Maji yalizidi unga kumbeTANESCO imesema kukatika kwa umeme kumesababishwa na hitilafu kwenye mfumo wa kudhibiti kiwango cha maji kwenye mitambo ya Kidatu, na hivyo kushindwa kuzuia mtiririko mkubwa wa maji yanayoingia kwenye mitambo na kusababisha mitambo kujizima ghafla ili kujilinda.
Hitilafu hiyo katika gridi ya Taifa imesababisha maeneo mbalimbali nchini kukosa umeme kuanzia usiku wa kuamkia leo.
Kwa hiyo hao vijana waliwatusi Tanesco hadi roho zikawatukutia/zikawauma kuliko sisi tunaokosa umeme kwa sababu za kizembe na kipambaff?
Umeona hilo tu ila taarifa aliyotoa hujaionaSamahani wewe ni jinsia gani kama ni kike hakuna tatizo ila kama ni kiume kuna tatizo sehemu mtoto wa kiume kuandika "tyu" badala ya 'tu' hilo ni tatizo kubwa sana
TANESCO imesema kukatika kwa umeme kumesababishwa na hitilafu kwenye mfumo wa kudhibiti kiwango cha maji kwenye mitambo ya Kidatu, na hivyo kushindwa kuzuia mtiririko mkubwa wa maji yanayoingia kwenye mitambo na kusababisha mitambo kujizima ghafla ili kujilinda.
Hitilafu hiyo katika gridi ya Taifa imesababisha maeneo mbalimbali nchini kukosa umeme kuanzia usiku wa kuamkia leo.
Aiseee!Siyo lazima mtumie umeme.Kwani vibatari bado hamjavinunua?Punguzeni makelele,eboo!
Kwenu wapi hapa ostabe, mbona haujakatika wiki hi yote.Toka jana usiku umeme ni kero wanakata wanazima, wanakata wamezima.
Hii kerooo ni kwetu tu ama na huko kwenu.
Yaani unashindwa hata kufurahia na mwenzio kisa joto.
Kuyaamini maelezo ya usichokijua na huna namna ya ku-prove, na huku una historia mbaya ya anayeelezea, NI KAZI SANATANESCO imesema kukatika kwa umeme kumesababishwa na hitilafu kwenye mfumo wa kudhibiti kiwango cha maji kwenye mitambo ya Kidatu, na hivyo kushindwa kuzuia mtiririko mkubwa wa maji yanayoingia kwenye mitambo na kusababisha mitambo kujizima ghafla ili kujilinda.
Hitilafu hiyo katika gridi ya Taifa imesababisha maeneo mbalimbali nchini kukosa umeme kuanzia usiku wa kuamkia leo.
Hongeren sanaKwenu wapi hapa ostabe, mbona haujakatika wiki hi yote.
Astaghafirullah!Yaan unashindwa HATA kuhondomola na mwenzio joto