Kukojoa ndani ya swimming pool sio uungwana

Kukojoa ndani ya swimming pool sio uungwana

Najua hii tabia wanayo binadamu wengi unakuta mnaogelea katika pool mtu anabanwa mkojo badala aende toilet anaamua kumalizia shida zake humohumo ndani.

Mwingine ndo shenzi wahed anakunya kabisa. Unaweza ukashangaa kinyesi kinapanda juu ya maji. Aisee kweli nimeamini kila mtu ana upumbavu wake.

Usichoweza kukifanya wewe mwingine anakifanya and vise versa is true.
Tena kojo la njano kabisaaa
 
Sio poa, kuna place moja nilienda mitaa ya Kunduchi jamaa kaingia swimming pool na demu wake akambambia akidhani hatuoni, kumbe tunawachora tu walivyotuchafulia maji wakatuharibia weekend yetu, swimm nyingi ni accumulation ya uchafu wa kila aina waswahili hatuna maana.
 
Baharini mabomba yote ya Mwananyamala hospital, muhimbili, aga khan, posta yote na kariakoo, yale ma** ya wa--maize na pilipili yanaelekezwa baharini, sasa afadhali ipi, mkojo wetu au ma-V ya posta na muhimbili?
Kwa bahari ivyo vitu ni negligible mkuu
 
Swimming pool ninayotumia iko Na Na choo / washroom hapo jirani. Unajimwagia Maji, toa kimba Na kojoa kabisa kabla ya kuingia kuogelea.

Ukibanwa Na haja unatoka fasta choo kiko hapo jirani. Si mbali
 
Nasikia swimming pools nyingine maji yanawekwa dawa ukikojoa tu pale ulipokojoa maji yanabadilika rangi!
Yanakua dark blue
mefiez-vous-des-piscines_25374b56c56d39477360f27455ed3e0065ada24c.jpg
 
Nafikiri kukojoa si issue sana maana maji ni mengi na yana dawa...ila haja kubwa kidogo inakuwa tatizo.
 
Swimming pool ninayotumia iko Na Na choo / washroom hapo jirani. Unajimwagia Maji, toa kimba Na kojoa kabisa kabla ya kuingia kuogelea.

Ukibanwa Na haja unatoka fasta choo kiko hapo jirani. Si mbali
Almost zote za public ziko hivi, unatakiwa ukajimwagie maji kabla ya kuingia kwenye pool.
 
Tabia hii ipo kwetu wakina dada, yani tukisha ingia ,labda kwa zile nguo zinachora"k" ilivyo mtu anaamua abaki ndani , anakojoa huko huko we utashangaa tu ukioga unawashwa.
wengine pia unakuta MTU YUPO HEDHI ila analazimisha kuoga, nayo mbaya sana hii, unakuta maji yanakuwa na rangi ya ajabu.
Tubadilike.
JF kweli nyoko....

Siku zote nilikuwa najua wewe ni mwanaume...
 
Nilikwenda kuogelea baharini ile napiga mbizi kuibuka nakutana na papa mdogo,a.k.a Kimba
Kule Kigoma ukiingia toilet pale stesheni au hata kwenye bar utakuta Kuna mtu kaweka signature kutumia kinyesi. Kuta zote Hadi usawa wa kichwa na zaidi.
Inamaana watu wa Kigoma wanachamba na mikono na kusiliba kwenye kuta?
Watu wa Dar kweli Hawa flush public toilet hata Serena hotel (I know because I have seen several times tukiwa na mikutano au sherehe pale)
Lkn Kigoma wamekwenda extra mile.
Ninasubiri stendi ya Magufuli pale,nakumbuka nimeingia nikakuta jamaa katulia as if yuko hotelini.
Kuogelea kwenye hayo madude nilishashindwa. Baharini
 
Kule Kigoma ukiingia toilet pale stesheni au hata kwenye bar utakuta Kuna mtu kaweka signature kutumia kinyesi. Kuta zote Hadi usawa wa kichwa na zaidi.
Inamaana watu wa Kigoma wanachamba na mikono na kusiliba kwenye kuta?
Watu wa Dar kweli Hawa flush public toilet hata Serena hotel (I know because I have seen several times tukiwa na mikutano au sherehe pale)
Lkn Kigoma wamekwenda extra mile.
[emoji23]
 
Tabia hii ipo kwetu wakina dada, yani tukisha ingia ,labda kwa zile nguo zinachora"k" ilivyo mtu anaamua abaki ndani , anakojoa huko huko we utashangaa tu ukioga unawashwa.
wengine pia unakuta MTU YUPO HEDHI ila analazimisha kuoga, nayo mbaya sana hii, unakuta maji yanakuwa na rangi ya ajabu.
Tubadilike.
Siogi tena kwenye swimming pool
 
Back
Top Bottom