CHANG'OMBE
Member
- Jul 22, 2012
- 19
- 6
Habari wanajamvi
Katika pita pita zangu kwenye mitandao nimeona aina ya kuku ambayo sikupata kuisikia - BUKINI. Najua kuwa kuna BATA BUKINI kumbe sasa hata KUKU BUKINI wapo? Kwa wale wanaowafahamu kuku hao ningependa kujuzwa mambo yafuatayo:-
Je, wanasifa gani? Umbile lao, uzazi wao (utagaji mayai), na sifa zake zingine
Je, wanapatikana kwa wingi sehemu gani hapa TZ
Je, kwa Dar es Salaam, Pwani na hata Moro kuna watu wamewafuga? Wako maeneo gani?
Je, bei zao zikoje?
Je, kuna mwenye mawasiliano na wafugaji wa kuku hao?
MSAADA TAFADHALI!!!!
NAWASILISHA
Katika pita pita zangu kwenye mitandao nimeona aina ya kuku ambayo sikupata kuisikia - BUKINI. Najua kuwa kuna BATA BUKINI kumbe sasa hata KUKU BUKINI wapo? Kwa wale wanaowafahamu kuku hao ningependa kujuzwa mambo yafuatayo:-
Je, wanasifa gani? Umbile lao, uzazi wao (utagaji mayai), na sifa zake zingine
Je, wanapatikana kwa wingi sehemu gani hapa TZ
Je, kwa Dar es Salaam, Pwani na hata Moro kuna watu wamewafuga? Wako maeneo gani?
Je, bei zao zikoje?
Je, kuna mwenye mawasiliano na wafugaji wa kuku hao?
MSAADA TAFADHALI!!!!
NAWASILISHA