Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii Comment Irudiwe nasema irudiwe !!!Hakuna mtu hajawahi kukojoa kwenye pool nasema hakuna mtu huyo
ndo maana sifikirii kuogelea kwenye hayo madimbwi na sitaogelea asilan.Najua hii tabia wanayo binadamu wengi unakuta mnaogelea katika pool mtu anabanwa mkojo badala aende toilet anaamua kumalizia shida zake humohumo ndani.
Mwingine ndo shenzi wahed anakunya kabisa. Unaweza ukashangaa kinyesi kinapanda juu ya maji. Aisee kweli nimeamini kila mtu ana upumbavu wake.
Usichoweza kukifanya wewe mwingine anakifanya and vise versa is true.
Mpaka chuo kikuu ukienda kwenye choo cha malecturers wenye PHD zao utakuta kuna mwamba kaacha kimba haja flash...Kule Kigoma ukiingia toilet pale stesheni au hata kwenye bar utakuta Kuna mtu kaweka signature kutumia kinyesi. Kuta zote Hadi usawa wa kichwa na zaidi.
Inamaana watu wa Kigoma wanachamba na mikono na kusiliba kwenye kuta?
Watu wa Dar kweli Hawa flush public toilet hata Serena hotel (I know because I have seen several times tukiwa na mikutano au sherehe pale)
Lkn Kigoma wamekwenda extra mile.
Ni mwanao ndio aliachia mzigoWewe unalalamika kukojoa ndani ya swimming pool mbona hiki ni cha mtoto, mwaka juzi nilipeleka wanangu kuswimm pale Wet n Wild yaani sikuamini macho yangu. Niliona kitu kinalelea na kuelekea mgongoni mwa mwanangu, kwenda kuangalia kumbe ilikuwa ni kipande cha mavi kuna mtu alijiachia mle ndani. Think of that.
Hivi kumbe wewe ni mwanamke??? ndo nimejua leo aisee.. hahahahaahTabia hii ipo kwetu wakina dada, yani tukisha ingia ,labda kwa zile nguo zinachora"k" ilivyo mtu anaamua abaki ndani , anakojoa huko huko we utashangaa tu ukioga unawashwa.
wengine pia unakuta MTU YUPO HEDHI ila analazimisha kuoga, nayo mbaya sana hii, unakuta maji yanakuwa na rangi ya ajabu.
Tubadilike.
SocialZero ustaarabu kwenye hayo mavitu swimming kama unapenda starehe jenga lako nyumbani you won't feel bad.
😀😀😀😀😀Na ukiona mtu katulia ghafla ujue anafanya yake!
Tatizo mtu unaweza ukawa wewe ni mstaarabu sawa ila anatokea mwamba mmoja huko hajui maana hata ya neno ustaarabu.Sheria tu kabla ya kuingia kwenye pool lazima uingie bafuni kwanza!
Mambo ya kutumia hayo madude yenu yanataka ustaraabu sana
Ova
Miaka ya nyuma nakumbuka watu walikuqa wanaenda poolside kilimanjaro!Tatizo mtu unaweza ukawa wewe ni mstaarabu sawa ila anatokea mwamba mmoja huko hajui maana hata ya neno ustaarabu.
Ndo maana hii dunia kuvumiliana kunahitajika sana
Kwa nini unyetuke wakati kuna Watoto wakali ,akili yako tu kwenye kuwala,kigiza kinavyoingia unamsogeza kwenye kina kirefu,haswa akiwa hajui kuogelea,unajiongeza unakula mzigoVipi wazee wa kunyeto, ndani ya hayo madude wanasemaje?
Duh! kuna saa unaweza kudhani hivi vitu vingebakigi tu kwa wazungu... maana huku kwetu ni kama bado hatujastaarabikaMiaka ya nyuma nakumbuka watu walikuqa wanaenda poolside kilimanjaro!
Kuna watu walikuwa wakienda pale walikuwa wanaiba sana mataulo....hapo bado wakojozi
Bado wengine wanakulana mule ndani
Ova
Haya mambo yanataka ustarabu sanaDuh! kuna saa unaweza kudhani hivi vitu vingebakigi tu kwa wazungu... maana huku kwetu ni kama bado hatujastaarabika
DisgustingHadi kimba?
Ndio maana watu wanafanya high pricing ili kupunguza watu wa namna iyo. Unapiga mbizi unaibukia juu na kimba ukiwa mdomo wazi[emoji40][emoji40][emoji2][emoji2]