Kukatika umeme Pasaka, TANESCO mnatupiga changa la macho, ni uzembe

Kukatika umeme Pasaka, TANESCO mnatupiga changa la macho, ni uzembe

Mpaka maji yanaingia walikua wapi?
Uzembe tu.
Zamani maji yakijaa yalikuwa yanafunguliwa yapungue sana ili umeme ukatike !
Sasa maji yapo mengi hawayafungulii mpaka mitambo ijizime !
Lengo ni lile lile Nchi ikose umeme ili wanaoitwa wajanja wapige pesa !

Tengeneza tatizo kisha dai mapesa ya kurekebisha hilo tatizo kwa muda tu !!
Mapesa ya ukarabati bwana yule alisemaga Trillions !
Wajinga ndio waliwao 😱🙏
Bandugu hii kitu itaenda hivi mpaka lini ??!! 😱 Hiiii hatar sn !
 
Bwana fundi, ukitaka kupunguza au kuongeza uzalishaji wa umeme kwenye hiyo mitambo unafanya nini na maji?? Kama jibu unalijua basi endelea ...

Sasa hicho kinachotumika kudhibiti kiasi cha maji yanayoingia ili kuendana na mahitaji ya umeme ya wakati husika ndio kiliharibika.

Hivyo basi maji mengi yakaingia bila udhibiti wowote. Mitambo lazima izime kwasababu frequency ya umeme unaozalishwa itakuwa kubwa kulika ya grid na hivyo mtambo yote itapoteza 'synchronization'.

Mwisho wa siku turbines zimesimama lakini bado maji yanatiririka kwa full force, lazima pafurike.
 
Bwana fundi, ukitaka kupunguza au kuongeza uzalishaji wa umeme kwenye hiyo mitambo unafanya nini na maji?? Kama jibu unalijua basi endelea ...

Sasa hicho kinachotumika kudhibiti kiasi cha maji yanayoingia ili kuendana na mahitaji ya umeme ya wakati husika ndio kiliharibika.

Hivyo basi maji mengi yakaingia bila udhibiti wowote. Mitambo lazima izime kwasababu frequency ya umeme unaozalishwa itakuwa kubwa kulika ya grid na hivyo mtambo yote itapoteza 'synchronization'.

Mwisho wa siku turbines zimesimama lakini bado maji yanatiririka kwa full force, lazima pafurike.
Ina maana hapakuwa na watu site? hizo ni dili za Makamba
 
Makamba ndiyo kaifufuwa, kaikuta imekufa kipindi cha mwendazake.
Hapo ndipo napokusomaga kwa uoga !
Kwa mwendazake mitambo ilikuwa imekufa lakini umeme ulikuwa haukatiki katiki kama ilivyo baada yake. !
Mwendazake alikuwa Hatari anaogopewa mpaka na mitambo iliyokuwa imekufa !!
Ipo Aya katika Koran inasema sema ukweli japo ni mchungu 🙏🙏
 
Ina maana hapakuwa na watu site? hizo ni dili za Makamba
Kama kuna hujuma basi ni kwenye kuichokonoa hiyo governor inayodhibiti kiwango cha maji. Lolote linawezekana.

Lakini baada ya hiyo kufeli grid nzima inazimika na hakuna wanachoweza kufanya zaidi ya kungojea irudi, kisha watumie umeme kutoka kwenye grid kuwasha kila kitu ikiwa ni pamoja na pump za kuondoa maji kule ndani.

Baada ya hapo ndio matengenezo yaanze.
 
Kama kuna hujuma basi ni kwenye kuichokonoa hiyo governor inayodhibiti kiwango cha maji. Lolote linawezekana.

Lakini baada ya hiyo kufeli grid nzima inazimika na hakuna wanachoweza kufanya zaidi ya kungojea irudi, kisha watumie umeme kutoka kwenye grid kuwasha kila kitu ikiwa ni pamoja na pump za kuondoa maji kule ndani.

