Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati hao wenye pesa tunawatombea tuWatakuja wakwambie utafute pesa
Habari wakuu naomba msaada tafadhari nina kama mwezi mmoja sasa nakosa hamu ya tendo pia jogoo hawiki kabisaa naomba mtu mwenye kujua dawa ya uhakika anisaidie tafadhari hali yangu sio nzuri naona aibu kwa mtubwangu
Pole sana gentleman,Habari wakuu naomba msaada tafadhari nina kama mwezi mmoja sasa nakosa hamu ya tendo pia jogoo hawiki kabisaa naomba mtu mwenye kujua dawa ya uhakika anisaidie tafadhari hali yangu sio nzuri naona aibu kwa mtubwangu
Jiandae kuolewaHabari wakuu naomba msaada tafadhari nina kama mwezi mmoja sasa nakosa hamu ya tendo pia jogoo hawiki kabisaa naomba mtu mwenye kujua dawa ya uhakika anisaidie tafadhari hali yangu sio nzuri naona aibu kwa mtubwangu
Nitafanya hvy na nitakurudia kakaPole sana gentleman,
hebu kwanza kacheki UTI sugu, gono, kaswende na ukimwi,
Lakini pia check typhoid, malaria, minyoo na sukari, ni muhimu sana, kabla sijakushauri mambo mengine ya vyakula, vinywaji, mazoezi, maisha n.k, right gentleman?🐒
Sawa mkuuthis is a very sensitive issue
kamuone urologist hospitali
karibu sana gentleman 🐒Nitafanya hvy na nitakurudia kaka
Urefu wako? Uzito wako? Unakisukari? Presha? Mtindo wako wa kula ukoje? Unapumzika vya kutosha? Tatizo limeanza sasaivi au ulikua nalo mda mrefu? Unafnya mazoez ya viungo?Habari wakuu naomba msaada tafadhari nina kama mwezi mmoja sasa nakosa hamu ya tendo pia jogoo hawiki kabisaa naomba mtu mwenye kujua dawa ya uhakika anisaidie tafadhari hali yangu sio nzuri naona aibu kwa mtubwangu