Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Jamani Jamani naomba mnishauri nifanyeje mwenzenu ni wiki mbili tu zimepita tangu niritachi nywele zangu kwa dawa ya radiant.
Nilifululiza kusuka kama miezi mitatu hivi Sa majuzi nilipofumua nikasema ngoja niritachi kwanza kichwa kipumue nikae kama wiki mbili nibane na kuchana mitindo mingine haaa mpaka dakika hii nywele zimekatika vya hatari.
Zilikua ndefu sana jamani nimesuka miaka nenda rudi leo ukiziona hapa mbele ndo ndefuuuu kuanzia katikati ya kichwa mpaka nyuma kote huko utafikiri mtu alieanza kutonea miezi miwili jamani kha! Nashindwa cha kuzifanya nikiwazaakili ni kama imestack kidogo.
kichwani Nimevaa kofia na vitambaa mpaka pozi limeniishia kwani kuna nguo nyingine vitambaa na kofia zinagoma kabisa mazingira mengine kofia vitambaa sio haviendani na kunyoa naona dah!
Nilifululiza kusuka kama miezi mitatu hivi Sa majuzi nilipofumua nikasema ngoja niritachi kwanza kichwa kipumue nikae kama wiki mbili nibane na kuchana mitindo mingine haaa mpaka dakika hii nywele zimekatika vya hatari.
Zilikua ndefu sana jamani nimesuka miaka nenda rudi leo ukiziona hapa mbele ndo ndefuuuu kuanzia katikati ya kichwa mpaka nyuma kote huko utafikiri mtu alieanza kutonea miezi miwili jamani kha! Nashindwa cha kuzifanya nikiwazaakili ni kama imestack kidogo.
kichwani Nimevaa kofia na vitambaa mpaka pozi limeniishia kwani kuna nguo nyingine vitambaa na kofia zinagoma kabisa mazingira mengine kofia vitambaa sio haviendani na kunyoa naona dah!