Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani mpangaji anashindwa nini kukata hiyo kodi ya jengo kwenye pesa anayomlipa mwenye nyumba?Uwezo wa viongozi wetu wa kufikiri una walakini. Wananchi masikini wanakwenda kubebeshwa mzigo wa malipo ya kodi ya majengo tena. Nasema hivi kwa kuwa nyumba nyingi wapangaji ndiyo wanaonunua umeme na wala si wamiliki.
Sasa kitendo cha kukata kodi ya pango la jengo kutoka kwenye umeme ni kuwaumiza wananchi masikini wa nchi hii huku wamiliki wa majengo hayo wakiendelea kuchukua kodi zao kama kawaida.
Bajeti mbaya kuwahi kutokea tangu Uhuru.
Best yake kayafa[emoji1]
Hadi nyumba za matope na nyasi, mabanda ya kuku,ngombe, zenye kuku zitalipiwa Kodi ya majengo. Jengo moja lenye luku 5 ,Kodi ya majengo ni mara Tano. Hii plan ninashauri ianzie Tanzania visiwani.
Unakuwaje na Luku halafu usiwe na nyumba au kwako ambako ukiaga kazini unasema unaenda nyumbani kwako- mzee mita ya luku ndiyo nyumbaUwezo wa viongozi wetu wa kufikiri una walakini. Wananchi masikini wanakwenda kubebeshwa mzigo wa malipo ya kodi ya majengo tena. Nasema hivi kwa kuwa nyumba nyingi wapangaji ndiyo wanaonunua umeme na wala si wamiliki.
Sasa kitendo cha kukata kodi ya pango la jengo kutoka kwenye umeme ni kuwaumiza wananchi masikini wa nchi hii huku wamiliki wa majengo hayo wakiendelea kuchukua kodi zao kama kawaida.
Bajeti mbaya kuwahi kutokea tangu Uhuru.
We huna akili.Unakuwaje na Luku halafu usiwe na nyumba au kwako ambako ukiaga kazini unasema unaenda nyumbani kwako- mzee mita ya luku ndiyo nyumba
Mkuu tunaanza kutukanana siyo?!We huna akili.
Mbona Motor Vehicle tunalipa hata sisi wawasha vibatari na hatujalalamika?Uwezo wa viongozi wetu wa kufikiri una walakini. Wananchi masikini wanakwenda kubebeshwa mzigo wa malipo ya kodi ya majengo tena. Nasema hivi kwa kuwa nyumba nyingi wapangaji ndiyo wanaonunua umeme na wala si wamiliki.
Sasa kitendo cha kukata kodi ya pango la jengo kutoka kwenye umeme ni kuwaumiza wananchi masikini wa nchi hii huku wamiliki wa majengo hayo wakiendelea kuchukua kodi zao kama kawaida.
Bajeti mbaya kuwahi kutokea tangu Uhuru.
Sawa tu,bila Kodi hakuna maendeleo, umeme vipi sisikiie mkiuzungumzia, pia wamekosea kushusha bei ya kuunganishiwa umeme??au,,, maana watu mnapinga kila kituNi 1000 kila mwezi. Kwa maana nyingine kwa mwaka ni 12000 tofauti na 10000 ya awali kwa hizi nyumba zetu za kawaida. In summary ni kwamba kodi ya majengo imepanda kwa 2000 zaidi.
Mbona Kodi ya motor vehicle kukatwa kwenye mafuta ujaizungumzia miaka yote?? Kodi ya jengo anaelipa mwenye nyumba, we katika uho mkataba wako kata iyo bukubuku ya jengo dadaUwezo wa viongozi wetu wa kufikiri una walakini. Wananchi masikini wanakwenda kubebeshwa mzigo wa malipo ya kodi ya majengo tena. Nasema hivi kwa kuwa nyumba nyingi wapangaji ndiyo wanaonunua umeme na wala si wamiliki.
Sasa kitendo cha kukata kodi ya pango la jengo kutoka kwenye umeme ni kuwaumiza wananchi masikini wa nchi hii huku wamiliki wa majengo hayo wakiendelea kuchukua kodi zao kama kawaida.
Bajeti mbaya kuwahi kutokea tangu Uhuru.
Mijitu Ni mizuzu kaka, yaani hii nchi Ina Majinga mengi sanaKwani mpangaji anashindwa nini kukata hiyo kodi ya jengo kwenye pesa anayomlipa mwenye nyumba?
Kama umekubaliana na mwenye nyumba sh 200,000 kwa mwezi, na hali ukijua ya kwamba utamlipia kodi ya jengo ya sh 1,000 kwa mwezi, mbona ni rahisi tu kukubaliana kwenye mkataba kuwa utakuwa unalipa 199,000 kwa mwenye nyumba.
Hivi inakuaje kwa wale ambao wana zaidi ya mita moja ya luku kwenye jengo moja?Ni jambo jipya. Na makubaliano yanapaswa kuwa revisited.
Na hii maana yake ni kuwa, makubaliano na mikataba ya upangaji ipitiwe upya kwa kuzingatia hili.
Mimi binafsi nina nyumba na nimeweka wapangaji. Wakihoji na kuona kuwa ni mzigo kwao, basi niko tayari kuwapunguzia kodi kwa kiwango cha kodi ya jengo langu.
It's simple like that.
hapana mkuu nisamehe bure..Mkuu tunaanza kutukanana siyo?!
Mkuu kuna watu wanakaa nyumba za serikali na zina LUKU, inamaana mtumia luku ndo atalipa hiyo kodi au?Unakuwaje na Luku halafu usiwe na nyumba au kwako ambako ukiaga kazini unasema unaenda nyumbani kwako- mzee mita ya luku ndiyo nyumba
Hilo mbona limeshaelezwa luku itakayolipia itakuwa ni moja tuHuku ni kuwaza kinyume
Vipi kwenye nyumba yenye luku zaidi ya tano?
Nyumba zisizo na umeme vpAnza kudai punguzo la buku kila mwezi toka kwa baba mwenye nyumba. Kwa Mwaka elfu 12,000. Au ukitaka acha kununua luku liwe jukumu la mwenye nyumba.
Binafsi nimefurahia urahisi wa kulipa kila mwezi elfu moja. Watu wa halmashauri kila siku walikuwaa wananiletea barua za ukumbusho kulipa lakini muda wa kwenda kupanga foleni TRA nilikuwa sina
Ukitaka kumdhurumu mtu wewe mwambie lipa kidogokidogoAnza kudai punguzo la buku kila mwezi toka kwa baba mwenye nyumba. Kwa Mwaka elfu 12,000. Au ukitaka acha kununua luku liwe jukumu la mwenye nyumba.
Binafsi nimefurahia urahisi wa kulipa kila mwezi elfu moja. Watu wa halmashauri kila siku walikuwaa wananiletea barua za ukumbusho kulipa lakini muda wa kwenda kupanga foleni TRA nilikuwa sina