Anfaal
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 1,154
- 116
Kwahili nadhani kuna tatizo la watu wengi kutokuwa objective. Ni kweli kwamba kuna mahakama, lakini je hao wanaoona kwamba wamekashifiwa au TBC inaamini wamekashifiwa mnadhani wakienda mahakani TBC itakuwa salama au nayo itatakiwa kulipa faini kwa sababu wao ndio wamerusha kashfa hizo? Kwa ujumla TBC haiwezi kurusha matangazo wanayoamini kuwa ni kashfa eti km mtu huyo anadhani amekashifiwa aende mahakani wakati wanauwezo wa kuzuia hali hiyo isitokee. Lazima tukumbuka kuwa TBC nao wanawajibika kwenye matangazo wanayoyarusha sio mtu aliyetukanwa au kudhalilishwa tu.
Pia dhana ya kumpiga mwandishi wa habari, huu ni upuuzi wa hali ya juu. Kwa bahati mbaya CHADEMA nao wanataka kuuvaa mkenge huu. Ni rekodi mbaya saana kwao na lazima viongozi wa CHADEMA wajitokeze wazuie hali hii. SIASA sio uhuni.
Pia dhana ya kumpiga mwandishi wa habari, huu ni upuuzi wa hali ya juu. Kwa bahati mbaya CHADEMA nao wanataka kuuvaa mkenge huu. Ni rekodi mbaya saana kwao na lazima viongozi wa CHADEMA wajitokeze wazuie hali hii. SIASA sio uhuni.