Kukatika umeme Pasaka, TANESCO mnatupiga changa la macho, ni uzembe

Kukatika umeme Pasaka, TANESCO mnatupiga changa la macho, ni uzembe

Hakuna hitilafu ya kiufundi ambayo Haina sababu.

Kwa mfano, unaambiwa badilisha oil na oil filter kwenye gari baada ya kutembea km 5000. Wewe ukitembeza gari km 15,000 ukapata matatizo ya engine utasema ni tatizo la kiufundi au uzembe wa kufanya maintenance?!
sababu mbona iko na imewekwa bayana kabisa 🐒

hayupo anaepanga dharura, iwe safarni, iwe kuugua au jupona, dharau hutokea nyumbani, kazini ama kwenye huduma kama vile umeme 🐒

hivi ni vitu vinavyotoke bila yeyote kutarajia ....

ustahimilivu na subra ni muhumu sana kwenye dharura na sio papara na lawama 🐒

Tanesco wanafanya kazi nzuri sana kudeal na mambo haya 🐒
 
sababu mbona iko na imewekwa bayana kabisa 🐒

hayupo anaepanga dharura, iwe safarni, iwe kuugua au jupona, dharau hutokea nyumbani, kazini ama kwenye huduma kama vile umeme 🐒

hivi ni vitu vinavyotoke bila yeyote kutarajia ....

ustahimilivu na subra ni muhumu sana kwenye dharura na sio papara na lawama 🐒

Tanesco wanafanya kazi nzuri sana kudeal na mambo haya 🐒
Sioni njia nyingine rahisi ya kukuelewesha.

Inaelekea wewe ni kati ya wanaosema ajali haina kinga!

Ukiendesha gari bovu au ukidharau sheria za usalama ukapata ajali utasema ni mapenzi ya Mungu au no uzembe wako?
 
Sioni njia nyingine rahisi ya kukuelewesha.

Inaelekea wewe ni kati ya wanaosema ajali haina kinga!

Ukiendesha gari bovu au ukidharau sheria za usalama ukapata ajali utasema ni mapenzi ya Mungu au no uzembe wako?
Mkuu mweleze huyo jamaa, anaingiza uchawa katika masuala ya kiufundi.
 
Sioni njia nyingine rahisi ya kukuelewesha.

Inaelekea wewe ni kati ya wanaosema ajali haina kinga!

Ukiendesha gari bovu au ukidharau sheria za usalama ukapata ajali utasema ni mapenzi ya Mungu au no uzembe wako?
actually mie siwezi kua dereva mzuri na makini barabarani, halafu dereva mwingine asiekua muangalifu akifanya makosa ya kuendesha gari vibaya ati nianze kumpigia mihoni hovyo hovyo na huenda na matusi kama yote juu yake.....

No, mie sio dereva wa hivyo,
asipokua muangalifu mwingine basi mimi naendesha vizur na kwa umakini zaidi zaidi kuepusha sokomoko za kabokamchizi barabarani 🐒

hukuna anaetarajia kupata ajali hata kama gari lake ni bovu hayupo mtu wa hivyo 🐒


Tanesco wako vizuri sana, na kwakweli wako tayari kupambana au kushughulika na hitilafu yoyote ya kiufundi au kiasili, ili kusudi nishati ya umeme iwe ya uhakika kwa wateja wake, hata kama kutakua na watu wa kulalamika sana, kudharau sana au kubeza jitihada hizi kwa namna yoyote ile, they remained calm and focused to resolve the challenging issues 🐒

haya maoni na mitazamo ibaki tu kama fursa ya Tanesco kukaa mguu sawa zaidi kukabiliana na changamoto za umeme nchini...
 
Katika mashirika ya umma ambayo yanatakiwa kusimamiwa na watu makini ,wazalendo ,wasio na tamaa ni Tanesco.

Kwani nishati ya umene ni Injini ya uchumi wa taifa.

Lakini ikiwa watu wanaajiriwa kwa misingi ya ujomba na ushemeji ndiyo matokeo yake haya.
 
Maintanance itself sio solution ya kila kitu, ndio maana hata wanadamu wapo wanaofanyiwa medical check ups kila mara lakini wapo wanaokufa ghafla miongoni mwao.
Nchi hii ni kubwa na inahitaji akili kubwa kweli na haki.
 
