Kukosekana kwa mahitaji muhimu chanzo cha ndoa nyingi kuvunjika

Kukosekana kwa mahitaji muhimu chanzo cha ndoa nyingi kuvunjika

Pesa ina namna mbili ukizikosa kabisa ndoa inavunjika. Ukizipata nyingi sana pia ndoa inaweza vunjika.
ni muhimu zaidi kutafuta Amani kwanza, hii ikijumuisha mahitaji muhimu zaidi ya ndoa na familia, kisha pambana kupata hiyo pesa ya ziada kwa maarifa zaidi. usitumie nguvu nyingi ndio ukirudi nyumbani ushindwe kufanya mengine 🐒🐒
 
hakujawahi kuwepo upendo wa kweli hapa duniani
ndo maana Adam na Hawa walisalitiana
ndio maana kuna ndoa.jamii ilisha hama kuishi kwenye agano la kale.

sasa jamii inaishi kwenye agano jipya, nyakati mpya na ndio maana ndoa inabarikiwa na ni Baraka kutoka kwa Mungu 🐒

Na mchochezi wa usaliti bado anapigwa vita sana, ambae ndio huyo analeta uvivu katika kuwajibika na kukamilisha kikamilifu mahitaji ya kimwili na kwenye ndoa n.k🐒
 
Mi naona shida kubwa ni tamaa alafu na kumdharau mwenzako..
uko sahihi,
but ni muhimu sana kutafuta na kujua utamu wa ladha ya kimwili na kiroho ya mwenzi wako, nae afanye vivyo hivyo kwako, kuondoa hiyo hali ya tamaa na dharau baina yenu 🐒
 
Unaweza ukafanya kazi kwa bidii na kutimiza wajibu ipasavyo

Ndoa ikaja kuvunjika kwa sababu ya usaliti wala sio njaa wala kukosa mavazi
uko sahihi,
Lakini jitahidi sana mazingira ya ndani ya ndoa yako yasiwe chanzo cha usaliti wa mwenzi wako kwako, nje ya ndoa 🐒

labda mazingira yenye influence kubwa aloshindwa kuidhibiti ya mahali pake pa kazi ndio imuangushe kwenye usaliti. Hata hivyo mwana ndoa mwema anaelemewa na hali hiyo humuarifu mwenza wake kwa ushauri na msaada zaidi....

Ni wachache wenye uwezo huu ila wapo 🐒
 
uko sahihi,
but ni muhimu sana kutafuta na kujua utamu wa ladha ya kimwili na kiroho ya mwenzi wako, nae afanye vivyo hivyo kwako, kuondoa hiyo hali ya tamaa na dharau baina yenu 🐒
Majukumu ni mengi, kila mmoja ana ndoto zake, kwahyo kumchunguza mwingine inakua kipengele, pia ni kazi ngumu kumchunguza mtu ukamjua kwa usahihi(inataka mda hsana)
 
Watu wapendane na kutafuta namna halali ya kuongeza vipato/uchumi.Umasikini huleta vinyongo,hasira na chuki.Pambana.
nadhani inahitaji hekiima, busara na maarifa zaidi kudili na visanabishi hivyo ambavyo huchochea magomvi kwenye ndoa 🐒

Point ya maana zaidi ni kutafuta namna bora na halali ya kujiimarisha kiuchumi na kuchochea amani na Furaha kwenye ndoa kwa sehemu....

Lakini pia ukitumia maarifa katika kutafuta, utabaki na nguvu ya ua kukuwezesha kutekeleza vizuri zaidi na majukumu mengine ya ndani ya ndoa, ambayo pia leo hii yanalalamikiwa sana miongoni mwa wanandoa 🐒
 
Bado unishawishi mkuu....🚬🚬🚬
mie nakueleza Ukweli tu,
au unasubiri kama wale jamaa wa kataa ndoa akifika 55yrs ndio anaona kuna life forces zinamsukuma aoe kwa Lazima, na hapa inakua hakuna kuangalia sura, ni atakaekubali tu twende......

uzuri wa hii ni kwamba mume kachoka na mke nae kachoka, mmeshabamiza na kubamizwa na kila aina ya mitikasi kwenye maisha ya usingo kataa ndoa, kwahiyo kunakua hakuna matata tena kati yenu, ni kanyaga twende tu, bora mmeona. vichocheo vya kimwili viko chini hakuna tamaa tena, humtamani mwenzako wala humtamani wa nje ya ndoa yenu, aise 🐒
 
mie nakueleza Ukweli tu,
au unasubiri kama wale jamaa wa kataa ndoa akifika 55yrs ndio anaona kuna life forces zinamsukuma aoe kwa Lazima, na hapa inakua hakuna kuangalia sura, ni atakaekubali tu twende......

uzuri wa hii ni kwamba mume kachoka na mke nae kachoka, mmeshabamiza na kubamizwa na kila aina ya mitikasi kwenye maisha ya usingo kataa ndoa, kwahiyo kunakua hakuna matata tena kati yenu, ni kanyaga twende tu, bora mmeona. vichocheo vya kimwili viko chini hakuna tamaa tena, humtamani mwenzako wala humtamani wa nje ya ndoa yenu, aise 🐒
Daah mkuu ngoja bana 2025 nafanya kweli et maana takua financial fit aiseee umeanza kunitisha ujue
 
Back
Top Bottom