Kukanyaga mafuta wakati gari ipo kwenye Parking Mode kunaweza kupelekea Battery la gari kuishiwa nguvu?

Kukanyaga mafuta wakati gari ipo kwenye Parking Mode kunaweza kupelekea Battery la gari kuishiwa nguvu?

Hapana, kukanyaga mafuta wakati gari ipo kwenye 'Park' hakusababishi betri kuishiwa nguvu. Kuna manne hapo:

1. Betri hupoteza nguvu nyingi gari inapowashwa. Yawezekana hukulipa gari muda wa kutosha likiwa limewaka ili betri ichaji tena, ama...

2. Betri imechoka/mbovu hivyo inapoteza chaji haraka.

3. Alternator mbovu, haichaji betri gari inapokuwa imewaka.

4. Connections za nyaya na/au belt ya alternator iko loose.

Mwisho, yawezekana kuna vitu uliacha vinawaka, mfano taa, zikanyonya betri.
 
Hapana, kukanyaga mafuta wakati gari ipo kwenye 'Park' hakusababishi betri kuishiwa nguvu. Kuna manne hapo:

1. Betri hupoteza nguvu nyingi gari inapowashwa. Yawezekana hukulipa gari muda wa kutosha likiwa limewaka ili betri ichaji tena, ama...

2. Betri imechoka/mbovu hivyo inapoteza chaji haraka.

3. Alternator mbovu, haichaji betri gari inapokuwa imewaka.

4. Connections za nyaya na/au belt ya alternator iko loose.

Mwisho, yawezekana kuna vitu uliacha vinawaka, mfano taa, zikanyonya betri.
Asante sana asee... Umeupiga mwingi
 
Hapana, kukanyaga mafuta wakati gari ipo kwenye 'Park' hakusababishi betri kuishiwa nguvu. Kuna manne hapo:

1. Betri hupoteza nguvu nyingi gari inapowashwa. Yawezekana hukulipa gari muda wa kutosha likiwa limewaka ili betri ichaji tena, ama...

2. Betri imechoka/mbovu hivyo inapoteza chaji haraka.

3. Alternator mbovu, haichaji betri gari inapokuwa imewaka.

4. Connections za nyaya na/au belt ya alternator iko loose.

Mwisho, yawezekana kuna vitu uliacha vinawaka, mfano taa, zikanyonya betri.
Brother habari. Una knowledge mno ya magari.
 
Battery haina hata Mwaka
Kama una alternator mbovu, battery ya kulast miaka mitano inaweza kulast miezi 6. Lishike hili. Alternator mbovu inaua battery vizuri kabisa.

Ndio maana kwa mtu anayejielewa na anauza battery, hakuuzii kama nyanya, Lazima apime hiyo gari yako aone hamna shoti na alternator inacharge ndio akuuzie battery.
 
Hapana, kukanyaga mafuta wakati gari ipo kwenye 'Park' hakusababishi betri kuishiwa nguvu. Kuna manne hapo:

1. Betri hupoteza nguvu nyingi gari inapowashwa. Yawezekana hukulipa gari muda wa kutosha likiwa limewaka ili betri ichaji tena, ama...

2. Betri imechoka/mbovu hivyo inapoteza chaji haraka.

3. Alternator mbovu, haichaji betri gari inapokuwa imewaka.

4. Connections za nyaya na/au belt ya alternator iko loose.

Mwisho, yawezekana kuna vitu uliacha vinawaka, mfano taa, zikanyonya betri.
La mwisho ni short circuit japo uwezekano wa hili ni mdogo ila asilipuuze, shoti inadrain faster sana battery pia inachangia sana kuua battery.
 
Ilikuwa imezimwa Nikaiwasha ikawaka muda mfupi nikakanyaga Accelerator kuongeza RPM, mzunguko wa Engine kwa dakika kadhaa... kisha nikaizima badae kuwasha Tena inaonesha battery haina nguvu
But sielewi lengo la kukanyaga acc lilikuwa nini. Maana kama ni kuipasha moto ungeicha tu ingurume yenyewe
 
I boost kwanza, washa gari tembea umbali km 10 atleast then angalia baada ya muda kama itapoteza chaji
Usikimbilie kwenye alternata au betri mpya kwanza
 
Back
Top Bottom