MT255
JF-Expert Member
- May 3, 2012
- 3,606
- 4,914
Habari wana jamvi....katika harakati za kujiongezea kipato nina biashara yangu ya kufuga kuku wa kienyeji shambani kwangu wapatao 120 hivi....tatizo linalonishangaza nimekuwa napata taarifa kwa kuwepo mayai madogo madogo kama ya ndege lakini yanafanana kabisa na mayai ya kuku....na sio mara mmoja hii hali inajirudia rudia pale bandani...baada ya kuuliza kwa baadhi ya watu niliambiwa ni ya kuku anataga sasa nauliza kwa yoyote anaefahamu tatizo nini mpaka kuku anataga mayai kama ya ndege?
Nawasilisha
Nawasilisha