Kukosekana kwa Fiston Mayele kwenye timu ya Taifa wakongo wengi walalamikia kocha

kwisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
1,779
Reaction score
4,982
Leo nimekuwa zangu mtandaoni naona mashabiki wa Simba wakitukana saana Mayele
Ila kwa wakongo wenyewe jambo la Mayele kuachwa kwenye timu ya taifa hawajafurahishwa nalo

Kwenye mtandao wa linafoot na mitandao mingine ya wakongo watu wana post picha na ku comment kumtukana kocha kuwa inawezekanaje kuita Cedric Bakambu ambaye mpaka sasa hana nafasi kwenye timu ya Olimpiki de Marseill na kumuacha Fiston Mayele na vitu vingi yote haya yanaonyesha how Fiston Mayele he is big player sema mpira wa Kongo ni siasa tu watu.

Kama hujui Kifaransa au hujui chochote kuhusu mpira pita zako.

 
Kwenye commenter apo chini wanasema ivi :coach alimuacha mayele kwasababu ligue ya Tanzanie niya kiwako cha chini Sana

Acha nikuambiye Bakambu ni Sawa Sawa n'a Ronaldo kwenye taifa lao(Portugal) présence yake niya maana Sana kwenye timu ya taifa
 
Kwenye commenter apo chini wanasema ivi :coach alimuacha mayele kwasababu ligue ya Tanzanie niya kiwako cha chini Sana

Acha nikuambiye Bakambu ni Sawa Sawa n'a Ronaldo kwenye taifa lao(Portugal) présence yake niya maana Sana kwenye timu ya taifa
Umeona comment hiyo kwa hiyo zingine ujaona sio
 
Ukweli ni kwamba fiston ni top striker anajua sana, siku hizi striker mwenye uwezo wa kutembea na mpira na kuumiliki ni wachache sana.. mayele anapaswa kuondoka hapa na kwenda club kubwa zaidi
 
Mchezaji anayecheza ligue 1 ufaransa ambaye timu yake inashika nafasi ya pili kwenye msimamo huku namba moja akiongoza PSG

Mchezaji huyo umlinganishe na Mayele kwa fact ga magoli 6 kwa mechi 6 za mwisho, huo ni wendawazimu.

Bakambu katika record za mwisho hajawahi kucheza dakika 90 zote lakini ana assist

Sasa huyo kinabo ambaye hata Al Ahly hajaweza kuwavutia ili asajiliwe anaweza kuwa na impact gani kwenye National team kumzidi Cedric?
 
Ukweli ni kwamba fiston ni top striker anajua sana, siku hizi striker mwenye uwezo wa kutembea na mpira na kuumiliki ni wachache sana.. mayele anapaswa kuondoka hapa na kwenda club kubwa zaidi
Ni top striker ukimlinganisha na nani?

Hivi umeona hiyo picha hapo, huyo wanayemlinganisha na Mayele ni class ya namna gani?

Unaelewa anachezea timu gani na kutoka ligi ya ushindani kiasi gani?

Au unaongea tu ilimradi?
 
Akiwemo na Inonga aliyeitwa kwenye timu hiyo hiyo?
Hivi na wewe unakubaliana na hawa wanaoadika vitu kwa hisia?

Mayele wanamuona bora kwasababu kafunga magoli 6, ambapo kati ya hayo sita ni pamoja na ile hattrick kwenye mechi ya zalani na kale kamoja kwa mtibwa sugar

Halafu wanamfananisha na Bakambu ambaye katika mechi 3 zote za mwisho alizocheza ulijumlisha muda alioucheza bado hajakamilisha dakika 57.

Bakumba anacheza ligi 1 ile ambayo anacheza PSG, na timu yake inashika nafasi ya pili baada ya PSG kuongoza.

Hivi watu hawa unawaona vichwani wako sawa au kuna bolt nut zime loose mpaka tuzipige na washeli?
 
Yaani kocha aache mchezaji kutoka league one FRANCE ili amchague Mayale?

Hapo kwenye comments unaona kabisa wacongo wanasema Kalala hajaitwa kwasababu anacheza team ndogo ila kwakua mleta mada hajui kifarasa kaamua kuileta, kwa nchi kama Congo ambayo imeendela kimpira kwao Yanga Sc ni club ambayo bado inajitafuta sana.

Punguzeni hype zisizo na maana juu ya kateam kenu, fanyeni vizuri hata huko kimataifa muonekane sio kumpa credit mchezaji kwa kuwanga bodaboda wa SOUTH SUDAN.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…