Tanesco wako vizuri sana, na kwakweli wako tayari kupambana au kushughulika na hitilafu yoyote ya kiufundi au kiasili, ili kusudi nishati ya umeme iwe ya uhakika kwa wateja wake, hata kama kutakua na watu wa kulalamika sana, kudharau sana au kubeza jitihada hizi kwa namna yoyote ile, they remained calm and focused to resolve the challenging issues 🐒

haya maoni na mitazamo ibaki tu kama fursa ya Tanesco kukaa mguu sawa zaidi kukabiliana na changamoto za umeme nchini...

TANESCO wako vizuri?
Msikilize DPM.Biteko.
 
View attachment 2951798
TANESCO wako vizuri?
Msikilize DPM.Biteko.
ndio wako vizuri sana,
na ndio maana hayupo miongoni mwao anaeweza kushiriki kuhujumu au kudhoofisha jitihada za shirika kwa kutumwa, kwa ujanja ujanja au tamaa zake atasalimika....

shirika liko rada muda wote na kwakweli liko chonjo mbaya sana dhidi ya hitilafu za kiufundi, kiasili au hujuma....

hata hivyo pamoja na hayo yote yaliyosemwa na NWM, na mengine ambayo hayajasemwa, labada kwasabab hayajabainika bado,

shirika linafanya kila jitihada mbadala kuhakikisha nishati hii muhimu sana ya umeme nchini, inaendelea kua ya uhakika maeneno yote nchini, na wanainchi wanaendelea kuitumia vya kutosha katika kazi zao mbalimbali za uzalishaji na kujiongezea kipato na kukuza uchumi wa Taifa....
 
ndio wako vizuri sana,
na ndio maana hayupo miongoni mwao anaeweza kushiriki kuhujumu au kudhoofisha jitihada za shirika kwa kutumwa, kwa ujanja ujanja au tamaa zake atasalimika....

shirika liko rada muda wote na kwakweli liko chonjo mbaya sana dhidi ya hitilafu za kiufundi, kiasili au hujuma....

hata hivyo pamoja na hayo yote yaliyosemwa na NWM, na mengine ambayo hayajasemwa, labada kwasabab hayajabainika bado,

shirika linafanya kila jitihada mbadala kuhakikisha nishati hii muhimu sana ya umeme nchini, inaendelea kua ya uhakika maeneno yote nchini, na wanainchi wanaendelea kuitumia vya kutosha katika kazi zao mbalimbali za uzalishaji na kujiongezea kipato na kukuza uchumi wa Taifa....
Application yako ya kuwa Katibu Mwenezi wa TANESCO limekubaliwa.
Maana kwa msimamo wako hata Jambazi, mwizi na mhujumu utamwita messiah mzalendo!
 
Application yako ya kuwa Katibu Mwenezi wa TANESCO limekubaliwa.
Maana kwa msimamo wako hata Jambazi, mwizi na mhujumu utamwita messiah mzalendo!
mimi ni mtumishi ya wanainchi...

sina mbambamba na shughuli za wengine,

na, nina shukuru hii yangu pia nasonga nayo vizuri sana...

na sina shaka hata wewe na hiyo yako, kwa neema na baraka za Mungu, umeng"ang"ana nayo vizuri, ilimradi food is on the table, na vijana wanashiba na wanakwenda shule vizuri....
 
Jambo Limezua Jambo, Mambo Ya Sukununu Haya
 
si sawa, na hakuna kazi ya kushindwa [emoji205]
Tanesco itang'ang'ana na kukabiliana na kila aina ya changamoto, whether ni hujuma au changamoto ya msingi bila kuchoka, kupumzika wala kukata tamaa, mpaka pale mtanzania huyu mnyonge wa chini, wa kati, na hata yule wa juu wamepata huduma ya umeme wa kutosha na wa uhakika, ili kusudi waendelea vema na kazi zao za uzalishaji na kukuza uchumi [emoji205]

habari ya kukata tamaa na kuachia ngazi mbaki nayo wenyewe tu huko huko [emoji205]
Mnyonge ndo mtu gani nchi hii
 
Back
Top Bottom