Kukosa mkopo kwa zaidi ya wanafunzi 28,000 ni janga la kitaifa

Hao waliokosa wamekuwa na ufaulu gani?? isije kuwa div3 halafu wanataka mkopo???

mkopo hauangalii ufaulu mkuu. Kuna mtu anatoboa kwenye mazingira duni ya kielimu. Lakin kwa kuhustle na kupga msuli yatima anatoka na div3. Hakuna tution, prepo kwa kibatari, practical zinasomwa kwenye vitini vya issue boy. Mwingine anakula kuku na kusoma kwa projector na anatia 1. Ufaulu sio kipimo cha kupewa mkopo. Suala hapo ni financial status. Over.
 
hii nchi ishauzwa hapa ni kutafuta pa kuzamia mazima
 
Hao waliokosa wamekuwa na ufaulu gani?? isije kuwa div3 halafu wanataka mkopo???

Upo nyuma sana kimawazo kijana mkopo hauangalii ufaulu, swala ni kozi uliyopata ni priority or not thats why mwaka huu mliomba mkopo before results zenu hazijawa out, sasa we na one yako uliyoipata St. Mtakatifu ndo unadhani mkopo utaupata subiri ushangae na roho yako
 
Hao waliokosa wamekuwa na ufaulu gani?? isije kuwa div3 halafu wanataka mkopo???

mmhh.. sasa mkuu naona kama unataka kuanza kejer na kujiona ww mwenye one ya HKL kupata mkopo na mwenye 3 ya PCB/PCM hana haki.
 
Hilo jamaa ----- kuliko mabwege wote nilowahi kuwaona duniani.Uckute lina 4 ya HKL
 
Hapa Tanzania ni chukua chako mapema.. Najuta kuzaliwa Tanzania mimi.. We mambo ya msingi yanapuuziwa mambo ya kistarehe yanapewa vipaumbele,,, Najuutaa kuzaliwa Bongo
 
Mi naona bodi hawana tatizo tatizo ni selikali inapokuwa inapanga bugdet yake kinachotakiwa ni kuandamana kupinga hili na watanzania tunatakiwa tujitokeze kwenye mandamano kama waarabu sio tunakaa majumbani tunasubiri wengine waandamane
 
Mkuu ukisema wenye dv 1 ndo wapate mkopo utakuta weng ni wale waliotoka shule za wenye hela na sent kayumba tutakuwa hatuendi vyuo hapo mi sikuung mkono mkuu
 
We ngoja dawa yao ndogo,kwani hao watakao pata hizo pesa hawatarudisha? Hakuna maana yakutoa mikopo kwa wanafunzi wengi huku baadhi yao wakionekana kuhangaika nakujutia kwa nn wamechaguliwa kujiunga na elimu ya juu wakati huohuo hata hiyo pesa wangekopeshwa wangetakiwa kurudisha hapo badae,hichi kitu hua kinaniuma sana japo kuwa na mm mlengwa na sijajua nipo group gani ila hii serikali yetu kwa tabia hii haitaweza kuzalisha wahitimu mbalimbali katika nyanja tofautitofauti katika nchi yetu hii,
Mungu ibariki Tanzania Mungu ibariki loans board..
 
Poleni madogo. Ila makato yanauma sana baada ya kupata ajira. Kila mwezi wananikata elfu67na mia6. Na hili deni ni la miaka14. Najuta kwanini niliombaga mkopo.
 
Mimi ni Muhanga wa waliokosa. Mnanishauri nifanyeje?
 

hahahaaaaaaaaaaa
 
Hahahahah amekoma aisee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…