Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
Umeme umeshatengamaa ni mwezi sasa watanzania wanakula mema ya nchiIshu ya umeme bado sana ukiachilia swala la leo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeme umeshatengamaa ni mwezi sasa watanzania wanakula mema ya nchiIshu ya umeme bado sana ukiachilia swala la leo
Pluto.Na kama mkikosa keki kwa sababu ngano imeisha,mle chapati.Aiseee!
Maisha ya sasa 99.99999% hutegemea umeme.
Mkuu, kuna milango umeme ukikata tu haifunguki.
Facilities almost zote za sasa hutegemea umeme. Ulinzi na usalama. Bila umeme ofisini unafanyaje kazi?
Unaishi sayari gani eti???
Sentenso yako ya mwisho inaashiria uchochezi!Leo maji mengi. Kesho kutwa kati watasema hakuna maji mgao umerejea
Hata hivyo tunamshukuru Mh Rais Samia kwa kupata maji mengi huko Kidatu
Ingependeza Sana Janabi, Na RC Dar Es Salaam, Brother Chalamila Waongelee Hili La Umeme Kama Kwenye SukariSiyo lazima mtumie umeme.Kwani vibatari bado hamjavinunua?Punguzeni makelele,eboo!
Tanesco utadhani haina Ma Eng aisee sababu zao zimekaa ki Sayansi kimu mno...
yakiwa kidogo umeme unakatikakatika, yakiwa wastani mgao, yakizidi unakatika kabisa. kazi mnayo watu wa jamhuri ya ukimani.maji yalikosekana umeme hamna,yakiwepo umeme hamna,,😂😅
Wataendeleza comics zao.Ingependeza Sana Janabi, Na RC Dar Es Salaam, Brother Chalamila Waongelee Hili La Umeme Kama Kwenye Sukari
Hili inawezekana upo sahihi Mkuu...Siamini hili...
Lazima kuna mambo yanawashindwa.. Waseme tu ukweli.. mitambo bado hawana ujuzi kuyaendesha..
HujumaaSiamini hili...
Lazima kuna mambo yanawashindwa.. Waseme tu ukweli.. mitambo bado hawana ujuzi kuyaendesha..
Usiposema hivyo unatumbuliwa.Sentenso yako ya mwisho inaashiria uchochezi!