Baada ya hapo ndio matengenezo yaanze.
Hili shirika linahujumiwa pakubwa sn
 
Kama kuna hujuma basi ni kwenye kuichokonoa hiyo governor inayodhibiti kiwango cha maji. Lolote linawezekana.

Lakini baada ya hiyo kufeli grid nzima inazimika na hakuna wanachoweza kufanya zaidi ya kungojea irudi, kisha watumie umeme kutoka kwenye grid kuwasha kila kitu ikiwa ni pamoja na pump za kuondoa maji kule ndani.

Baada ya hapo ndio matengenezo yaanze.
Mwendazake alisemaga jamaa walikuwa wakiyafungulia maji ili maji yapungue umeme ukosekane. !
Kwa sasa ni Vis a vis !
Maji ni mengi kwahiyo cheza na governor tu maji yajae kama Kazi and then things Will fall apart !!
And that will be that !! 😱
Walisemaga wahenga “Ukicheka na Nyani huko Shambani utavuna mabua “
This is for real !
 
Bwana fundi, ukitaka kupunguza au kuongeza uzalishaji wa umeme kwenye hiyo mitambo unafanya nini na maji?? Kama jibu unalijua basi endelea ...

Sasa hicho kinachotumika kudhibiti kiasi cha maji yanayoingia ili kuendana na mahitaji ya umeme ya wakati husika ndio kiliharibika.

Hivyo basi maji mengi yakaingia bila udhibiti wowote. Mitambo lazima izime kwasababu frequency ya umeme unaozalishwa itakuwa kubwa kulika ya grid na hivyo mtambo yote itapoteza 'synchronization'.

Mwisho wa siku turbines zimesimama lakini bado maji yanatiririka kwa full force, lazima pafurike.
Safi sana , now we are talking.
Sasa ungenipa majibu ya yafuatayo tutajua kuwa kulikuwepo uzembe au la!
1. Je, Mara ya mwisho lini hicho idhibiti maji yanayoingia kwenda turbines kilikaguliwa?
2. Je kidhibiti maji yanayoenda kwenye turbines kimesha wahi kufanyiwa maintainance, au mara ya mwisho ni lini kilifanyiwa maintainance.
3. Je wasimaizi waliopo wana utallam wa kuziona hizo risks, na kujua kuwa hiyo failure siyo bahati mbaya?

Mkuu ukinijibu haya maswala ya msingi tutakuwa pamoja.
 
Safi sana , now we are talking.
Sasa ungenipa majibu ya yafuatayo tutajua kuwa kulikuwepo uzembe au la!
1. Je, Mara ya mwisho lini hicho idhibiti maji yanayoingia kwenda turbines kilikaguliwa?
2. Je kidhibiti maji yanayoenda kwenye turbines kimesha wahi kufanyiwa maintainance, au mara ya mwisho ni lini kilifanyiwa maintainance.
3. Je wasimaizi waliopo wana utallam wa kuziona hizo risks, na kujua kuwa hiyo failure siyo bahati mbaya?

Mkuu ukinijibu haya maswala ya msingi tutakuwa pamoja.
Akikujibu nitag.
 
mambo ambayo ni hitilafu za kiufundi huwezi panga au kutarajia yatatokea lini na muda gani, ukilaumu watu kwenye hilo basi ni gubu binafsi tu 🐒

kwasabb ingekua tuna uwezo wa kujua lini na saa ngapi jambo fulani litatokea basi tungejua pia lini na saa ngapi tutaugua na kupona au tutakufa 🐒

hitilafu ni hitilafu tu,
ni vizuri kuwa wastahimilivu na wenye subra kwenye mambo haya ambayo kibinadamu ni ngumu kuyabaini kwanza hadi yatokee🐒
Hakuna hitilafu ya kiufundi ambayo Haina sababu.

Kwa mfano, unaambiwa badilisha oil na oil filter kwenye gari baada ya kutembea km 5000. Wewe ukitembeza gari km 15,000 ukapata matatizo ya engine utasema ni tatizo la kiufundi au uzembe wa kufanya maintenance?!
 
Back
Top Bottom