mtaa umetulea
JF-Expert Member
- Nov 17, 2020
- 1,840
- 2,381
Weka picha mkuuNajua hii tabia wanayo binadamu wengi unakuta mnaogelea katika pool mtu anabanwa mkojo badala aende toilet anaamua kumalizia shida zake humohumo ndani.
Mwingine ndo shenzi wahed anakunya kabisa. Unaweza ukashangaa kinyesi kinapanda juu ya maji. Aisee kweli nimeamini kila mtu ana upumbavu wake.
Usichoweza kukifanya wewe mwingine anakifanya and vise versa is true.
Cha kushangaza vyoo vya warembo wa vyuo Ni vichafu kuliko vya wanaume. Lkn wakishatuvalia vijisketi vifupi na vi top hutahisi kituMpaka chuo kikuu ukienda kwenye choo cha malecturers wenye PHD zao utakuta kuna mwamba kaacha kimba haja flash...
Siyo kila siku.
Kuna gym fulani ina swimming pool ni haiwezekani umalize mazoezi halafu ukiwa umeingia kwenye swimming pool ukojoe.
Kumbe we Ni "she"unaangalia uumbaji, sasa si unajitesa mwenyewe na uishie kupiga puli?
Aisee hata Mimi nikifikiriaga ayo nashindwa kabisa,, mwingine anaenda toilet, kuchamba anakuja kuchambia kwenye swimming pool kimtindo[emoji23][emoji23][emoji23]sijawai kuogelea kweny swimming na sijawai fikria kuogelea humo kwasababu maji hayatembei utakuta wengn maji hawabadilishi ni dawa tu sas mwingn anamaukoko matakon mwingn anakunya humo hajachamba vizur utapiga mbizi ukiibuka mdomo upo waz ushakula ukoko wa mwajuma wa buza kudadeq
wenzetu wenye asili ya "esha" wana tema makohozi balaa, .1. kukojoa &kun**ya
2.kupenga kamasi
3.kutema mate ovyo
4.kufanya mapenzi hadharan
Tabia za hovyo sana swimming pool,nikionaga mavitu kama haya sitamani hata kuogelea au kwenda
au kama sisi mtu umefanya sex na mmeo asubuhi na sperms hazikutoka zote, sasa ukiwa unaogelea zinaendelea kutoka, daah.[emoji23][emoji23][emoji23]sijawai kuogelea kweny swimming na sijawai fikria kuogelea humo kwasababu maji hayatembei utakuta wengn maji hawabadilishi ni dawa tu sas mwingn anamaukoko matakon mwingn anakunya humo hajachamba vizur utapiga mbizi ukiibuka mdomo upo waz ushakula ukoko wa mwajuma wa buza kudadeq
mkionaga pisi kali ndio mnakoja ili wanywe mikojo yenu, haya bhana, watu wa CHATO wanasema hakuna ambaye "hajawahi ku-puu ziwani"Ahsante kwa kuwa muwazi mkuu😄😄😄 mi pia nikazie ktk hilo hakuna ambae hajawai kukojoa kweny bwawa la kuogelea.
Sometimes anakuwaga MELeo ndio nimejua kuwa jaji Ni KE
huwa zinaelea.
Demu wako anapigwa miti pasipo wewe kujua...eti umekaa pembeni unabembea...demu alikuona we ni weak sana sema hujui tuJamaa alikuaga anamfundisha demu wangu kuogelea, mie nimekaa kwa pembeni nabembea.
inategemea na chakulahuwa zinaelea.
dahhau kama sisi mtu umefanya sex na mmeo asubuhi na sperms hazikutoka zote, sasa ukiwa unaogelea zinaendelea kutoka, daah.
Hakuna kilicho kizuri kwa Mwafrika!Najua hii tabia wanayo binadamu wengi unakuta mnaogelea katika pool mtu anabanwa mkojo badala aende toilet anaamua kumalizia shida zake humohumo ndani.
Mwingine ndo shenzi wahed anakunya kabisa. Unaweza ukashangaa kinyesi kinapanda juu ya maji. Aisee kweli nimeamini kila mtu ana upumbavu wake.
Usichoweza kukifanya wewe mwingine anakifanya and vise versa is true.
Kumbe sio bongo tuu mpaka ulaya? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]