Villanova tito
Member
- Dec 20, 2016
- 96
- 115
Habari zenu Wana jukwaa la JamiiForums
Kwanza napenda kuipongeza serikali kusimamia utekerezaji wa ujenzi wa bwawa hili kubwa nchini la kufua umeme na kutoa fursa za ajira Kwa vijana wengi wa kitanzania
Lakini mradi unapoelekea kumalizika kumetokea tatizo kubwa sana la urasimu upande kupata ajira kutokana na vishoka kufanikiwa kuwakamata ma hr wa mradi hususani ma hr wanaokaa nje ya mradi kwenye vijiji vya mloka pwani na kisaki morogoro
Kawaida contractor mchina chibi ya kampuni ya sino hydro corporation na jv Arab na elsewedy electricity kutoka Misri
Wakihitaji wafanyakazi wenye ujuzi na ambao hawana ujuzi huwatumia Hawa ma hr kuwapata watu hao ambao wamekita Kambi Nje ya ofisi hizo
Lakini Kwa tamaa ya ma hr nafasi hizi hawapei walengwa na vishoka hutumika kuuza nafasi hizi kuanzia tsh 200000 Hadi tsh 400000
Na kwenda kufanya test kama unafani welder carpenter steel fixer na nyinginezo tsh 150000
Kwa mfano wakihitaji watu 30 nafasi 25 zitauzwa na nafasi 5 ndo zitafata taratibu iliyowekwa na wasoteaji wa kazi
Utata mwingine upo upande wa kupata majibu baada ya test mwarabu atakwambia umepita na utaitwa Kwa ajili ya ajira, Lakini pindi unaporudi kusubiri kuitwa ndo forever na ukienda ofisi ya hr utaambiwa Kwa jeuri umefeli
Tunaomba serikali kupitia wizara ya ajira na vijana na wizara ya ujenzi na taasisi nyingine kuchukua hatua Kali
Kwa sababu vijana wengi wapo wanalanda vijiji vya mloka na kisaki lakini kupata ajira ni ngumu mno na WAnaopata ajira ni wale waliotoa rushwa
Vijana tunapenda kufanya kazi shida hatuna Hela za kununua kazi
Kwanza napenda kuipongeza serikali kusimamia utekerezaji wa ujenzi wa bwawa hili kubwa nchini la kufua umeme na kutoa fursa za ajira Kwa vijana wengi wa kitanzania
Lakini mradi unapoelekea kumalizika kumetokea tatizo kubwa sana la urasimu upande kupata ajira kutokana na vishoka kufanikiwa kuwakamata ma hr wa mradi hususani ma hr wanaokaa nje ya mradi kwenye vijiji vya mloka pwani na kisaki morogoro
Kawaida contractor mchina chibi ya kampuni ya sino hydro corporation na jv Arab na elsewedy electricity kutoka Misri
Wakihitaji wafanyakazi wenye ujuzi na ambao hawana ujuzi huwatumia Hawa ma hr kuwapata watu hao ambao wamekita Kambi Nje ya ofisi hizo
Lakini Kwa tamaa ya ma hr nafasi hizi hawapei walengwa na vishoka hutumika kuuza nafasi hizi kuanzia tsh 200000 Hadi tsh 400000
Na kwenda kufanya test kama unafani welder carpenter steel fixer na nyinginezo tsh 150000
Kwa mfano wakihitaji watu 30 nafasi 25 zitauzwa na nafasi 5 ndo zitafata taratibu iliyowekwa na wasoteaji wa kazi
Utata mwingine upo upande wa kupata majibu baada ya test mwarabu atakwambia umepita na utaitwa Kwa ajili ya ajira, Lakini pindi unaporudi kusubiri kuitwa ndo forever na ukienda ofisi ya hr utaambiwa Kwa jeuri umefeli
Tunaomba serikali kupitia wizara ya ajira na vijana na wizara ya ujenzi na taasisi nyingine kuchukua hatua Kali
Kwa sababu vijana wengi wapo wanalanda vijiji vya mloka na kisaki lakini kupata ajira ni ngumu mno na WAnaopata ajira ni wale waliotoa rushwa
Vijana tunapenda kufanya kazi shida hatuna Hela za kununua kazi