Tena kojo la njano kabisaaaNajua hii tabia wanayo binadamu wengi unakuta mnaogelea katika pool mtu anabanwa mkojo badala aende toilet anaamua kumalizia shida zake humohumo ndani.
Mwingine ndo shenzi wahed anakunya kabisa. Unaweza ukashangaa kinyesi kinapanda juu ya maji. Aisee kweli nimeamini kila mtu ana upumbavu wake.
Usichoweza kukifanya wewe mwingine anakifanya and vise versa is true.
Ahsante kwa kuwa muwazi mkuu😄😄😄 mi pia nikazie ktk hilo hakuna ambae hajawai kukojoa kweny bwawa la kuogelea.Hakuna mtu hajawahi kukojoa kwenye pool nasema hakuna mtu huyo
Kwa bahari ivyo vitu ni negligible mkuuBaharini mabomba yote ya Mwananyamala hospital, muhimbili, aga khan, posta yote na kariakoo, yale ma** ya wa--maize na pilipili yanaelekezwa baharini, sasa afadhali ipi, mkojo wetu au ma-V ya posta na muhimbili?
Sijawahi asilani lakin n mtuamiaji mkubwa wa swimming poolKanuni za pool lazima ujimwagie maji kwanza ika swala la kukojoa wote tunakojoamo humo
Demu wako alivaa kimin skirt? Jamaa hao ni wabaya kwa kuchomeka "misumari"Jamaa alikuaga anafundisha demu wangu kuogelea, mie nimekaa kwa pembeni nabembea.
Mungu ameiumba bahari kwa ustadi usio na kifani.....bahari inajisafisha yenyewe yaani daaaah!Ndo maana maji ya bahari Yana chumvi.
ili kuzuia hayo madhara..kuna beach Safi kama ununio, bagamoyo,na mbezi beach
Yanakua dark blueNasikia swimming pools nyingine maji yanawekwa dawa ukikojoa tu pale ulipokojoa maji yanabadilika rangi!
ha ha ha nilikuwa nasikia tuYanakua dark blue
View attachment 1806731
Almost zote za public ziko hivi, unatakiwa ukajimwagie maji kabla ya kuingia kwenye pool.Swimming pool ninayotumia iko Na Na choo / washroom hapo jirani. Unajimwagia Maji, toa kimba Na kojoa kabisa kabla ya kuingia kuogelea.
Ukibanwa Na haja unatoka fasta choo kiko hapo jirani. Si mbali
JF kweli nyoko....Tabia hii ipo kwetu wakina dada, yani tukisha ingia ,labda kwa zile nguo zinachora"k" ilivyo mtu anaamua abaki ndani , anakojoa huko huko we utashangaa tu ukioga unawashwa.
wengine pia unakuta MTU YUPO HEDHI ila analazimisha kuoga, nayo mbaya sana hii, unakuta maji yanakuwa na rangi ya ajabu.
Tubadilike.
Ninasubiri stendi ya Magufuli pale,nakumbuka nimeingia nikakuta jamaa katulia as if yuko hotelini.Kule Kigoma ukiingia toilet pale stesheni au hata kwenye bar utakuta Kuna mtu kaweka signature kutumia kinyesi. Kuta zote Hadi usawa wa kichwa na zaidi.
Inamaana watu wa Kigoma wanachamba na mikono na kusiliba kwenye kuta?
Watu wa Dar kweli Hawa flush public toilet hata Serena hotel (I know because I have seen several times tukiwa na mikutano au sherehe pale)
Lkn Kigoma wamekwenda extra mile.
Kuogelea kwenye hayo madude nilishashindwa. Baharini
Ndo tatizo la kufanya jambo kwa muda mrefu. Unalizoea unaona ni sehemu ya ubinadamu ilihali ni tabia na binadamu hatufanani tabia.Hakuna mtu hajawahi kukojoa kwenye pool nasema hakuna mtu huyo
[emoji23]Kule Kigoma ukiingia toilet pale stesheni au hata kwenye bar utakuta Kuna mtu kaweka signature kutumia kinyesi. Kuta zote Hadi usawa wa kichwa na zaidi.
Inamaana watu wa Kigoma wanachamba na mikono na kusiliba kwenye kuta?
Watu wa Dar kweli Hawa flush public toilet hata Serena hotel (I know because I have seen several times tukiwa na mikutano au sherehe pale)
Lkn Kigoma wamekwenda extra mile.
wapi nije nikuangalie nisafishe macho mkuuunaangalia uumbaji, sasa si unajitesa mwenyewe na uishie kupiga puli?
Siogi tena kwenye swimming poolTabia hii ipo kwetu wakina dada, yani tukisha ingia ,labda kwa zile nguo zinachora"k" ilivyo mtu anaamua abaki ndani , anakojoa huko huko we utashangaa tu ukioga unawashwa.
wengine pia unakuta MTU YUPO HEDHI ila analazimisha kuoga, nayo mbaya sana hii, unakuta maji yanakuwa na rangi ya ajabu.
Tubadilike.
Pia chumvi yake siyo mchezo, bahari + haitunzi uchafuBahari ni kubwa na maji ya bahari ni mengi.[emoji3][emoji3]