sengobad
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 9,008
- 8,788
Ukiwa na mita ya luku tayari unayo adhi ya kulipa kodi hata ziwe mbavu za mbwaNi nyumba ya kiwango gani inapaswa kulipa kodi? Maana kutokana na mradi wa REA hadi mabanda ya nyasi na mbao yana umeme!