Kukojoa kwenye chupa yenye mfuniko, halafu kila saa inafungwa mfuniko, kuna athari yoyote?

Kukojoa kwenye chupa yenye mfuniko, halafu kila saa inafungwa mfuniko, kuna athari yoyote?

Ni ajabu kukojolea kwenye makopo mwanaume!..Ni kama dalili ya Uoga hivi, choo hata kama kipo nje ya nyumba sitaki amini kipo mita 100 toka unapoishi labda kama ni kijijini.
Halafu kuna baadhi ya desturi zilifanyika miaka hiyo kutokana na mazingira sasa mtu msomi wa JF unalojoa kwenye kopo ukisema kawaida!!..
Ni ajabu kwa sababu wewe hujawahi kukojoa kwenye kopo.
Siyo dalili ya woga, ni uvivu na uchovu.
Kukojoa kwenye makopo ni desturi iliyokuwepo, iliyopo na itakayokuwepo, ipo kwa sababu za kiusalama na kuokoa muda.
Usomi isiwe tiketi ya kifungo cha kutofanya mambo mengine.
 
huyo sio mzima mkuu, mwanaume kabisa anakojoa kwenye kopo asubuhi huyooo na likopo lake anaenda kumwaga mkojo, hicho chumba kitakuwa kinanuka sana
Wewe ndiyo siyo mzima.
Wengi mnakurupuka, hamuelewi vizuri.
Nakojoa kwenye chupa yenye mdomo mwembamba, nikishamaliza naifunga, kwa hiyo harufu yote inabaki ndani ya chupa, chumbani kwangu hakuna harufu.
 
Wewe ndiyo siyo mzima.
Wengi mnakurupuka, hamuelewi vizuri.
Nakojoa kwenye chupa yenye mdomo mwembamba, nikishamaliza naifunga, kwa hiyo harufu yote inabaki ndani ya chupa, chumbani kwangu hakuna harufu.
Kuna kijiji nilienda kuna baridi ya kufa mtu sikuwahi kukojoa kwenye kopo ila niliweza aisee manake ukitoka nje ukirudi ndani usingizi wote kwishnee na kitanda ni baridi hatari.
 
Nyakati za usiku, wengine ni uvivu kuinuka kwenda chooni kujisaidia haja ndogo, baadala yake wanatumia kopo, ndoo au chupa kujisaidia haja ndogo.
Swali langu lipo kwenye hawa wanaotumia chupa yenye mfuniko, yaani akishamaliza kukojoa, anaifunga kwa mfuniko.
Maswali:
(1) Lile joto kali linalokuwa kwenye chupa linalosababishwa na kufunga chupa kwa mfuniko kwa muda mrefu halina athari kwenye uume?
(2) Ukitumia chupa au kopo kwa muda mrefu, kwenye kopo au chupa kunabaki vitu kama magadi, yale magadi ni nini?
Asanteni.
Ahaa!! Kumbe nawe unakojoleaga kwenye chupà!! Umejuaje kuna magadi??!
 
Ni ajabu kwa sababu wewe hujawahi kukojoa kwenye kopo.
Siyo dalili ya woga, ni uvivu na uchovu.
Kukojoa kwenye makopo ni desturi iliyokuwepo, iliyopo na itakayokuwepo, ipo kwa sababu za kiusalama na kuokoa muda.
Usomi isiwe tiketi ya kifungo cha kutofanya mambo mengine.
Uvivu na Uchovu gani unaouongelea wanaume wenzio hatuupitii!?...
Kisomi huwezi kojoa kwenye kopo unless mazingira kutoka nje ya chumba chako wakati husika ni hatari!..Huoni unaacha harufu ya mikojo chumbani?..
Tamaduni zingine zilifaaa zife kadiri ya kipindi kinavyoenda!..kwa utaratibu wako hata ukiishi kwenye Self contained room utakuwa na kopo si mvivu kushuka kitandani na kutembea
 
Ukilenga shabaha unalowanisha godoro Mkuu, mwishowe sehemu ya kulala inakuwa kero kwa unyevunyevu, wanaingiza kabisa Mkuu.
Huu ni uvivu wa flyover yani hata kusogea ukafanyia pembeni imeshindikana? Anyway sijui kama ina madhara kwa kweli maana sidhani pia kama ni kila siku na mara nyingi
 
Hayo mambo ukizoea hata ukilala Master bedroom bado utakojolea makopo kwako kisingizio cha uchovu na usingizi. Huo ni "UVIVU" ℅√
 
Uvivu na Uchovu gani unaouongelea wanaume wenzio hatuupitii!?...
Kisomi huwezi kojoa kwenye kopo unless mazingira kutoka nje ya chumba chako wakati husika ni hatari!..Huoni unaacha harufu ya mikojo chumbani?..
Tamaduni zingine zilifaaa zife kadiri ya kipindi kinavyoenda!..kwa utaratibu wako hata ukiishi kwenye Self contained room utakuwa na kopo si mvivu kushuka kitandani na kutembea
Acha ku-complicate mambo.
We' si' unaishi maisha laini, ukinywa maji bilauri moja, mchezo umekwisha!. Kwa tunaokunywa maji mengi utatoka mara ya kwanza na ya pili, utaona uvivu kutokatoka kila mara kwenda kukojoa, unaamua usisumbuke. Halafu kukojoa kweny chupa siyo mila, ni desturi.
Usomi usiwe sababu ya kuishi kama mfungwa.
 
Au atakua anaishi s'wanga [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] anaogopa radi
Kwa taarifa yako asilia 80 ya watanzania wote wanakojoa kwenye makopo, kama hukojoi kwenye kopo usione ajabu, tunaokojoa kwenye chupa ni wengi kuliko msiokojoa.
Tabia ya kukojoa kwenye chupa siyo ya mjini wala kijijini. Usikariri kwamba kukojoa kwenye kopo ni vijijini.
 
Huu ni uvivu wa flyover yani hata kusogea ukafanyia pembeni imeshindikana? Anyway sijui kama ina madhara kwa kweli maana sidhani pia kama ni kila siku na mara nyingi
Tuseme ni mara kwa mara, kwa sababu muda wote nakuwa nimekunywa maji mengi.
 
Hayo mambo ukizoea hata ukilala Master bedroom bado utakojolea makopo kwako kisingizio cha uchovu na usingizi. Huo ni "UVIVU" ℅√
Watu mnanishambulia tu, bila ya kuniambia madhara yake ni nini.
Waliochangia cha maana ni wachache sana mpaka muda huu.
 
Back
Top Bottom