Kukatika kwa Umeme ni Dar es Salaam yote au baadhi ya maeneo tu?

Kukatika kwa Umeme ni Dar es Salaam yote au baadhi ya maeneo tu?

Umeme umerud dar!
ingawa haitoshi kusema tutamsahau mwamba
 
Leo umeme umekatika majira ya saa nne hivi asubuhi, mi niko Kariakoo Jiji la Ilala mkoa wa Dar es Salaam, kwa style ulivyokatika umeme sikuona kama kuna tumaini la umeme huu kurejea mapema.

Nikaamua kuuliza maeneo mengine kama Tabata nk nako hakuna Umeme pia.

Nambie we uko wapi? Kwako kuna umeme?
city center yote ,ni kelele za genset tu
 
Leo umeme umekatika majira ya saa nne hivi asubuhi, mi niko Kariakoo Jiji la Ilala mkoa wa Dar es Salaam, kwa style ulivyokatika umeme sikuona kama kuna tumaini la umeme huu kurejea mapema.

Nikaamua kuuliza maeneo mengine kama Tabata nk nako hakuna Umeme pia.

Nambie we uko wapi? Kwako kuna umeme?

Nipo Minjingu huku natumia Solar!!
 
Ma dikteta duniani kote wana mbinu za hovyo sana,

Miaka fulani huko,Urusi,Raisi wa Russia alikuwa anataka kuvamia nchi moja jirani ambapo kulikuwa Kuna kikundi Cha kijeshi,kigaidi kilichokuwa kinataka kujitenga,alichofanya.

alituma maofisa wake wakalipua mabomu kwenye shule ya watoto wadogo ndani ya Urusi,harafu akautangazia ulimwengu kwamba kile kikundi Cha kigaidi ndio kimefanya mashambulizi.

Hapo akapata sababu ya kuivamia hiyo nchi,na kushambulia hatari,hili tukio la Morogoro Tanesco,kuungua,isije ikawa inatafutwa sababu ya kuifuta Chadema na kumfunga Mbowe,kwamba yeye ndie aliye endesha hii hujuma ya kulipua kituo Cha Tanesco
Kuna series inaitwa 24 HOURS,

Magaidi walienda kukata nyaya kwenye mkonga wa taifa ili kukwamisha mawasiliano ya internent maana walijua kuwa kitengo cha kupambana na ugaidi CTU kitakuwa hakipo active,

Sometimes matukio kama haya huwa yanaweza kufanywa na watu wenye nia ovu na taifa
NB Nimewaza kwa akili za ki movie movie
 
Mama anaupiga mwingi.

Uzembe makazini umesharejea kama kawaida..
 
Ooohh ok but sikuwaza kama Moro itaweza kutuathiri wote
Umeme unaozalishwa huwa unaingizwa kwenye gridi ya Taifa...

Umesahau kwamba Kihansi na Kidatu zipo Morogoro na ni mabwawa ya kuzalisha umeme wa maji?
 
Ma dikteta duniani kote wana mbinu za hovyo sana,

Miaka fulani huko,Urusi,Raisi wa Russia alikuwa anataka kuvamia nchi moja jirani ambapo kulikuwa Kuna kikundi Cha kijeshi,kigaidi kilichokuwa kinataka kujitenga,alichofanya.

alituma maofisa wake wakalipua mabomu kwenye shule ya watoto wadogo ndani ya Urusi,harafu akautangazia ulimwengu kwamba kile kikundi Cha kigaidi ndio kimefanya mashambulizi.

Hapo akapata sababu ya kuivamia hiyo nchi,na kushambulia hatari,hili tukio la Morogoro Tanesco,kuungua,isije ikawa inatafutwa sababu ya kuifuta Chadema na kumfunga Mbowe,kwamba yeye ndie aliye endesha hii hujuma ya kulipua kituo Cha Tanesco
Umeme umerudi mda mrefu,maeneo yote.
 
Back
Top Bottom