Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,587
Tunaendelea kujikakamua . Tutatoboa tu.
Kuna mtindo ambao ulianza kama masihara huko nyuma lakini sasa umepamba moto sana na unazidi kuota mizizi mno siku zinavyozidi kusogea.
Kukopeshana hela mtaani kwa riba:
Watu wengi saivi wanakopesha na kukopeshwa kwa riba sana mtaani. Unakuta mtu ana shida ya ghafla anaamua kujitia kitanzi anaenda kwa mtu mwenye vihela kidogo kukopa pesa kwa riba kwa muda fulani.
Mfano: Mtu anaenda kukopa laki 1 kwa siku 30 na atarudisha TZS 160.000 (Riba ni TZS 60.000).
Watu wanakopesha unarudisha 60 % kama faida. Kwa mkopeshaji inalipa sana.Kwa mkopeshwaji inakula sana.
Ni biashara halali au haramu?
Maana siku hizi watu wanakopa mtaani zaidi kuliko benki.
Kuna mtindo ambao ulianza kama masihara huko nyuma lakini sasa umepamba moto sana na unazidi kuota mizizi mno siku zinavyozidi kusogea.
Kukopeshana hela mtaani kwa riba:
Watu wengi saivi wanakopesha na kukopeshwa kwa riba sana mtaani. Unakuta mtu ana shida ya ghafla anaamua kujitia kitanzi anaenda kwa mtu mwenye vihela kidogo kukopa pesa kwa riba kwa muda fulani.
Mfano: Mtu anaenda kukopa laki 1 kwa siku 30 na atarudisha TZS 160.000 (Riba ni TZS 60.000).
Watu wanakopesha unarudisha 60 % kama faida. Kwa mkopeshaji inalipa sana.Kwa mkopeshwaji inakula sana.
Ni biashara halali au haramu?
Maana siku hizi watu wanakopa mtaani zaidi kuliko benki.