Kukishi wakati unapiga penati ni kosa?

Kukishi wakati unapiga penati ni kosa?

Salaam

Jana nilishuhudia mtanange wa nusu fainali ya COSAFA kati ya Zimbabwe na Lesotho ulioshia kwa suluhu hadi filimbi ya mwisho ya dakika za kawaida

Hatua ya matuta golikipa wa Zimbawe alidaka 2 na kufungwa moja ilihali wao walipata zote

Penati ya nne ya Lesotho ndo msingi wa mada yangu maana mpigaji alikwenda akakishi kama anapiga kipa akalala halafu akafunga kilaini, kilichotokea mwamuzi alimfuata na kumpa kadi ya Njano na kumaliza mpira kumaanisha wazim wameshinda

Nakumbuka hii sheria iliwahi kuondolewa kwa kukishi si kosa...............MSAADA ZAIDI


Kukishi? hicho kiswahili cha migombani huko,huku minazini hatuna kiswahili cha hivyo
 
Kwenye draft kukishi ni kuomba kete uile. Mfano ukiingia king halafu spot uliyoingilia kunakua na jete mbele za kuweza kula utasikia "Double kish hiyo haya vesha jongo"
 
uko
Kwenye draft kukishi ni kuomba kete uile. Mfano ukiingia king halafu spot uliyoingilia kunakua na jete mbele za kuweza kula utasikia "Double kish hiyo haya vesha jongo"
vizuri kidraft
 
Cjui aisee hii n ya mchangan
Nmetolea mfano kuna alie sema
Hajui maana ya kukish
Ujue mpigaji hakukishi bali alinyuti kwenye point ya kupiga ila kukishi haina shida wakati unaelekea kupiga mkwaju.
 
Back
Top Bottom