Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Wapo mashabiki aware wamesema ukweli kuwa msipende kulaumu wakati kocha mwenyewe amesma ligi ya Tanzania ni ndogo sana kiupinzaniKocha aache mchezaji kutoka league one FRANCE ili amchague Mayale?
Hapo kwenye comments unaona kabisa wacongo wanasema Kalala hajaitwa kwasababu anacheza team ndogo ila kwakua mleta mada hajui kifarasa kaamua kuileta, kwa nchi kama Congo ambayo imeendela kimpira kwao Yanga Sc ni club ambayo bado inajitafuta sana.
Punguzeni hype zisizo na maana juu ya kateam kenu, fanyeni vizuri hata huko kimataifa muonekane sio kumpa credit mchezaji kwa kuwanga bodaboda wa SOUTH SUDAN.
Hao mabeki si ndio kina InongaFiston ni wa kawaida sana anacheza na mabeki wa kiwango cha chini sana NBC
hahahaaa,kwaiyo mabeki wa simba akiwemo na nauyo baka si ndioFiston ni wa kawaida sana anacheza na mabeki wa kiwango cha chini sana NBC
Mnamchukia mayele sababu anawatandika atakavyoMchezaji anayecheza ligue 1 ufaransa ambaye timu yake inashika nafasi ya pili kwenye msimamo huku namba moja akiongoza PSG
Mchezaji huyo umlinganishe na Mayele kwa fact ga magoli 6 kwa mechi 6 za mwisho, huo ni wendawazimu.
Bakambu katika record za mwisho hajawahi kucheza dakika 90 zote lakini ana assist
Sasa huyo kinabo ambaye hata Al Ahly hajaweza kuwavutia ili asajiliwe anaweza kuwa na impact gani kwenye National team kumzidi Cedric?
Karia na TFF walaumiwe kwa wachezaji wa Yanga kutoitwa timu ya Taifa ya Kongo.Akiwemo na Inonga aliyeitwa kwenye timu hiyo hiyo?
Kwa hiyo Simba mnauzaga match kwa Yanga?ili uitwe Congo DR mambo mawili yanatakiwa:
1. umri
2. ukubwa wa klabu unayocheza
Yanga pia wananunua matokeo
Mkuu hivi Simba na Bil 20 zao bado wana njaa kumbe hadi wanauza game kwa Yangaili uitwe Congo DR mambo mawili yanatakiwa:
1. umri
2. ukubwa wa klabu unayocheza
Yanga pia wananunua matokeo
πππ Maandazi ya Mo hayaFiston ni wa kawaida sana anacheza na mabeki wa kiwango cha chini sana NBC