Poleni sana wafiwa,mtazoea tutumemkumbuka na tuko wengi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poleni sana wafiwa,mtazoea tutumemkumbuka na tuko wengi
Utawaweza hao MWENDAZAKE MASALIA!!yaani kila linalotokea sasa wanaamini kuwa kwa meko lisingetokea!!Inahusika vipi na habari?
Wapumbavu tuUtawaweza hao MWENDAZAKE MASALIA!!yaani kila linalotokea sasa wanaamini kuwa kwa meko lisingetokea!!
alape pema peponi kamandaKitendo Cha Jiji la Dar,kukatika Kwa umeme au kukosa umeme lote Leo. Kimenifanya nimkumbuke JPM Kwa mara ya kwanza tangu kufariki kwake.
Unafikiri pepo inapatikana kiurahisi rahisi!alape pema peponi kamanda
Wenye mitambo yao wanataka kuirudisha haijafanya kazi siku nyingiKuna watu wanataka chota mabilioni Tanesco kupata kandarasi....michezo Kama hii ilikiwepo zamani..naona Sasa inarudi kwa Kasi..
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
city center yote ,ni kelele za genset tuLeo umeme umekatika majira ya saa nne hivi asubuhi, mi niko Kariakoo Jiji la Ilala mkoa wa Dar es Salaam, kwa style ulivyokatika umeme sikuona kama kuna tumaini la umeme huu kurejea mapema.
Nikaamua kuuliza maeneo mengine kama Tabata nk nako hakuna Umeme pia.
Nambie we uko wapi? Kwako kuna umeme?
Pole sana, kunywa maji.R I P Magufuli
tumemkumbuka na tuko wengi
Leo umeme umekatika majira ya saa nne hivi asubuhi, mi niko Kariakoo Jiji la Ilala mkoa wa Dar es Salaam, kwa style ulivyokatika umeme sikuona kama kuna tumaini la umeme huu kurejea mapema.
Nikaamua kuuliza maeneo mengine kama Tabata nk nako hakuna Umeme pia.
Nambie we uko wapi? Kwako kuna umeme?
Kuna series inaitwa 24 HOURS,Ma dikteta duniani kote wana mbinu za hovyo sana,
Miaka fulani huko,Urusi,Raisi wa Russia alikuwa anataka kuvamia nchi moja jirani ambapo kulikuwa Kuna kikundi Cha kijeshi,kigaidi kilichokuwa kinataka kujitenga,alichofanya.
alituma maofisa wake wakalipua mabomu kwenye shule ya watoto wadogo ndani ya Urusi,harafu akautangazia ulimwengu kwamba kile kikundi Cha kigaidi ndio kimefanya mashambulizi.
Hapo akapata sababu ya kuivamia hiyo nchi,na kushambulia hatari,hili tukio la Morogoro Tanesco,kuungua,isije ikawa inatafutwa sababu ya kuifuta Chadema na kumfunga Mbowe,kwamba yeye ndie aliye endesha hii hujuma ya kulipua kituo Cha Tanesco
Grid ni interconnection Nationwide ivo wherever Disturbance happened, Grid must FallKwahy mkuu tatz litokee Moro lilete shida mpaka dar
Umeme unaozalishwa huwa unaingizwa kwenye gridi ya Taifa...Ooohh ok but sikuwaza kama Moro itaweza kutuathiri wote
Umeme umerudi mda mrefu,maeneo yote.Ma dikteta duniani kote wana mbinu za hovyo sana,
Miaka fulani huko,Urusi,Raisi wa Russia alikuwa anataka kuvamia nchi moja jirani ambapo kulikuwa Kuna kikundi Cha kijeshi,kigaidi kilichokuwa kinataka kujitenga,alichofanya.
alituma maofisa wake wakalipua mabomu kwenye shule ya watoto wadogo ndani ya Urusi,harafu akautangazia ulimwengu kwamba kile kikundi Cha kigaidi ndio kimefanya mashambulizi.
Hapo akapata sababu ya kuivamia hiyo nchi,na kushambulia hatari,hili tukio la Morogoro Tanesco,kuungua,isije ikawa inatafutwa sababu ya kuifuta Chadema na kumfunga Mbowe,kwamba yeye ndie aliye endesha hii hujuma ya kulipua kituo Cha Tanesco