profesawaaganojipya
JF-Expert Member
- Apr 21, 2015
- 1,595
- 3,416
mkuu mimi nimepaki gari alhamisi bila tatizo,ijumaa sijawasha kabisa,jmosi nawasha ikagoma battery low,nikatoa nikaenda kuboost kwenye machine ya kuchaji,nikarudi nikafunga,nikatoka nayo na kurudi jioni,jpili nilitoka nayo bila shida.Hapana, kukanyaga mafuta wakati gari ipo kwenye 'Park' hakusababishi betri kuishiwa nguvu. Kuna manne hapo:
1. Betri hupoteza nguvu nyingi gari inapowashwa. Yawezekana hukulipa gari muda wa kutosha likiwa limewaka ili betri ichaji tena, ama...
2. Betri imechoka/mbovu hivyo inapoteza chaji haraka.
3. Alternator mbovu, haichaji betri gari inapokuwa imewaka.
4. Connections za nyaya na/au belt ya alternator iko loose.
Mwisho, yawezekana kuna vitu uliacha vinawaka, mfano taa, zikanyonya betri.
Jtatu asubuhi nawasha,bettry low,usiku nikaja na battery tukaboost,ikawaka,wakati imewaka nikapima voltage kwenye betry ikawa 14.0v dc,nikajua alternator inachaji fresh.Nikadisconect waya wa body kwenye battery.
Jnne asubuhi,yaani leo nikarudishia waya wa bodi,nawasha,imekataa battery low,battery ina miezi kama 7,aina ya MF,,,cjui nikaongeze distilled water alafu ni ichaji?ingawa ni haina matundu ya maji..