mbutamaseko
JF-Expert Member
- Nov 20, 2018
- 743
- 1,071
Kulingana na yanayotokea kwa watu kukosa mishahara mfano shule binafsi kama tusiime, st Anne Marie na zingine nyingi ilhali watumishi hao wanachangia vizuri tu nssf. Serikali aioni haja ya kuruhusu watu wachukue sehemu ya asilimia 30 tu ya mafao yao ili kujilinda kipindi hiki cha janga la covid19. Lengo kuu la mifuko hii in kuihifadhi jamii.
Na ni dhahiri kwa hali ilivyo wanahitaji hifadhi nyakati hizi kwani waajiriwa hawana fedha na waajiri hawana fedha za kuwalipa ni vyema wapewe walizokuwa wanatunza nssf ili nazo ziwatunze na ndio malengo. Au kama kuna watu wamezitafuna basi wanachama waambiwe. Kama kweli hii ni serikali ya wanyonge lazima italifanyia kazi suala hili tofauti na hapo itakuwa ni kuigiza tu kujali wanyonge.
Na fedha zitoke ndani ya wiki au sikutatu kulingana na hali ya dhalura iliyopo.
WABUNGE MKO WAPI? HIZI NDIO ZILIKUWA HOJA ZA DHARURA KUJADILIWA BUNGENI SIO UPINZANI KUWAZA KUPINGA TU KILA KITU NA WA CHAMA TAWALA KUSIFIA MPAKA UJINGA.
Fanyieni kazi haya
Na ni dhahiri kwa hali ilivyo wanahitaji hifadhi nyakati hizi kwani waajiriwa hawana fedha na waajiri hawana fedha za kuwalipa ni vyema wapewe walizokuwa wanatunza nssf ili nazo ziwatunze na ndio malengo. Au kama kuna watu wamezitafuna basi wanachama waambiwe. Kama kweli hii ni serikali ya wanyonge lazima italifanyia kazi suala hili tofauti na hapo itakuwa ni kuigiza tu kujali wanyonge.
Na fedha zitoke ndani ya wiki au sikutatu kulingana na hali ya dhalura iliyopo.
WABUNGE MKO WAPI? HIZI NDIO ZILIKUWA HOJA ZA DHARURA KUJADILIWA BUNGENI SIO UPINZANI KUWAZA KUPINGA TU KILA KITU NA WA CHAMA TAWALA KUSIFIA MPAKA UJINGA.
Fanyieni kazi haya