safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 11,837
- 17,412
TUFANYE KWAMBA WOTE WALIKUBALI WATASHIRIKI MDAHALO HUU.
SWALI
Je kulikuwa na makubaliano yoyote kwamba kama hatoshiriki Dr nchimbi basi waliobaki wote wasishiriki ?
mjadala huu haukuwekwa maalumu kwa ajili ya Dr nchimbi,bali ni wananchi na makatibu wa vyama.
kitendo cha makatibu wakuu wengine kususia na kutishiriki eti kwa sababu fulani hajashiriki hiyo maana yake mdahalo huu ulikuwa na mrengo maalumu yaani ULIANDALIWA KWA AJILI YA MTU MMOJA.
kama mdahalo ulikuwa kwa ajili ya makatibu wote na wananchi waliohudhuria basi kwa nini kutokufika kwa mmoja huyo na wengine wagomee?
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama vya Siasa: Nchimbi kaingia mitini, wengine wagoma kushiriki!
SWALI
Je kulikuwa na makubaliano yoyote kwamba kama hatoshiriki Dr nchimbi basi waliobaki wote wasishiriki ?
mjadala huu haukuwekwa maalumu kwa ajili ya Dr nchimbi,bali ni wananchi na makatibu wa vyama.
kitendo cha makatibu wakuu wengine kususia na kutishiriki eti kwa sababu fulani hajashiriki hiyo maana yake mdahalo huu ulikuwa na mrengo maalumu yaani ULIANDALIWA KWA AJILI YA MTU MMOJA.
kama mdahalo ulikuwa kwa ajili ya makatibu wote na wananchi waliohudhuria basi kwa nini kutokufika kwa mmoja huyo na wengine wagomee?
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama vya Siasa: Nchimbi kaingia mitini, wengine wagoma kushiriki!