kufanakupona
JF-Expert Member
- Jun 18, 2015
- 522
- 421
- Thread starter
-
- #41
Mnaoshangaa kukojoa kwenye chupa ninyi ni mambo safi, mnaona jambo la ajabu mtu kukojoa kwenye chupa AU hamshikwi na haja ndogo mara kwa mara, ukibanwa na mkojo kila wakati lazima utaona kero kwenda chooni, itakupelekea utafute kopo.Duniani kuna maajabu/vituko sana. Kushuka kitandani mtu anashindwa!!!!??
Self container = self containedKhaaaa ina maana nyie wote hamna room self container! [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Kuna siku nimesafiri kwenye bus la ABC kwenda Iringa, mtu mmoja alipandia gari Chalinze, akaomba chupa za maji kwa watu kadhaa akakaa siti ya nyuma kabisa, kufika Mikumi mbugani akatupa chupa nje watu wa patrol wakalifukuzia basi wakatusimamisha wakasema kuna chupa ilirushwa hidhadhini kinyume na sheria na ilikuwa imetokea dirisha la nyuma kabisa na ilikuwa na mikojo, walipokwend huko ilikotokea chupa wakamkuta jamaa ana chupa zingine mbili zimejaa mikojo alikuwa anasubiri kuzitupa nje, wakashuka nayeNyakati za usiku, wengine ni uvivu kuinuka kwenda chooni kujisaidia haja ndogo, baadala yake wanatumia kopo, ndoo au chupa kujisaidia haja ndogo.
Swali langu lipo kwenye hawa wanaotumia chupa yenye mfuniko, yaani akishamaliza kukojoa, anaifunga kwa mfuniko.
Maswali:
(1) Lile joto kali linalokuwa kwenye chupa linalosababishwa na kufunga chupa kwa mfuniko kwa muda mrefu halina athari kwenye uume?
(2) Ukitumia chupa au kopo kwa muda mrefu, kwenye kopo au chupa kunabaki vitu kama magadi, yale magadi ni nini?
Asanteni.
Eti ni desturi na kuokoa muda hahahahahahaha Jf kuna vituko!Ni ajabu kwa sababu wewe hujawahi kukojoa kwenye kopo.
Siyo dalili ya woga, ni uvivu na uchovu.
Kukojoa kwenye makopo ni desturi iliyokuwepo, iliyopo na itakayokuwepo, ipo kwa sababu za kiusalama na kuokoa muda.
Usomi isiwe tiketi ya kifungo cha kutofanya mambo mengine.