ikishawaka haitumii umeme wa batry inatumia altenator inayozalisha umeme na kuchaj tena betri hivyo kukanyaga mafuta hakuwezi kumaliza chaji unless kuna shida kwenye gari
 
Mimi si mtaalam sana wa magari lakini machojua gari ikishawaka haitumii umeme wa batry inatumia altenator inayozalisha umeme na kuchaj tena betri hivyo kukanyaga mafuta hakuwezi kumaliza chaji unless kuna shida kwenye gari
Hapana. Ni hivi, charging system ina tatizo hapo.
 
Na uliliwasha kwa muda mfupi kisha ukazima tena?
Ilikuwa imezimwa Nikaiwasha ikawaka muda mfupi nikakanyaga Accelerator kuongeza RPM, mzunguko wa Engine kwa dakika kadhaa... kisha nikaizima badae kuwasha Tena inaonesha battery haina nguvu
 
Back
Top Bottom