Pre GE2025 Kukimbia kwa Dkt. Nchimbi haikuwa sababu ya vyama vingine kususia mdahalo

Pre GE2025 Kukimbia kwa Dkt. Nchimbi haikuwa sababu ya vyama vingine kususia mdahalo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hao makatibu wengine vyama vyao vinashika dola?
Kilikuwa ni kikao cha Chama kinachoshika Dola?

Walitangaza mapema?

Basi CHADEMA watakalofanya la maana ni kususia UCHAGUZI, Hapo nitawaona Wanaume
 
Hayo machache ambayo yangewataka vyama vingine kwa nini waondoke wakati kuna machache yangewataka wao ?

Sio sahihi kususia huduma ndogo eti kwa sababu kuna huduma kubwa hauzipati.

Tumia hizo huduma ndogo huku ukizidai hizo kubwa.
Nakuunga Mkono safuher Bora wasusie Katiba ya sasa au Uchaguzi
 
Sema kweli hata mimi nimeona wamezingua.

Uwepo wao kwenye mdahalo ulipaswa kuonesha kuwa wameitikia wito kwa lengo la kujibu hoja zilizoandaliwa na host.

Lakini kitendo cha wao kususia mdahalo kinaleta picha kuwa lengo lao lilikuwa ni kumshambulia mtu mmoja na ndio maana huyo mtu alipotoweka na wao wameshindwa kuendelea kwasababu hoja zao zingekosa nguvu.

Ila laiti kama aim ya mdahalo ulikuwa ni kuhabarisha umma basi walikuwa na uwezo wa kuendelea na mjadala kwa faida ya wananchi.
 
Sema kweli hata mimi nimeona wamezingua.

Uwepo wao kwenye mdahalo ulipaswa kuonesha kuwa wameitikia wito kwa lengo la kujibu hoja zilizoandaliwa na host.

Lakini kitendo cha wao kususia mdahalo kinaleta picha kuwa lengo lao lilikuwa ni kumshambulia mtu mmoja na ndio maana huyo mtu alipotoweka na wao wameshindwa kuendelea kwasababu hoja zao zingekosa nguvu.

Ila laiti kama aim ya mdahalo ulikuwa ni kuhabarisha umma basi walikuwa na uwezo wa kuendelea na mjadala kwa faida ya wananchi.
Kabisa mkuu,lengo ilikuwa kumu attack mtu mmoja.

NAdhani na hilo lilichangia kumtoa machozi bwana Odemba.
 
Kilikuwa ni kikao cha Chama kinachoshika Dola?

Walitangaza mapema?

Basi CHADEMA watakalofanya la maana ni kususia UCHAGUZI, Hapo nitawaona Wanaume
Kama ni kikao cha chama dola basi kwa nini walialikwa vyama vingine.

Katika hili wanaopaswa kulaumiwa wengine ni vyama pinzani,walikubaliana katika Ujinga.
 
Kama ni kikao cha chama dola basi kwa nini walialikwa vyama vingine.

Katika hili wanaopaswa kulaumiwa wengine ni vyama pinzani,walikubaliana katika Ujinga.
Utaishia kutukanwa hapa 🤣
 
Utaishia kutukanwa hapa 🤣
KUna wakati mkuu unajiuliza inakuwaje wapinzani tunaotarajia washindane na CCM wanakuwa na akili kama hizi ?

Au wanadhani kupambana na CCM kunataka NGUVU pekee na AKILI HAIHITAJIKI ?

najiuliza hiki wichofanya wapinzani wamwtumia nguvu ama akili ?

Kama wamwtumia akili wakafikia kuona kwamba akili ni kuondoka basi tuna wapinzani wa ovyo.
 
Wamezingua mno yani ni very disrespectful kwa host
Mkuu hata ukiangalia wananchi waliohudhuria pale kila mmoja anamshambulia bwana Nchimbi.

Yaani hakuna raia aliyehudhuria pale akakerekwa na wapinzani kuondoka isipokuwa raia wa ccm.

Hii inatupa picha hata hawa wananchi ni namna gani uwezo wao wa kiakili ulivyo katika kuchanganua mambo.
 
SERIKALI YETU INAHITAJI WATU MAKINI WANAOWEZA KUPAMBANA NA CHANGAMOTO.
CREATING UNNECESSARY EXCUSE IS JUST A FEAR AND UNTRUSTFUL TO YOUR PEOPLE.

PLEASE AND PLEASE YOU SHOULD BE FAITHFUL AND RESPONSIBLE IN ADDRESSING A WISEFUL ADVICE TO HER, AS YOU SWORE BEFORE HER!
 
KUna wakati mkuu unajiuliza inakuwaje wapinzani tunaotarajia washindane na CCM wanakuwa na akili kama hizi ?

Au wanadhani kupambana na CCM kunataka NGUVU pekee na AKILI HAIHITAJIKI ?

najiuliza hiki wichofanya wapinzani wamwtumia nguvu ama akili ?

Kama wamwtumia akili wakafikia kuona kwamba akili ni kuondoka basi tuna wapinzani wa ovyo.
Unajua mimi mara nyingine nasema wapinzani hasa hapa TZ hawapo au ni wachache SANA, wengi wanafikiri upinzani ni kumu attack tu Mtu, na wengine wajinga zaidi wanafikiri ni kutukana tu Watu

Kwa Mfano hapo inaonekana walikuwa wanamtamani sana Dr. Nchimbi ili wamuattack kwa niaba ya serikali ya CCM 🤣, Kumbe wangeweza tu kuendelea na kikao chao na kuwaambia Watazamani wao kama Vyama vya siasa wana mipango gani na wamejiandaaje na Uchaguzi
 
Unajua mimi mara nyingine nasema wapinzani hasa hapa TZ hawapo au ni wachache SANA, wengi wanafikiri upinzani ni kumu attack tu Mtu, na wengine wajinga zaidi wanafikiri ni kutukana tu Watu

Kwa Mfano hapo inaonekana walikuwa wanamtamani sana Dr. Nchimbi ili wamuattack kwa niaba ya serikali ya CCM 🤣, Kumbe wangeweza tu kuendelea na kikao chao na kuwaambia Watazamani wao kama Vyama vya siasa wana mipango gani na wamejiandaaje na Uchaguzi
Hahah kabisa mkuu.

Tunahitaji wapinzani walioko serious kweli
 
Hayo machache ambayo yangewataka vyama vingine kwa nini waondoke wakati kuna machache yangewataka wao ?

Sio sahihi kususia huduma ndogo eti kwa sababu kuna huduma kubwa hauzipati.

Tumia hizo huduma ndogo huku ukizidai hizo kubwa.
kwahioo sasa isssue sio Katibu tena wa CCM kutoroka bali ni hao wengine sio? tunakwepa
 
Back
Top Bottom