Kwahy mkuu tatz litokee Moro lilete shida mpaka darKituo kikubwa cha kupozea umeme Moro kimeungua tanga pia hamna umeme sijajua km ni tanga yote
Grid ya taifaOoohh ok but sikuwaza kama Moro itaweza kutuathili wote
dar yote na pwani yote pamoja na moro baadhi.Leo umeme umekatika majira ya saa nne hivi asubuhi, mi niko kariakoo Jiji la Ilala mkoa wa Dar es Salaam, kwa styl ulivyokatika umeme sikuona kama kuna tumaini la umeme huu kurejea mapema.
Nikaamua kuuuliza maeneo mengine kama Tabata nk nako hakuna Umeme pia.
Nambie we ukowap? Kwako kuna umeme?
Ma dikteta duniani kote wana mbinu za hovyo sana,Kituo kikubwa cha kupozea umeme Moro kimeungua tanga pia hamna umeme sijajua km ni tanga
Maeneo fulani ya Mbagala, umeme umekatika mara 7 leo asubuhi, ilivofika saa 7 ukakatika tena mpaka sasa hivi haujarudi tena.Leo umeme umekatika majira ya saa nne hivi asubuhi, mi niko kariakoo Jiji la Ilala mkoa wa Dar es Salaam, kwa styl ulivyokatika umeme sikuona kama kuna tumaini la umeme huu kurejea mapema.
Nikaamua kuuuliza maeneo mengine kama Tabata nk nako hakuna Umeme pia.
Nambie we ukowap? Kwako kuna umeme?
Kituo kikuu Cha kusafirisha umeme Moro ,Pwani ,DAR na TangaKwahy mkuu tatz litokee Moro lilete shida mpaka dar
Inahusika vipi na habari?R I P Magufuli
Wahi mishumaa itaisha madukaniMaeneo fulani ya Mbagala, umeme umekatika mara 7 leo asubuhi, ilivofika saa 7 ukakatika tena mpaka sasa hivi haujarudi tena.
tumemkumbuka na tuko wengiInahusika vipi na habari?
Badilisha kauli badala ya "watampapasa" sema: "watamdemsa" ok!Mama atoboi,tena watampapasa mpaka mashavu,washamuona yuko poa kwaiyo wanaonganisha +na+ ili kumkwamisha.
Siro ataongea kesho tenaMa dikteta duniani kote wana mbinu za hovyo sana,
Miaka fulani huko,Urusi,Raisi wa Russia alikuwa anataka kuvamia nchi moja jirani ambapo kulikuwa Kuna kikundi Cha kijeshi,kigaidi kilichokuwa kinataka kujitenga,alichofanya.
alituma maofisa wake wakalipua mabomu kwenye shule ya watoto wadogo ndani ya Urusi,harafu akautangazia ulimwengu kwamba kile kikundi Cha kigaidi ndio kimefanya mashambulizi.
Hapo akapata sababu ya kuivamia hiyo nchi,na kushambulia hatari,hili tukio la Morogoro Tanesco,kuungua,isije ikawa inatafutwa sababu ya kuifuta Chadema na kumfunga Mbowe,kwamba yeye ndie aliye endesha hii hujuma ya kulipua kituo Cha Tanesco