Kukojoa ndani ya swimming pool sio uungwana

Kukojoa ndani ya swimming pool sio uungwana

Najua hii tabia wanayo binadamu wengi unakuta mnaogelea katika pool mtu anabanwa mkojo badala aende toilet anaamua kumalizia shida zake humohumo ndani.

Mwingine ndo shenzi wahed anakunya kabisa. Unaweza ukashangaa kinyesi kinapanda juu ya maji. Aisee kweli nimeamini kila mtu ana upumbavu wake.

Usichoweza kukifanya wewe mwingine anakifanya and vise versa is true.
ndo maana sifikirii kuogelea kwenye hayo madimbwi na sitaogelea asilan.
 
Kule Kigoma ukiingia toilet pale stesheni au hata kwenye bar utakuta Kuna mtu kaweka signature kutumia kinyesi. Kuta zote Hadi usawa wa kichwa na zaidi.
Inamaana watu wa Kigoma wanachamba na mikono na kusiliba kwenye kuta?
Watu wa Dar kweli Hawa flush public toilet hata Serena hotel (I know because I have seen several times tukiwa na mikutano au sherehe pale)
Lkn Kigoma wamekwenda extra mile.
Mpaka chuo kikuu ukienda kwenye choo cha malecturers wenye PHD zao utakuta kuna mwamba kaacha kimba haja flash...
 
Wewe unalalamika kukojoa ndani ya swimming pool mbona hiki ni cha mtoto, mwaka juzi nilipeleka wanangu kuswimm pale Wet n Wild yaani sikuamini macho yangu. Niliona kitu kinalelea na kuelekea mgongoni mwa mwanangu, kwenda kuangalia kumbe ilikuwa ni kipande cha mavi kuna mtu alijiachia mle ndani. Think of that.
Ni mwanao ndio aliachia mzigo
 
Tabia hii ipo kwetu wakina dada, yani tukisha ingia ,labda kwa zile nguo zinachora"k" ilivyo mtu anaamua abaki ndani , anakojoa huko huko we utashangaa tu ukioga unawashwa.
wengine pia unakuta MTU YUPO HEDHI ila analazimisha kuoga, nayo mbaya sana hii, unakuta maji yanakuwa na rangi ya ajabu.
Tubadilike.
Hivi kumbe wewe ni mwanamke??? ndo nimejua leo aisee.. hahahahaah
 
Sheria tu kabla ya kuingia kwenye pool lazima uingie bafuni kwanza!
Mambo ya kutumia hayo madude yenu yanataka ustaraabu sana

Ova
 
Sheria tu kabla ya kuingia kwenye pool lazima uingie bafuni kwanza!
Mambo ya kutumia hayo madude yenu yanataka ustaraabu sana

Ova
Tatizo mtu unaweza ukawa wewe ni mstaarabu sawa ila anatokea mwamba mmoja huko hajui maana hata ya neno ustaarabu.

Ndo maana hii dunia kuvumiliana kunahitajika sana
 
Tatizo mtu unaweza ukawa wewe ni mstaarabu sawa ila anatokea mwamba mmoja huko hajui maana hata ya neno ustaarabu.

Ndo maana hii dunia kuvumiliana kunahitajika sana
Miaka ya nyuma nakumbuka watu walikuqa wanaenda poolside kilimanjaro!
Kuna watu walikuwa wakienda pale walikuwa wanaiba sana mataulo....hapo bado wakojozi
Bado wengine wanakulana mule ndani

Ova
 
Vipi wazee wa kunyeto, ndani ya hayo madude wanasemaje?
Kwa nini unyetuke wakati kuna Watoto wakali ,akili yako tu kwenye kuwala,kigiza kinavyoingia unamsogeza kwenye kina kirefu,haswa akiwa hajui kuogelea,unajiongeza unakula mzigo
 
Miaka ya nyuma nakumbuka watu walikuqa wanaenda poolside kilimanjaro!
Kuna watu walikuwa wakienda pale walikuwa wanaiba sana mataulo....hapo bado wakojozi
Bado wengine wanakulana mule ndani

Ova
Duh! kuna saa unaweza kudhani hivi vitu vingebakigi tu kwa wazungu... maana huku kwetu ni kama bado hatujastaarabika
 
Duh! kuna saa unaweza kudhani hivi vitu vingebakigi tu kwa wazungu... maana huku kwetu ni kama bado hatujastaarabika
Haya mambo yanataka ustarabu sana
Utakuta mtu anaingia na mijasho,bado hajakutana na mikojo mule,kuna wengine wanagegedana ndani ya maji
Ila kama wenye swimming wanamuajiri msimamizi maalum na anayejua taratibu za pool
Anaweza dhibiti mambo ya ajabu ajabu

Ova
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kama haya yanatokea, namshangaa anaefanya hivyo, kwani maji anayochafua ndiyo nae pia yumo humo.
 
Back
Top Bottom