Kukojoa ndani ya swimming pool sio uungwana

Weka picha mkuu
 
Kuogelea kwenye ma swimming ni kuleteana magonjwa na kulishana vinyesi tu , japo wanasema wanatibu maji lakini hapata siamini , bora nikaogelee baharii kuliko swimming , mpango wa swimming unafaa uwe ndani ki familia zaidi tu basi walishane vinyesi wenyewe
 
[emoji23][emoji23][emoji23]sijawai kuogelea kweny swimming na sijawai fikria kuogelea humo kwasababu maji hayatembei utakuta wengn maji hawabadilishi ni dawa tu sas mwingn anamaukoko matakon mwingn anakunya humo hajachamba vizur utapiga mbizi ukiibuka mdomo upo waz ushakula ukoko wa mwajuma wa buza kudadeq
 
1. kukojoa &kun**ya

2.kupenga kamasi

3.kutema mate ovyo

4.kufanya mapenzi hadharan

Tabia za hovyo sana swimming pool,nikionaga mavitu kama haya sitamani hata kuogelea au kwenda
 
Aisee hata Mimi nikifikiriaga ayo nashindwa kabisa,, mwingine anaenda toilet, kuchamba anakuja kuchambia kwenye swimming pool kimtindo
 
au kama sisi mtu umefanya sex na mmeo asubuhi na sperms hazikutoka zote, sasa ukiwa unaogelea zinaendelea kutoka, daah.
 
Ahsante kwa kuwa muwazi mkuu😄😄😄 mi pia nikazie ktk hilo hakuna ambae hajawai kukojoa kweny bwawa la kuogelea.
mkionaga pisi kali ndio mnakoja ili wanywe mikojo yenu, haya bhana, watu wa CHATO wanasema hakuna ambaye "hajawahi ku-puu ziwani"
 
Hakuna kilicho kizuri kwa Mwafrika!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…